msimu huu wamepata mtu wa kuwa comfort so tutegemee lawama kwa TFF kupungua
Jamani hapa tunatest tu mitambo wakuu
Naona mmeangukia pumbu hukoYanga tunahitaji game nyingi za kirafiki coz tusije kulaumiana huko mbele
Waache wanafikiria mpira ni propaganda au siasa ona sasa wametobolewa kwenye siku yaoMnaongopewa Mpaka Mnaongopewa Tena Wameona Mnakosa Imani Wamewaletee Yule Mzungu Pori Kuhisi Mnaikomoa Simba.
Siku Yenu Hii Na Bado Mmemburuka Uwanjani Hakuna Mnachofanya.
Wezenu Wako Bizee Na Maandaliza Nyie Mnafanya Biashara. Kulalekii Na Tarehe 12 Tenaa
bumbuli juzi alikua anasema kua kikos kimekua kikifanya preseason na timu pinzani zenye uwezo na kupata matokeo mazuri kama ushindi wa goli tatu bila ila hawakutaangaza tu kwasababu yanga imevuka level hizoNinachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.
Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.
Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.
Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.ππππ
Ni kweli zanaco wako vizuri na walipata nafasi baada ya yanga kupunguza kasi.Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.
Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.
Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.
Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.ππππ
Wameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.
Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.
Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.
Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.ππππ
Zanaco ni timu nzuri na wanacheza Klabu bingwa Afrika hawa coz wamemaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi yao na nchi yao huwa inapeleka timu nne kimataifa
Ahsante ndugu mchambuziWameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.
Nadhani sasa Yanga wamejua kwamba kumbe Simba walifanya Kazi hadi kuwabeba utopolo.
Nadhani ni wakati muafaka wa kutoka kucheza mpira whatsup,fb,insta nk na kuanza kucheza mpira uwanjani.Na kama walisajili majina badala ya wachezaji watakula hasara hadi wakae sawa.
By the way Yanga itaishia round ya kwanza timu yao bado Sana.
[emoji28][emoji28][emoji28]
Ila mkuu Mimi nilijua tu unakubali.vip.mwanaume mwenzako.akulipie kila kitu matokeo ndio haya umekuwa lainNaona mmepata nguvu na mmekuja kwa nguvu sasa