Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.

Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.


Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.

Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.😂😂😂😂
 
Mnaongopewa Mpaka Mnaongopewa Tena Wameona Mnakosa Imani Wamewaletee Yule Mzungu Pori Kuhisi Mnaikomoa Simba.

Siku Yenu Hii Na Bado Mmemburuka Uwanjani Hakuna Mnachofanya.

Wezenu Wako Bizee Na Maandaliza Nyie Mnafanya Biashara. Kulalekii Na Tarehe 12 Tenaa
Waache wanafikiria mpira ni propaganda au siasa ona sasa wametobolewa kwenye siku yao
 
Maisha yanaenda kasi sana

b8e0712ed77e4c2c8055f50f6e0589a0.jpg
 
Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.

Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.


Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.

Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.😂😂😂😂
bumbuli juzi alikua anasema kua kikos kimekua kikifanya preseason na timu pinzani zenye uwezo na kupata matokeo mazuri kama ushindi wa goli tatu bila ila hawakutaangaza tu kwasababu yanga imevuka level hizo

Sasa tunaweza ku imagine hizo timu alizocheza nazo huwenda zilikua aina ya ken gold
 
Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.

Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.


Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.

Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.😂😂😂😂
Ni kweli zanaco wako vizuri na walipata nafasi baada ya yanga kupunguza kasi.
 
Zanaco ni timu nzuri na wanacheza Klabu bingwa Afrika hawa coz wamemaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi yao na nchi yao huwa inapeleka timu nne kimataifa
 
Ninachowapongeza watani ni swala la kuleta team yenye ushindani wa kweli, ZANACO ni team iliyojiandaa kwelikweli kushiriki mashindano ya kimataifa msimu huu.

Badala ya kuleta teams zilizoshindwa kufanya vitu vya maana kwenye ligi zao Ili mzifunge nyingi kama ilivyozoeleka kwenye hizi sherehe, nyinyi mliamua kuleta team yenye ushindani.


Ngoja tuone ni team gani sisi tutaileta, unaamini haitakuwa kutoka RWANDA, KENYA au BURUNDI nchi ambazo kwasasa hazifanyi vizuri sana kwenye ngazi ya clubs, ziletwe teams za ukanda wa kusini au kasikazini.

Ila Yanga mpunguze tambo zenu sasa,maana tofauti na DJUMA ,kipa na Makambo sijaona kikosi cha kutisha sana.😂😂😂😂
Wameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.

Nadhani sasa Yanga wamejua kwamba kumbe Simba walifanya Kazi hadi kuwabeba utopolo.

Nadhani ni wakati muafaka wa kutoka kucheza mpira whatsup,fb,insta nk na kuanza kucheza mpira uwanjani.Na kama walisajili majina badala ya wachezaji watakula hasara hadi wakae sawa.

By the way Yanga itaishia round ya kwanza timu yao bado Sana.
 
goli la kideo afu distance yake hapa na kisarawe
 
Wameleta timu sahihi na iko kwenye mashindano kama yao na pia hiyo timu iko kambini toka agasti.

Nadhani sasa Yanga wamejua kwamba kumbe Simba walifanya Kazi hadi kuwabeba utopolo.

Nadhani ni wakati muafaka wa kutoka kucheza mpira whatsup,fb,insta nk na kuanza kucheza mpira uwanjani.Na kama walisajili majina badala ya wachezaji watakula hasara hadi wakae sawa.

By the way Yanga itaishia round ya kwanza timu yao bado Sana.
Ahsante ndugu mchambuzi
 
Back
Top Bottom