Hivi mbona hamtaji mazuri ya infidelity???
Anza kutaja...
1.
Hivi mbona hamtaji mazuri ya infidelity???
1. Mazoezi ya kuongeza perfomance kwenye ndoa zetuAnza kutaja...
1.
Hapa ulisema hivi!
Mimi nikakupongeza hapa
Huyu akanielewa vema
Hapa ukaamua kuyaonea kinyaa matapishi yako mwenyewe! Dah!:sick:
That is bad....very bad! You will miss him dearly.....cjawahi kuona mazuri yake, sana sana mnatuletea tu matatizo ndani, hivi nyie wanaume ni lini mtaamka mkaona mfanyacho sicho?...natamani iagizwe mkatwe dudu zenu, nitakuwa wa kwanza kumkata wangu!
1. Mazoezi ya kuongeza perfomance kwenye ndoa zetu
That is bad....very bad! You will miss him dearly.....
infidelity inaendelea????
AYAYAYAYAYAYAYAYAYA
U still dont get madume hatupigi infidelity kwa sababu tunawapenda hao wa nje. Its just SEX period.eeee yesu na maria nisaidieni mume ntakayempata anipende peke yangu
U still dont get madume hatupigi infidelity kwa sababu tunawapenda hao wa nje. Its just SEX period.
Kuna sababu nyingine De Novo traditionally mwanaume kumega nje inaonekana ni kitu cha kawaida na kwa baadhi ya watu ndio uanaume lakini kwa mwanamke ni kitendo cha aibu kubwa ndo maana huwa hawasemi na pia ndio sababu ni rahisi sana ndoa kusavaivu mume akifumaniwa kuliko mke akifumaniwa. got it?Wadau, nimesoma hii thread na imenithibitishia kitu kimoja... Wanawake wako smart zaidi yetu when it comes to infidelity!!! Do you know why?? well, its because sisi ndio tumekua mbele kutoa siri zetu wakati wao as crime partners wamepiga kimya kabisa....
Hata wakifanya, they do it in a very advanced way na wakafuta nyayo zao kabla ya kutinga home... LETS EMULATE THEM, IF NOBODY KNOWS, IT NEVER HAPPENED
Bora mie sijasema......hommie unatokea guest ipi mchana huu? :A S-eek:na mi nashangaa mpwa..wengine tupo kipraktikale zaidi.....:lie:
halafu huyu Asprin hana lolote Debe tupu tu!
Bora mie sijasema......hommie unatokea guest ipi mchana huu? :A S-eek:
na mi nashangaa mpwa..wengine tupo kipraktikale zaidi.....:lie:
halafu huyu Asprin hana lolote Debe tupu tu!
he he he sikujua hommie wangu keshafika na huku lol!halafu huyu Asprin hana lolote Debe tupu tu!
Zuma...:A S confused:
😛ound: