wakina nani............?Threti imechukuliwa na wenyewe...
alikuwa anamaanisha mambo yanayohusiana na Mungu yawe Off!!
LOL! eti ingekuwa inaisha kama chaki we FL1 mbona hututakii mema dada?Duh wanaume mna kazi kubwa ya ziada hiyo kitu ingekuwa inaisha kama chaki mngekoma wenyewe :yo:
binasfi siichukulii ndoa kama lelemama, ukizingatia umuhimu na utakatifu wa hii taasisi yenyewe. ila nashangazwa na haya yanayotendwa na nyie mloingia humo. nasukumwa kusema inawezekana baadhi yenu mliingia bila kujua what were u putting yourselves into.
Sis ulijificha wapi??? I missed u karibu sana. Mzima lakini??Men and Infidelity...nyie mna ona kama maji ya kunywa eeh? sibirini mpaka nanyie mmegewe wake zenu ndo mtajua maana yake...
Teamo mwambie Mod afunge hii sredi imenichosha asee meku nimechoka kweli kweli babaangu
binasfi siichukulii ndoa kama lelemama, ukizingatia umuhimu na utakatifu wa hii taasisi yenyewe. ila nashangazwa na haya yanayotendwa na nyie mloingia humo. nasukumwa kusema inawezekana baadhi yenu mliingia bila kujua what were u putting yourselves into.
binasfi siichukulii ndoa kama lelemama, ukizingatia umuhimu na utakatifu wa hii taasisi yenyewe. ila nashangazwa na haya yanayotendwa na nyie mloingia humo. nasukumwa kusema inawezekana baadhi yenu mliingia bila kujua what were u putting yourselves into.
Sis ulijificha wapi??? I missed u karibu sana. Mzima lakini??
but satisfaction will bring back the life to me!aaaaaah hiyo curiosity yako na inakutishia si mimi
Inawezekana tunapowaambia..."For Better, For Worse, For Richer, For Poor" wao nadhani wanatafsiri vibaya kuwa... "Four Better, Four Worse, Four Richer, Four Poor" na masuria...😡
Tell them mkuu.Uko sahihi FL1. Penzi haligawanyiki hata kwa dawa ila sex inagawanyika hata ukitaka mara 100. Hivi vitu ni tofauti kabisa! Tatizo la wakina dada/mama wengi ni kuukataa huu ukweli ingawa wanauishi!
Inawezekana tunapowaambia..."For Better, For Worse, For Richer, For Poor" wao nadhani wanatafsiri vibaya kuwa... "Four Better, Four Worse, Four Richer, Four Poor" na masuria...😡
Inawezekana tunapowaambia..."For Better, For Worse, For Richer, For Poor" wao nadhani wanatafsiri vibaya kuwa... "Four Better, Four Worse, Four Richer, Four Poor" na masuria...😡
Teamo nilikuwa namalizia kuwaaga wajumbe wenzangu walokuja hapa Dodoma ndo maana sikupita hapa na kuona hii uzful sred!
Nililazimika kuchoma boxer moto pamoja na makaratasi mengine nikisingizia kuwa nilikuwa siyahitaji baada ya kugundua kuwa ilishika sana harufu ya ile con.domu yenye matunda! Sasa justification ya kwa nini nachoma makaratasi usiku.................!
:tape:. (Unaweza kuharibu mpango mzima hapa)LOLHahahaha! Kiongozi naona mdogo mdogo hapo..(Ongeza kasi unaweza pata infidelity appointment hapo lol):fish2::fish2:
binasfi siichukulii ndoa kama lelemama, ukizingatia umuhimu na utakatifu wa hii taasisi yenyewe. ila nashangazwa na haya yanayotendwa na nyie mloingia humo. nasukumwa kusema inawezekana baadhi yenu mliingia bila kujua what were u putting yourselves into.