Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.
Boys will alwyz be boys Nyamayao.kama ckosei wewe uliipinga sana hii kitu kwenye thread ya Carmel, kulikoni leo? ama naota.
:tape:. (Unaweza kuharibu mpango mzima hapa)LOL
Boys will alwyz be boys Nyamayao.
ndio mana nilikuuliza nani alikusimika huo uaskofu? hukunipa jibu mpaka leo! khaaa una balaa askofu, nimechekaa sana.
https://www.jamiiforums.com/mahusia...ukio-yanayokumbukwa-wakati-wa-infidelity.htmlhttps://www.jamiiforums.com/mahusia...ukio-yanayokumbukwa-wakati-wa-infidelity.htmlhttps://www.jamiiforums.com/mahusia...ukio-yanayokumbukwa-wakati-wa-infidelity.html
Kuna milima na mabonde, masika na kiangazi n.k, usitegemee NDOA ni amani, upendo na mazuri mengi, usijidanganye, utakapoingia ndani ndipo utaelewa, ukizingatia maadili ndio ivyo tena, kwisha habari yake,
na katika ndoa za sasa nyingi ni maigizo tu, zilizo ndoa kamili ni chache sana.
Askofu haya ni mahubiri? hebu tupe uzoefu unapokuwa unasovu matatizo ya ndoa au unapokuwa na sista magdalena kwenye mimbari wakati wa mkesha wa mwaka mpya.:fish2:
Hivi ulitegemea ukiolewa ndio unaumiliki mtambo kwa 100%. Halafu hao wanawake wenzio ambao hawajabahatika kupata wanaume wao wakae hihi hivi tu? Huo si ndio uchoyo wenyewe.... Jamani acheni na wenzenu nao wafaidi hii mitarimbo. mbona mnakuwa hivyo?
Umejuaje hapo dada? (Niko kikazi zaidi) Sore, ofu topikiwell said maa....kuna wakati mambo shwari utasema mko paradise, kuna wakati mtasema mpo kuzimu...haaa kila mtu aingie jamani.
haaa nimeshamuachia kitambooo, cha kushangaza saas hivi yeye ndio anabanana na mie....
Kaka mkubwa nimekutendea haki hapo juu.Taratibu tu watajua kamanda. Sijui kwanini hawa viumbe wanakuwa wagumu namna hii kuelewa. Hivi mitaani mwao hakuna majogoo waone yanavyofanya. Asili ni asili jamani, hata wanyama wanadumisha hii mila.....
Pa1(Hahahaha! Nimestuka nilitaka kuharibu. Mdogomdogo kamanda. Afu utanistua basi!):closed_2:
Umejuaje hapo dada? (Niko kikazi zaidi) Sore, ofu topiki
kama ckosei wewe uliipinga sana hii kitu kwenye thread ya Carmel, kulikoni leo? ama naota.
He! Kwa hiyo nawe ushaanza infidelity mpaka aanze kukubana? Ahsante kwa taarifa. INFIDELITY IS THERE TO STAY. I can easily conclude!!:lie:
ndio mana nasema wanawaogopesha, lakini asilimia kubwa wanayoyasema ndiyo tunayokumbana nayo humu ndani, kinauma zaidi wewe umetulia unaletea matatizo ndani, nikibamba nasema tena naharibu kabisaaaa.....yaani mpaka ndugu zake wamuweke kikao acnirudie tena, kuuana nikiona sipo tayari kabisa...