Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Msiogope; kwani uking'atwa na nyoka sio mwisho wako kwenda kwa miguu!:A S tongue:
 
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.

Hivi ulitegemea ukiolewa ndio unaumiliki mtambo kwa 100%. Halafu hao wanawake wenzio ambao hawajabahatika kupata wanaume wao wakae hihi hivi tu? Huo si ndio uchoyo wenyewe.... Jamani acheni na wenzenu nao wafaidi hii mitarimbo. mbona mnakuwa hivyo?
 
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.

Hivi ulitegemea ukiolewa ndio unaumiliki mtambo kwa 100%. Halafu hao wanawake wenzio ambao hawajabahatika kupata wanaume wao wakae hihi hivi tu? Huo si ndio uchoyo wenyewe.... Jamani acheni na wenzenu nao wafaidi hii mitarimbo. mbona mnakuwa hivyo?
 
kuna walioingia kihivyo (1 wapo mie)...nikidhani ndio mapenzi/ninavyompenda/anavyonipenda bac ndo ndoa yenyewe hiyo, thts y cku alipo propose kwangu mie nilijonea raha/sawa kabisa...kuna wale walioingia/watakaoingia(kama wewe) wakielewa uhalisia wake lakini nao wameathirika kwa namna moja au nyingiine, hili game halitabiriki dearest.

super dearest nimekupata sasa.....senkyu!!!
 
Boys will alwyz be boys Nyamayao.

Taratibu tu watajua kamanda. Sijui kwanini hawa viumbe wanakuwa wagumu namna hii kuelewa. Hivi mitaani mwao hakuna majogoo waone yanavyofanya. Asili ni asili jamani, hata wanyama wanadumisha hii mila.....
 
ndio mana nilikuuliza nani alikusimika huo uaskofu? hukunipa jibu mpaka leo! khaaa una balaa askofu, nimechekaa sana.

:angel: ni viongozi wa kanisa na waumini wenye imani na mimi mpendwa...:hail::amen:
 
Kuna milima na mabonde, masika na kiangazi n.k, usitegemee NDOA ni amani, upendo na mazuri mengi, usijidanganye, utakapoingia ndani ndipo utaelewa, ukizingatia maadili ndio ivyo tena, kwisha habari yake,
na katika ndoa za sasa nyingi ni maigizo tu, zilizo ndoa kamili ni chache sana.

well said maa....kuna wakati mambo shwari utasema mko paradise, kuna wakati mtasema mpo kuzimu...haaa kila mtu aingie jamani.
 
Askofu haya ni mahubiri? hebu tupe uzoefu unapokuwa unasovu matatizo ya ndoa au unapokuwa na sista magdalena kwenye mimbari wakati wa mkesha wa mwaka mpya.:fish2:

Uzoefu wangu ni kufunga na kusali.... Mungu hapendi Infidelity...
 
Hivi ulitegemea ukiolewa ndio unaumiliki mtambo kwa 100%. Halafu hao wanawake wenzio ambao hawajabahatika kupata wanaume wao wakae hihi hivi tu? Huo si ndio uchoyo wenyewe.... Jamani acheni na wenzenu nao wafaidi hii mitarimbo. mbona mnakuwa hivyo?


haaa nimeshamuachia kitambooo, cha kushangaza saas hivi yeye ndio anabanana na mie....
 
well said maa....kuna wakati mambo shwari utasema mko paradise, kuna wakati mtasema mpo kuzimu...haaa kila mtu aingie jamani.
Umejuaje hapo dada? (Niko kikazi zaidi) Sore, ofu topiki
 
haaa nimeshamuachia kitambooo, cha kushangaza saas hivi yeye ndio anabanana na mie....

He! Kwa hiyo nawe ushaanza infidelity mpaka aanze kukubana? Ahsante kwa taarifa. INFIDELITY IS THERE TO STAY. I can easily conclude!!:lie:
 
Taratibu tu watajua kamanda. Sijui kwanini hawa viumbe wanakuwa wagumu namna hii kuelewa. Hivi mitaani mwao hakuna majogoo waone yanavyofanya. Asili ni asili jamani, hata wanyama wanadumisha hii mila.....
Kaka mkubwa nimekutendea haki hapo juu.
 
kama ckosei wewe uliipinga sana hii kitu kwenye thread ya Carmel, kulikoni leo? ama naota.

Ah kwani hapa si tunasimulia matukio ya kutosahauliwa kwenye infidelity? nami kule nilikiri kuwa niliwahi kum infidelitia Mama jr! Ndo maana nimeashirikisha kutolisahau!

Ama?:twitch:
 
He! Kwa hiyo nawe ushaanza infidelity mpaka aanze kukubana? Ahsante kwa taarifa. INFIDELITY IS THERE TO STAY. I can easily conclude!!:lie:

haa wapi, c ndio ile kuona wify mbona hana tyme nami tena, haulizwi/haojiwi/aje asubuhi sawa/hivi na vile poa....alijirudi mwenyewe, sasa ishu kama hii BHT hawezi, wengine tunakaukia kama hakuna linaloendelea wakati BHT atakuwa kajifungia chumbani anaomboleza.
 
ndio mana nasema wanawaogopesha, lakini asilimia kubwa wanayoyasema ndiyo tunayokumbana nayo humu ndani, kinauma zaidi wewe umetulia unaletea matatizo ndani, nikibamba nasema tena naharibu kabisaaaa.....yaani mpaka ndugu zake wamuweke kikao acnirudie tena, kuuana nikiona sipo tayari kabisa...

Mungu wangu!!!

Hivi nani alikuambia ukiitishwa kikao na ndugu ndio unaacha?? My experience tells me that mtu anaacha anayoyafanya kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na si ndugu hata kama angekua ni identival twin wake

heheeeee...
 
Back
Top Bottom