Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

...wewe bana weee, hebu achana na hizo dua mbaya bana. Kina mama wakileta jinsi wanavyotudanganya mbona ndoa nyingi zitavunjika wiki hii!... DNA results ni ushahidi tosha. Ukiambiwa siku ile ulipoharibu bajeti na kumpeleka salooni ndio siku mimba ilipotungwa si tutauana bure?

Kina mama, kwa hisani zenu msiseme mnavyotudanganya, Inauma sana.
Wanawake wameumbiwa ustahmilivu wa hali ya juu, ...sie mnh!?, bado kwanza.

Hiyo ndogo!

Vipi pale ambapo unaambiwa kwao kuna shida unatoa pesa ya kumalizia shida na zawadi ukijua kuwa zinakwenda ukweni ....................kumbe mtaa wa 7 kwa kiserengeti boi
 
BHT is too young for this!


BTH toka hapa kabisa...ni pabaya kwa afya yako.

hii mada imenikwaza sana lakini kadiri inavosonga naona I have my own imaginary world which is totally and completely different from the real one mweh!!! ntajibeba!!!!
 
sasa dearest, c mpaka umfume?...akija asubuhi au kama ulivyosoma unaenda kumchukua polic kwa sababu hii na ile utakuwa na hakika gani kama anayatenda?...penye blue, cku zote anzana na mhucka wako, leo umemfanyia vagi hiyu kesho kachota mwingine, utafanyia wangapi?...mie nitaanza na mhucka huyo mwingine kitamhusu pale atakapoingilia....kama atakuwana akili timamu atimue mbio kabisa.

uuh nahisi nahitaji kumtafuta yule mama alielipooza eneo la kutendea hii jambo la mumewe pindi akiwa anacomiti hii kitu inje ya hauzi. nadhani hii ndo itakua komesha yao ma infidelitorsssss.
 
hope 2:

You are completely wrong!

Kwa "uzoefu wangu" : wanawake walioelimika na wenye busara they are "worse": they normally "do it" with impunity. Percentage-Wise they can even beat the "streets girls": Naomba tusichimbe sana huko kwa maana naweza kuharibu ndoa za watu - But I'm 100% certain kwamba in they are deadly Promiscuous!


Baba Enock weeeeeeeeeeeeeeeee

Tutendee haki bana hebu leta promiscuity za hao ZE educated hizo ndo za kudili nazo!
 
Hiyo ndogo!

Vipi pale ambapo unaambiwa kwao kuna shida unatoa pesa ya kumalizia shida na zawadi ukijua kuwa zinakwenda ukweni ....................kumbe mtaa wa 7 kwa kiserengeti boi

...pengine huyo serengeti mwenyewe ndio yule yule uliyetambulishwa ni 'yatima,' mtoto wa shangazi ambaye alifariki wakati wa kujifungua. Mbaya zaidi nawe umejiingiza gharama za kumsaidia elimu, malazi, makaazi na kumtafutia kibarua...
Acha tu bana.
 
ooh yeah hapa nazungumzia nikimbamba, and definately ntaanza na wangu, si unajua kuna wale akina Da Sophy? mi kama yule I tell u mimi na yeye..........haijalishi!!!


na mwanaume mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya?....kile kipindi changu cha miezi 6 nilipokuwa nateseka, japo tulikuwa tupo tupo tu lakini cku nilipochongewa mchongo kuwa yupo mahali fulani na hawara (na yeye alijiachia akiamini malumbano tuliyokuwa nayo bac ctajali) nikaona tunavunjiana heshima, nilipotokeza pale, yeye ndio alikuwa wa kwanza kuniona, BHT nakuwambia niliona vumbi limetimuka tu funguo za gari na makorokoro yake yote aliyasahau...nimeachwa na mwizi wangu pale, nageuka nakuta na yeye anatimuka.....kesho yake alirudi nyumbani na mama nyamayao ndio maisha yakaedeea, sasa hivi hata kama anafanya atakuwa ana wacwac sana nadhani atakuwa havui suruali bali anafungua zipu tu kutoa kitu yake afanye haraka ili acbambwe....havui nguo zote kuhofia muda na kubambwa......BHT cjui nikueleze vipi.
 
Mbu I feel your pain!

Na pengine kuna siku mkuu kwa kutambua kuwa ni yatima ulitoa pesa amabyo ulikuwa wewe ukamlipe mdogo wake halali school fees lakini kwa kujua kuwa huyo yupo hapo home atasubiri kwanza ukaona bora umsaidie aliye kwenye mazingira magumu!

Asa siku ya cku umetonywa unaenda kukakuta kajamaa kamevaa ile boxer yako uliyoipenda sana ulinunua 30 usd pale Woolworth JHB na katika hali ya kutatanisha baada ya kuivaa mara moja ikapotea ukaambiwa umeipoteza safarini kwa nini yeye aliipack the last safari you went!
 
na mwanaume mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya?....kile kipindi changu cha miezi 6 nilipokuwa nateseka, japo tulikuwa tupo tupo tu lakini cku nilipochongewa mchongo kuwa yupo mahali fulani na hawara (na yeye alijiachia akiamini malumbano tuliyokuwa nayo bac ctajali) nikaona tunavunjiana heshima, nilipotokeza pale, yeye ndio alikuwa wa kwanza kuniona, BHT nakuwambia niliona vumbi limetimuka tu funguo za gari na makorokoro yake yote aliyasahau...nimeachwa na mwizi wangu pale, nageuka nakuta na yeye anatimuka.....kesho yake alirudi nyumbani na mama nyamayao ndio maisha yakaedeea, sasa hivi hata kama anafanya atakuwa ana wacwac sana nadhani atakuwa havui suruali bali anafungua zipu tu kutoa kitu yake afanye haraka ili acbambwe....havui nguo zote kuhofia muda na kubambwa......BHT cjui nikueleze vipi.

dearest nimecheka mpaka machozi yananitoka, napata picha sijui uliingia kwa mwendo gani wa pole au wa kasi lol!!!

hv nini kilimkimbiza huyo mwizi wako?? definately she knew alikuwa anakufisadi, sasa hapo mimi ndo nikukamate unafanya knowingly hapo..................staki kurudia aisee, lazima tumalizane!!
 
na mwanaume mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya?....kile kipindi changu cha miezi 6 nilipokuwa nateseka, japo tulikuwa tupo tupo tu lakini cku nilipochongewa mchongo kuwa yupo mahali fulani na hawara (na yeye alijiachia akiamini malumbano tuliyokuwa nayo bac ctajali) nikaona tunavunjiana heshima, nilipotokeza pale, yeye ndio alikuwa wa kwanza kuniona, BHT nakuwambia niliona vumbi limetimuka tu funguo za gari na makorokoro yake yote aliyasahau...nimeachwa na mwizi wangu pale, nageuka nakuta na yeye anatimuka.....kesho yake alirudi nyumbani na mama nyamayao ndio maisha yakaedeea, sasa hivi hata kama anafanya atakuwa ana wacwac sana nadhani atakuwa havui suruali bali anafungua zipu tu kutoa kitu yake afanye haraka ili acbambwe....havui nguo zote kuhofia muda na kubambwa......BHT cjui nikueleze vipi.

Naomba kununua hatoi miliki .....................based on true story.........................:A S tongue: asa si mnaona Life ingekuwa so boring bila hii kitu!
 
.....sasa hivi hata kama anafanya atakuwa ana wacwac sana nadhani atakuwa havui suruali bali anafungua zipu tu kutoa kitu yake afanye haraka ili acbambwe....havui nguo zote kuhofia muda na kubambwa......BHT cjui nikueleze vipi.
:lying😀ah hapa umenifanya nicheke kwa sauti.....lol
 
dearest nimecheka mpaka machozi yananitoka, napata picha sijui uliingia kwa mwendo gani wa pole au wa kasi lol!!!

hv nini kilimkimbiza huyo mwizi wako?? definately she knew alikuwa anakufisadi, sasa hapo mimi ndo nikukamate unafanya knowingly hapo..................staki kurudia aisee, lazima tumalizane!!

Na huo ndo utakuwa mwisho wa wewe kuwa kwenye mahusiano?
 
Na huo ndo utakuwa mwisho wa wewe kuwa kwenye mahusiano?

tumalizane na 'mwizi' wangu, aliyeniibia with intent to do so.........ndicho nilichomaanisha kwa kumalizana, then huyo baba watoto sasa tutalonga nayeye, kikieleweka haya kisipoeleweka verdict itatoka either case.
 
na mwanaume mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya?....kile kipindi changu cha miezi 6 nilipokuwa nateseka, japo tulikuwa tupo tupo tu lakini cku nilipochongewa mchongo kuwa yupo mahali fulani na hawara (na yeye alijiachia akiamini malumbano tuliyokuwa nayo bac ctajali) nikaona tunavunjiana heshima, nilipotokeza pale, yeye ndio alikuwa wa kwanza kuniona, BHT nakuwambia niliona vumbi limetimuka tu funguo za gari na makorokoro yake yote aliyasahau...nimeachwa na mwizi wangu pale, nageuka nakuta na yeye anatimuka.....kesho yake alirudi nyumbani na mama nyamayao ndio maisha yakaedeea, sasa hivi hata kama anafanya atakuwa ana wacwac sana nadhani atakuwa havui suruali bali anafungua zipu tu kutoa kitu yake afanye haraka ili acbambwe....havui nguo zote kuhofia muda na kubambwa......BHT cjui nikueleze vipi.

...hehehe,...nyamayao unaniacha hoi na masahiba yaliyokupata maishani.
Anyway, kwa uzoefu wangu hapo uliposema "...mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya" ndio tofauti waliyonayo Cheaters wanawake compared na Cheaters wanaume.

By the time unakuja gundua Mkeo aliku cheat, tayari jua lishakuchwa na hata nguvu ya ushahidi upande wa mashtaka hakuna tena.
 
dearest nimecheka mpaka machozi yananitoka, napata picha sijui uliingia kwa mwendo gani wa pole au wa kasi lol!!!

hv nini kilimkimbiza huyo mwizi wako?? definately she knew alikuwa anakufisadi, sasa hapo mimi ndo nikukamate unafanya knowingly hapo..................staki kurudia aisee, lazima tumalizane!!


nilihic nikienda na gari akiiona tu anaweza kwenda kushinda ******, nikaenda na tax, mwendo wa pole kabisa tena wa kujichanganya na meza nyingine nakunywa ballantin yangu pole pole, nilivyoona kichwa kimeanza kupata moto ndio nikawa nawasogelea taratibu tu.....cku zile ashukuru alikimbia mana sasa hvi ungenikuta mie cna ndoa, alimuomba mama nyamayao akae japo wiki moja hapo home mana haamini kama mke wake kamsamehe, ucku naona alikuwa hapati ucngizi mana nikijigeuza tu na mwenyewe anageuka, cjui alidhani nitamfunika na mto, ckuwahi kumuuliza/kuhoji tena mpaka leo kuanzia mama nyamayao alivyotupatanisha, hakuamini kama nimeweza kumsamehe....yule dada nae bora alitimika coz nilipata hacra kujua kadada kanakonisumbua ndio haka, yaani kalipata wazo zuri la kutimka......
 
klorokwini kaka yangu wacha tu, mie cjambo kabisa, cjui wewe! yaani nachoka na haya mambo kabisa, mpaka mtoto anafariki mtu upo kwenye starehe zako?...inauma sana.
nimefurahi kuskia uko mzima, mimi niko fiti kuliko kampeni za chadema.

kwakweli hali inatisha sana! wengi wanaingia kwenye ndoa kwa kushawishiwa na michezo ya majuto. hawako serious kabisa.
 
...hehehe,...nyamayao unaniacha hoi na masahiba yaliyokupata maishani.
Anyway, kwa uzoefu wangu hapo uliposema "...mwenye kukuheshimu/kukupenda atatumia akili zake zote za ziada ucmbambe, unadhani kwanini watu hatuwabambi japo wanafanya" ndio tofauti waliyonayo Cheaters wanawake compared na Cheaters wanaume.

By the time unakuja gundua Mkeo aliku cheat, tayari jua lishakuchwa na hata nguvu ya ushahidi upande wa mashtaka hakuna tena.

Mbu...hiyo ni mikiki mikiki ya ndoa, yaani nimejifunza mengi sana kwenye hii sekta, baada ya hilo tukio kwa upande wake nimepumzika kabisa kwa sasa.....
 
Back
Top Bottom