Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Oho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli unahoja ila unajua aliekuumba ndio ameweka ubongo wako kua kilaza hivo Hadi
Sawa ni uongo kwani umeshikiwa fimbo uyaamini
Kweli unahoja ila unajua aliekuumba ndio ameweka ubongo wako kua kilaza hivo Hadi ukawaza hivo?
Kwanini unaamini biblia na si msahafu?kwanini Mungu awe mmoja vitabu vyake viwe zaidi ya kimoja?Huwezi nipangia jinsi ya kuishi dini umezaliwa umezikuta na utakufa utaziacha hiko kitabu biblia kinamiaka almost 7000 na bado wako wanaokiamin
Kama huamin biblia live your life huwez fanya watu wasiamin biblia kwa hoja zako dhaifu na za kiinga
Hivi unapoenda kuomba ushauri kwa sheikh,wakili,padre,mchungaji,n.k. je huwa ni Mungu amekushauri au huyo uliyemuendea?Mwanzo 1:28 inaonyesha mwanadamu anapewa kutawala asingeweza kuambiwa habari za ubaya wakati hajui mema wala mabayia alichotakiwa kufanya ni kutii kike alichoambiwa. Mungu hawezi kuingilia uamuzi wa mwanadamu ila anaweza akamshauri na kumshawishi mabaya kwake yote ni sawa
Huwezi kutoka kwenye mstari iwapo unania ya kupata ukweli na utapata ukweli kupitia wewe mwenyeweHaha, kuna watu mna maswali ya ajabu lakini ni fikirishi sana dah, lakini kweli sasa umuhimu wa shetani duniani ni nini?
Ashatenda makosa kwanini asingetengwa sayari zingine hazina viumbe akaishi huko pamoja na waasi wenzie?
Anyway vitabu vya dini ni fikirishi na vina maswali mengi sana ambayo ukiyahoji lazima utoke kwenye mstari.
Kwa uongo huu wewe ni mtumwa bado,wapo watu wanauwezo wa kutabiri na ikawa kweli bwana sema muafrika kama wewe huwezi kuamini hata kidogo utasema ni uchawi ila majibu ya vipimo vya ultrasound utakubaliNitajaribu kujibu swali moja I hope litatoa Mwanga kwa hayo yanayo bakia.
Sifa za nguvu za Mungu ni tatu Omnipresent, omnipotent na omniscient inapupongua hata moja ya hizi sifa tatu anakua sio Mungu tena.
Hoja yako ni kwamba if God is omniscient (All knowing) why did he create Satan?
Jibu rahisi la kwa nini alimuumba shetani ni kwa sababu anajua yote. Kwa maana nyingine God knows in total (anajua yote kwa ujumla wake). kujua mambo kwa ujumla wake kunamfanya kufanya maamuzi ambayo for us who thinks and know in part would view them as illogical. Nachomaanisha being omniscient makes him choose solutions that are optimal. Kwa maana hio kutomuumba shetani ingekua ni suboptimal solution.
Mfano tuseme ungepewa uwezo wa kujua kesho ukienda kazini utamgonga kijana mmoja na gari na kumvunja mguu, If that is all the information you have ungechukua maamuzi ya kutokwenda kazini kesho. But let's us say you know things in total na unajua yule kijana utakae mgonga alikua anaenda kwenye shule ya watoto wadogo kufanya mauaji kwa hivo kumgonga kwako kungeokoa maisha ya watoto nadhani now ungefanya maamuzi tofauti.
So kwa ufupi jibu ni kwamba Mungu alimuumba shetani sababu Mungu hujua mambo kwa ujumla wake na hii inajibu maswali yaliyobakia chini yake
Wewe ndiyo mjinga unaebadilishiwa eneo tu na mtu yuleyule bado ukaendelea kuamini ujinga.Naomba uruhusiwe mjadala zisiwepo lugha za matusi huyu bwana kaleta hoja fikirishi kwa uelewa wake
Kivipi?hakuna shetani kama yupo basi ni huyohuyo Mungu ndiyo maana binadamu akifariki kwa ajali,magonjwa,n.k mnasema ni mioango ya Mungu au Mungu ndiyo anamoangia kila mtu kifo chake!!Ila ukweli ni kwamba shetani yupo pia mungu yupo .Sisi nikama bidhaa tu mwenye nayo anaweza kuitumia vyovyote anavyotaka
Sindio?Mimi hili la bikira maria kubeba mimba bila kugongwa nalikataa kabisaaaa halipo na haitatokea,kwanini mtume muhamad naye hakuzaliwa kwa style hiyo?
Kiumbe gani kingine kimezaliwa kwa style hiyo?kwanini Mungu aliumba me na ke kwa wanyama wote?
Ujinga huu wa kuamini amini tu kila tualichoambukizwa na wazungu ufike mwisho bwana,je hao waislam wasioamini ukristo na yesu kuwa alizaliwa bila sex wanaadhibiwa kwa kutokuamini hivyo?
Bikra azae bado ni bikra huyo?
Imani zote ni upuuzi tu. Hamna vitu kama ivoKuna hili la watu kunywa pombe/mvinyo eti ni damu ya yesu na itawatakasa na pia kula mkate eti ni mwili wa yesu utawaokoa,hivi hii ni laana na kurogwa unaona kabisa pombe na mkate halafu unaamini ni mwili na damu ya yesu/mtu.
Shitholes wote wasiotaka kudadisi ujinga kama huu sasa kunatofauti gani na sisi tunaoabudu miti na mawe na kufanikiwa ukilinganisha na wao masikini wengi waliojaa makanisani na misikitini?
Kulingana na concept ya Mungu nilivyoielewa katika imani ni kuwa Mungu ni kila kitu na kila kitu kimetokana na Mungu na kila kilichofanyika au kutendeka ni kwa mapenzi yake yeye aliyesema iwe na ikawa na hakuna anayempangia wala kumchagulia cha kufanya kilicho sahihi kwake kwa kuwa hakuna alichokiumba kilichokikamilifu isipokuwa ni yeye.Matukio haya yanaonyesha kwamba dini imejaa uongo.
Tuanze na Biblia.
1. Biblia inasema mungu ni alpha na Omega, mwanzo na mwisho, ni yeye aliepo na ataendelea kuwepo. Kwa maana kwamba mungu ndio chanzo cha vitu vyote, hakuna kitu kilianza bila yeye. Mungu ni mjuzi wa kila kitu.
Tukiamini hivyo ni sawa, lakini tukienda mbele zaidi kutafakari, kama mungu anajua vyote, je alijua kama shetani atakuja kumuasi? Kama alijua ni kwa nini bado alimuumba?
2. Kama mungu aliamua tu kumuumba shetani pamoja na kujua kua atakuja kuasi, alikua na maana gani? Biblia inasema yeye ni mkamilifu, hakuna kitu kidhaifu/kibovu kinatoka kwake, sasa unajiuliza shetani alietoka kwake ni mbovu ama mzima ama mkamilifu?
Hapo jibu ni moja tu, mungu hakujua kama shetani atakuja kumuasi hivyo mungu hajui kila kitu.
3. Baada ya shetani kuasi na malaika zake, kwa maelezo ya biblia shetani alitupwa Duniani. Kwa maana kwamba Dunia haikua na kiumbe ila shetani alitupwa huku kukiwa ni empty.
Baadae mungu akamuumba binadamu na kumuweka Duniani. Kwa maana kwamba Adam amekuja Duniani tayari shetani yupo muda mrefu anakula maisha. So Adam kamkuta shetani Duniani.
4. Baada ya Adam kuletwa Duniani, hakuwahi kuambiwa kwamba kuna kiumbe mwingine anaeishi Duniani tofauti na yeye, so hakupewa tahadhari yoyote. Kwa maana nyingine aliachwa kua vulnerable kwa shetani kumshambulia. Swali, kwa nini mungu hakumuonya Adam kuhusu uwepo wa shetani Duniani? Kwa nini alikaa kimia, lengo lake ilikua nini?. Mbaya zaidi mungu hakumuonya shetani asimrubuni adam, so akaacha loop hole ya shetani kujifanyia anayoyataka, baada ya shetani kufanikiwa, lawama ni kwa Adam.
Tu-assume alipewa maelekezo kidogo, lakini alipewa yeye, hakuna maonyo aliyopewa Eva mke wa Adam ambae shetani alimtumia kama kichochoro, je hawa makosa yao ni nini?
Jibu: Mungu aliwaingiza kwenye mtego maksudi, kuanguka kwa adam ilikua ni maksudi ya mungu kutafta justification ya kumlaumu Adam.
5. Kati ya binadamu na malaika mungu anampenda nani zaidi. Biblia inasema shetani alikua malaika mkuu, alipoasi alipata baadhi ya malaika waliomuunga mkono. Maelezo mazuri kabisa.
Biblia inaenda mbali na kusema baada ya shetani na malaika zake kuasi mungu aliwatupa Duniani watatange take. Tunakubali sawa kabisa.
Swali, kati ya binadamu na malaika ni nani anamjua vizuri shetani? Jibu ni malaika kwa sababu wameumbwa pamoja, wameishi pamoja hivyo wanajuana vizuri.
Swali lingine, kwa akili ya kawaida, ni nani alipaswa kuletwa Duniani kupambana na shetani? Jibu, alipaswa iwe ni malaika kwa sababu wanamjua vizuri zaidi shetani kuliko binadamu. Kwa maana kwamba ingekua rahisi sana kwao kumkataa shetani mapema na akakosa wafuasi kwa sababu wanamjua.
Masikitiko ni kwamba, mungu hakutaka kuwaleta viumbe wake anaowapenda Duniani akaamua kuumba viumbe wengine ambao hawajui lolote na kuja kuwapambanisha na shetani ambae ana superiority knowledge kuliko wao.
Ni sawa na wewe una rungu unaenda kupigana na mtu ana mizinga, drones, fighter jets, na kila kitu halafu utegemee utashinda. Hiki ndio mungu alichoamua kuwafanyia binadamu.
B. Nitakuja kuelezea upande wa quran(huku ndio madudu yalikojaa). Mkitaka na vifungu nitaweka.
Umeandika sana, lakini hujajibu hoja. Kulikuwa na ulazima gani amwumbe binadamu na adui yake awepo? Kama yeye ni pendo kweli, alimleta shetani ili iweje?Kulingana na concept ya Mungu nilivyoielewa katika imani ni kuwa Mungu ni kila kitu na kila kitu kimetokana na Mungu na kila kilichofanyika au kutendeka ni kwa mapenzi yake yeye aliyesema iwe na ikawa na hakuna anayempangia wala kumchagulia cha kufanya kilicho sahihi kwake kwa kuwa hakuna alichokiumba kilichokikamilifu isipokuwa ni yeye.
Mungu yu kila kitu tunachokifahamu kwa kuwa existance ya Mungu ndiyo uwepo wako, uwepo wa malaika,uwepo wa shetani, uwepo wa ulimwengu mzima, uwepo wa wema au uovu n.k kwa kuwa vyote vi ndani yake (kama parts za mwili wake) hivyo anaposema acheni dhambi watu wangu mtaangamia anajikosoa yeye binafsi na uumbaji wake kwa kuwa anaelewa mabaya yakizidi mizania ya wema na ubaya unaoleta balansi utapwaya na hatimaye atadhurika, na hii itamwondolea sifa ya ukamilifu ambayo ndiyo ukuu wake.
Kwani uovu ukiendelea atalazimika kuondoa kiungo kimoja kimoja kinachomkosesha hata kama ni mkono ataukata na kama ni jicho yuko radhi kuling'oa abakie na chongo "siyo maneno yangu bali ni Yesu mwenyewe katika mafundisho yake" ndiyo maana wapinzani wake umdhiaki kwa alama ya chongo katika ishara zao.
Naye anazidi kukuambieni ya kwamba je, hamjui ya kuwa ndinyi mu miungu? Na mimi ndani yake nanyi ndani yangu nasi pamoja naye tu wamoja.
Hivyo utaona kuwa kila part ya mungu aliyoiumba na kuipa uhai kama yeye ina utambuzi fulani wa kimungu ndani yake juu ya kuamua cha kufanya na kutokufanya bila kuingiliwa kama mungu mwenyewe, kikubwa Mungu utoa guidelines na counseling tu ila maamuzi ni yako, mwisho wa siku vyote ufanyika kwa ajili ya kukamilisha utukufu na mapenzi yake yeye aliyempaji.
Natabiri kesho hautakufa leo usiku wa tarehe 27 Feb...Kwa uongo huu wewe ni mtumwa bado,wapo watu wanauwezo wa kutabiri na ikawa kweli bwana sema muafrika kama wewe huwezi kuamini hata kidogo utasema ni uchawi ila majibu ya vipimo vya ultrasound utakubali