Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

Unahisi umesoma insha na kuielewa kumbe bado; nimesema mungu ili akamilike kuitwa mungu lazima awe mbaya na mzuri at the same time kwa kuwa vyote uzuri na ubaya vipo ndani yake yeye lakini lazima viwe katika mizania sawa.

1Samweli 16:14-23 Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.

Zaburi 106:40 Hasira ya BWANA ikawaka juu ya watu wake, Anauchukia urithi wake.

Kwa mfano huo wa mistari hiyo michache nadhani umenielewa sasa kuwa Mungu ndiye kila kitu ukijuacho ni binadamu, ni shetani,ni ulimwengu, ni vinavyoonekana na visivyoonekana vyote vinamkamilisha yeye vyote ni utukufu wake lakini vyote vinahitajika kwa mizania (mfano mema na mabaya) endapo kimoja kikitaka kuzidi dhidi ya kingine umdhuru yeye aliye mkamilifu hivyo hana budi kuchukua hatua.

Na viumbe vyote ukiwemo binadamu huko ulivyo kwa mapenzi na rehema zake yeye aliyetaka uishi hivyo, kwa kuwa mungu ndani yake ana upande wa WEMA/ UBAYA/WEMA NA UBAYA kwa pamoja/ISIYOELEZEKA.
(Ufafanuzi wa hiki kifungu huu hapa chini)

Kuna viumbe kaviumba kutenda mema (malaika), kuna viumbe kaviumba kutenda mema na mabaya(binadamu), kuna viumbe vimeumbwa kutenda mabaya tu(shetani) kuna viumbe au vitu atujui vyenyewe vina dhambi au havina (wanyama,ulimwengu kiujumla) na kuna hali au mambo hayaelezeki hata kwa fikra zetu au maneno n.k

Kama umenielewa sasa, zote hizi ni sifa za Mungu na ndiyo ukamilifu wake na hawezi kuviangamiza maana vina co-exist kwa kutegemeana na vyote kavipenda, kaviumba na kuvibariki.

Kama binadamu jukumu lako nikuhakikisha unabalance mizania ya wema na ubaya usiyumbe maana ukizidisha wema utaangukia kwa malaika na dunia itakutesa na ukizidisha ubaya utaangukia kwenye sifa isiyo yako pia ambayo ni ushetani hivyo kwa lugha nyepesi wapaswa kuishi katikati ndiyo maana bila kutenda dhambi na wema kwa pamoja binadamu hawezi ku-exist juu ya uso wa dunia kwa amani.
 
Umeandika sana, lakini hujajibu hoja. Kulikuwa na ulazima gani amwumbe binadamu na adui yake awepo? Kama yeye ni pendo kweli, alimleta shetani ili iweje?

Hivi unayempenda unamwekea mitego badala ya ulinzi 100%?

Halafu hao waovu nao humwomba yeye na anawapa, tena anawapa sawa kabisa na watu wema, ili iweje? Huwezi kukataa. Waharibifu wa dunia kwa kufadhili uovu wanaishi kwa amani kuliko wanaodhurika na uovu huo. Kwanini?

Na kwanini dini imekuwa uchochoro wa upigaji tena kwa kutajwa yeye na wapigaji wananeemeka vilivyo huku yeye mwenyewe akiwanyima maskini na kuwapa wenye nacho?

Mimi ninafikiri dini na uwepo wa Mungu ni falsafa kama zilivyo falsafa nyingine ili to balance maisha ya watu na kuwezesha urahisi wa utawala wa watu.

Twende tubishane kwa hoja.
Sorry nimekujibu lakini nilisahau kufanya quotation
 
Unahisi umesoma insha na kuielewa kumbe bado; nimesema mungu ili akamilike kuitwa mungu lazima awe mbaya na mzuri at the same time kwa kuwa vyote uzuri na ubaya vipo ndani yake yeye lakini lazima viwe katika mizania sawa.

1Samweli 16:14-23 Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.

Zaburi 106:40 Hasira ya BWANA ikawaka juu ya watu wake, Anauchukia urithi wake.

Kwa mfano huo wa mistari hiyo michache nadhani umenielewa sasa kuwa Mungu ndiye kila kitu ukijuacho ni binadamu, ni shetani,ni ulimwengu, ni vinavyoonekana na visivyoonekana vyote vinamkamilisha yeye vyote ni utukufu wake lakini vyote vinahitajika kwa mizania (mfano mema na mabaya) endapo kimoja kikitaka kuzidi dhidi ya kingine umdhuru yeye aliye mkamilifu hivyo hana budi kuchukua hatua.

Na viumbe vyote ukiwemo binadamu huko ulivyo kwa mapenzi na rehema zake yeye aliyetaka uishi hivyo, kwa kuwa mungu ndani yake ana upande wa WEMA/ UBAYA/WEMA NA UBAYA kwa pamoja/ISIYOELEZEKA.
(Ufafanuzi wa hiki kifungu huu hapa chini)

Kuna viumbe kaviumba kutenda mema (malaika), kuna viumbe kaviumba kutenda mema na mabaya(binadamu), kuna viumbe vimeumbwa kutenda mabaya tu(shetani) kuna viumbe au vitu atujui vyenyewe vina dhambi au havina (wanyama,ulimwengu kiujumla) na kuna hali au mambo hayaelezeki hata kwa fikra zetu au maneno n.k

Kama umenielewa sasa, zote hizi ni sifa za Mungu na ndiyo ukamilifu wake na hawezi kuviangamiza maana vina co-exist kwa kutegemeana na vyote kavipenda, kaviumba na kuvibariki.

Kama binadamu jukumu lako nikuhakikisha unabalance mizania ya wema na ubaya usiyumbe maana ukizidisha wema utaangukia kwa malaika na dunia itakutesa na ukizidisha ubaya utaangukia kwenye sifa isiyo yako pia ambayo ni ushetani hivyo kwa lugha nyepesi wapaswa kuishi katikati ndiyo maana bila kutenda dhambi na wema kwa pamoja binadamu hawezi ku-exist juu ya uso wa dunia kwa amani.
Nikipata nafasi nitaandika kitu. Kwa sasa niko bize na palizi.
 
Binafsi naomba msiandike haya mambo maana mimi licha ya kumpenda Mungu ila kuna mambo huwa yananipa mashaka sanaa sasa mkianza na nyie kuyachambua chambua hiv mnataka nipoteze imani na ulokole wangu wa kuunga unga huu.😎
 
Binafsi naomba msiandike haya mambo maana mimi licha ya kumpenda Mungu ila kuna mambo huwa yananipa mashaka sanaa sasa mkianza na nyie kuyachambua chambua hiv mnataka nipoteze imani na ulokole wangu wa kuunga unga huu.[emoji41]
Olewenu wenye imani haba...
Dini yeny sindo mnasema kua ukifa usipokua na imani unaenda moton? Kaz kwako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahisi umesoma insha na kuielewa kumbe bado; nimesema mungu ili akamilike kuitwa mungu lazima awe mbaya na mzuri at the same time kwa kuwa vyote uzuri na ubaya vipo ndani yake yeye lakini lazima viwe katika mizania sawa.

1Samweli 16:14-23 Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.

Zaburi 106:40 Hasira ya BWANA ikawaka juu ya watu wake, Anauchukia urithi wake.

Kwa mfano huo wa mistari hiyo michache nadhani umenielewa sasa kuwa Mungu ndiye kila kitu ukijuacho ni binadamu, ni shetani,ni ulimwengu, ni vinavyoonekana na visivyoonekana vyote vinamkamilisha yeye vyote ni utukufu wake lakini vyote vinahitajika kwa mizania (mfano mema na mabaya) endapo kimoja kikitaka kuzidi dhidi ya kingine umdhuru yeye aliye mkamilifu hivyo hana budi kuchukua hatua.

Na viumbe vyote ukiwemo binadamu huko ulivyo kwa mapenzi na rehema zake yeye aliyetaka uishi hivyo, kwa kuwa mungu ndani yake ana upande wa WEMA/ UBAYA/WEMA NA UBAYA kwa pamoja/ISIYOELEZEKA.
(Ufafanuzi wa hiki kifungu huu hapa chini)

Kuna viumbe kaviumba kutenda mema (malaika), kuna viumbe kaviumba kutenda mema na mabaya(binadamu), kuna viumbe vimeumbwa kutenda mabaya tu(shetani) kuna viumbe au vitu atujui vyenyewe vina dhambi au havina (wanyama,ulimwengu kiujumla) na kuna hali au mambo hayaelezeki hata kwa fikra zetu au maneno n.k

Kama umenielewa sasa, zote hizi ni sifa za Mungu na ndiyo ukamilifu wake na hawezi kuviangamiza maana vina co-exist kwa kutegemeana na vyote kavipenda, kaviumba na kuvibariki.

Kama binadamu jukumu lako nikuhakikisha unabalance mizania ya wema na ubaya usiyumbe maana ukizidisha wema utaangukia kwa malaika na dunia itakutesa na ukizidisha ubaya utaangukia kwenye sifa isiyo yako pia ambayo ni ushetani hivyo kwa lugha nyepesi wapaswa kuishi katikati ndiyo maana bila kutenda dhambi na wema kwa pamoja binadamu hawezi ku-exist juu ya uso wa dunia kwa amani.
Nimerudi mkuu, tuendelee na mada yetu.

Mimi ni mkristo kwa kuzaliwa. But baadaye nilipotea tena ukubwani nikiwa na timamu zangu mkichwa.

Sababu ya kupoteza imani ni midahalo na mafundisho kutoka kwa watu niliowaamini ni viongozi wa kiroho. Nikaja kugundua nao ni shida. Maneno yao na ukweli juu ya wanenayo havina uhusiano.

Udadisi uliwahi kuniponza hadi nilichukiwa na padri. Kisa, akikuwa anaendesha gari pembeni ameweka chupa ya bia iliyofungulia. Akienda umbali fulani, anachukua anakunywa kisha tunaendelea na safari.

Nilimwuliza, kunywa vileo ni dhambi, na wewe unakunywa. Kwanini? Alinijibu mind your own business. Nikamwuliza kama Mungu yupo au, alinijibu hata yeye hajawahi kujua.

Hoja yangu hapa ni hii. Nini ushahidi wa uwepo wa Mungu wetu tunayemwabudu?

Nina ushahidi wa uwepo wa shetani pekee. Matendo maovu yote duniani ni kazi ya shetani.

Utajiri na umaskini vyote ni mipango ya shetani. Magonjwa na matibabu yake ni mpango wa shetani.

Unaweza usinielewe. Lakini ninamaanisha.

Karibu.
 
Nimerudi mkuu, tuendelee na mada yetu.

Mimi ni mkristo kwa kuzaliwa. But baadaye nilipotea tena ukubwani nikiwa na timamu zangu mkichwa.

Sababu ya kupoteza imani ni midahalo na mafundisho kutoka kwa watu niliowaamini ni viongozi wa kiroho. Nikaja kugundua nao ni shida. Maneno yao na ukweli juu ya wanenayo havina uhusiano.

Udadisi uliwahi kuniponza hadi nilichukiwa na padri. Kisa, akikuwa anaendesha gari pembeni ameweka chupa ya bia iliyofungulia. Akienda umbali fulani, anachukua anakunywa kisha tunaendelea na safari.

Nilimwuliza, kunywa vileo ni dhambi, na wewe unakunywa. Kwanini? Alinijibu mind your own business. Nikamwuliza kama Mungu yupo au, alinijibu hata yeye hajawahi kujua.

Hoja yangu hapa ni hii. Nini ushahidi wa uwepo wa Mungu wetu tunayemwabudu?

Nina ushahidi wa uwepo wa shetani pekee. Matendo maovu yote duniani ni kazi ya shetani.

Utajiri na umaskini vyote ni mipango ya shetani. Magonjwa na matibabu yake ni mpango wa shetani.

Unaweza usinielewe. Lakini ninamaanisha.

Karibu.

1. Kabla ya kutaka ushahidi unaokuzidi upeo juu ya uwepo wa Mungu, unapaswa kujiuliza kwanza kama na wewe upo au haupo.

2. Kipi cha muhimu kwako; Kupata ushahidi kama yupo Mungu au Kujua kwanza kujihusu?
 
1. Kabla ya kutaka ushahidi unaokuzidi upeo juu ya uwepo wa Mungu, unapaswa kujiuliza kwanza kama na wewe upo au haupo.

2. Kipi cha muhimu kwako; Kupata ushahidi kama yupo Mungu au Kujua kwanza kujihusu?
1. Mimi nipo, kutoka kwa baba na mama.

Utaniuliza walitoka wapi. Sijui, huenda ni familia ya Adam na Hawa au kule alikoolea Kaini, nduguye Abel.

Huo ni utata mwingine. Kama Adam na Hawa ndio waumbwa wa kwanza, Kaini alioa kutoka jamii gani na iliumbwa na nani na wakati gani.

2. Ili nijue kujihusu, napaswa kujua historia yangu. Nijue nilipo na niendako. Yote hayo hayana majibu ya wazi.

Huenda ukawa mmoja wa watakaonisaidia kujifahamu.
 
Nimerudi mkuu, tuendelee na mada yetu.

Mimi ni mkristo kwa kuzaliwa. But baadaye nilipotea tena ukubwani nikiwa na timamu zangu mkichwa.

Sababu ya kupoteza imani ni midahalo na mafundisho kutoka kwa watu niliowaamini ni viongozi wa kiroho. Nikaja kugundua nao ni shida. Maneno yao na ukweli juu ya wanenayo havina uhusiano.

Udadisi uliwahi kuniponza hadi nilichukiwa na padri. Kisa, akikuwa anaendesha gari pembeni ameweka chupa ya bia iliyofungulia. Akienda umbali fulani, anachukua anakunywa kisha tunaendelea na safari.

Nilimwuliza, kunywa vileo ni dhambi, na wewe unakunywa. Kwanini? Alinijibu mind your own business. Nikamwuliza kama Mungu yupo au, alinijibu hata yeye hajawahi kujua.

Hoja yangu hapa ni hii. Nini ushahidi wa uwepo wa Mungu wetu tunayemwabudu?

Nina ushahidi wa uwepo wa shetani pekee. Matendo maovu yote duniani ni kazi ya shetani.

Utajiri na umaskini vyote ni mipango ya shetani. Magonjwa na matibabu yake ni mpango wa shetani.

Unaweza usinielewe. Lakini ninamaanisha.

Karibu.
Kunywa pombe sio dhambi kulingana na biblia. 1Tim 5:23

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimerudi mkuu, tuendelee na mada yetu.

Mimi ni mkristo kwa kuzaliwa. But baadaye nilipotea tena ukubwani nikiwa na timamu zangu mkichwa.

Sababu ya kupoteza imani ni midahalo na mafundisho kutoka kwa watu niliowaamini ni viongozi wa kiroho. Nikaja kugundua nao ni shida. Maneno yao na ukweli juu ya wanenayo havina uhusiano.

Udadisi uliwahi kuniponza hadi nilichukiwa na padri. Kisa, akikuwa anaendesha gari pembeni ameweka chupa ya bia iliyofungulia. Akienda umbali fulani, anachukua anakunywa kisha tunaendelea na safari.

Nilimwuliza, kunywa vileo ni dhambi, na wewe unakunywa. Kwanini? Alinijibu mind your own business. Nikamwuliza kama Mungu yupo au, alinijibu hata yeye hajawahi kujua.

Hoja yangu hapa ni hii. Nini ushahidi wa uwepo wa Mungu wetu tunayemwabudu?

Nina ushahidi wa uwepo wa shetani pekee. Matendo maovu yote duniani ni kazi ya shetani.

Utajiri na umaskini vyote ni mipango ya shetani. Magonjwa na matibabu yake ni mpango wa shetani.

Unaweza usinielewe. Lakini ninamaanisha.

Karibu.
Ushahidi wa uwepo wa shetani unao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna binadamu amewahi kutumia akili yake kwa angalau 0.5% kama kuna binadamu atamudu kufika angalau 0.5% ya kutumia akili basi anaweza kupaa bila kutumia Kifaa chochote. Na anaweza kufanya mambo makubwa ya kuishangaza dunia. Sisi binadamu kamwe hatuwezi kumwelewa Mungu, kiwango cha akili tunachokitumia ni kidogo mno ni sawa na Kuku aanze kufanya tafakuri ya kumchambua binadamu anayemfuga kwamba alitoka wapi, kwanini alimjengea Banda nje ili aishi mazingira hatarishi, kwanini asimwache walale wote kitandani na mfugaji wake, kamwe hatapata majibu.
 
Hakuna binadamu amewahi kutumia akili yake kwa angalau 0.5% kama kuna binadamu atamudu kufika angalau 0.5% ya kutumia akili basi anaweza kupaa bila kutumia Kifaa chochote. Na anaweza kufanya mambo makubwa ya kuishangaza dunia. Sisi binadamu kamwe hatuwezi kumwelewa Mungu, kiwango cha akili tunachokitumia ni kidogo mno ni sawa na Kuku aanze kufanya tafakuri ya kumchambua binadamu anayemfuga kwamba alitoka wapi, kwanini alimjengea Banda nje ili aishi mazingira hatarishi, kwanini asimwache walale wote kitandani na mfugaji wake, kamwe hatapata majibu.
What a load of bs [emoji849]. Hio 0.5% umeipimaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Mimi nipo, kutoka kwa baba na mama.

Utaniuliza walitoka wapi. Sijui, huenda ni familia ya Adam na Hawa au kule alikoolea Kaini, nduguye Abel.

Huo ni utata mwingine. Kama Adam na Hawa ndio waumbwa wa kwanza, Kaini alioa kutoka jamii gani na iliumbwa na nani na wakati gani.

2. Ili nijue kujihusu, napaswa kujua historia yangu. Nijue nilipo na niendako. Yote hayo hayana majibu ya wazi.

Huenda ukawa mmoja wa watakaonisaidia kujifahamu.
Jibu lako tu linaonesha kuwa ujielewi kuwa wewe binafsi ni nani.
Kwa maana hata wazazi wako utumika kama chombo cha kukuleta katika maisha haya lakini nyuma ya uumbaji wa kiini tete toka katika hatua ya manii hadi uhai kamili wa kiumbe ni fumbo.
1. Je, wewe ni mwili na akili yako?
(Hata hiyo akili pia pengine ujuhi ni nini na inatoka wapi (ni ubongo tu? Au kuna namna?) na mipaka/miisho yake ni ipi?)

2. Ama wewe ni mwili na kitu usichokifahamu hivyo unakiita roho au wewe ni kitu kingine usichokijua unakiita nafsi?

3. Je, huyu anayesoma hapa sasa hivi nakutafakari kinachoulizwa ni nani?

4. Je, unapoitwa jina lako na mtu mwingine huwa unajisikia vipi? Huwa unahisi una-ubii au muunganiko fulani usioelezeka na ilo jina au huwa unahitika tu kwa kuwa ni kiwakilishi/kitambulisho cha namna ya kukutofautisha na wengine?
 
Jibu lako tu linaonesha kuwa ujielewi kuwa wewe binafsi ni nani.
Kwa maana hata wazazi wako utumika kama chombo cha kukuleta katika maisha haya lakini nyuma ya uumbaji wa kiini tete toka katika hatua ya manii hadi uhai kamili wa kiumbe ni fumbo.
1. Je, wewe ni mwili na akili yako?
(Hata hiyo akili pia pengine ujuhi ni nini na inatoka wapi (ni ubongo tu? Au kuna namna?) na mipaka/miisho yake ni ipi?)

2. Ama wewe ni mwili na kitu usichokifahamu hivyo unakiita roho au wewe ni kitu kingine usichokijua unakiita nafsi?

3. Je, huyu anayesoma hapa sasa hivi nakutafakari kinachoulizwa ni nani?

4. Je, unapoitwa jina lako na mtu mwingine huwa unajisikia vipi? Huwa unahisi una-ubii au muunganiko fulani usioelezeka na ilo jina au huwa unahitika tu kwa kuwa ni kiwakilishi/kitambulisho cha namna ya kukutofautisha na wengine?
[emoji848] utakuwa mchungaji wewe.
 
Mungu ametupa uhuru wa sisi kuamua tumfuate au tumuasi.

Hiyo haiondoi au haibadilishi ukuu/uungu wake.

Sisi ndio wenye maamuzi wenyewe, kutaka Mungu atuingilie maamuzi yetu kutaharibu dhana nzima ya 'free will' aliyotupa kwa upendo uliotukuka.
Kwanini atupe uhuru wa kuchagua lakini tukiutumia uhuru huo kumchagua shetani anadai atatuchoma moto kwasababu hatukumchagua yeye,kwamba atatuchoma sisi na tuliyemchagua
 
Back
Top Bottom