Mimi sijashangaa chochote kufufua watu, Ila nashangaa mungu wa Quran jukumu la kutoa roho kampa Malaika mtoa roho, lakini jukumu la kufufua hajatoa maelezo yoyote kwamba Nani amempa jukumu Hilo.
Kwa kukusaidia tuu,
Mungu MUWEZA WA YOTE Kama alivyotoa mamlaka na uweza Kwa baadhi ya viumbe wake kama vile kuleta watu Duniani, kuondoa watu Duniani, ndivyo kuna mhusika aliyepewa power ya kufufua wafu wote ikiwemo Mtume Muhammad SWA.
Mhusika huyo anafahamika kama Yesu Kristo.
Unaweza ukanieleza kitabu cha Injili lengo lake kuu NI lipi Kwa Wanadamu? Kwa mujibu wa uislam.
Maana kila kitabu kina lengo kuu
Lete rejea ya ARGUMENT yako...
Mola Mlezi anasema kuhusu Yesu [Nabii wa Allah Issah mwana wa Mariam]
Indeed, the example of Jesus to Allah is like that of Adam. He created him from dust; then He said to him, "Be," and he was.
-Surah Aal-E-Imran, Ayah 59
Akasema tena
O People of the Scripture, do not commit excess in your religion or say about Allah except the truth. The Messiah, Jesus, the son of Mary, was but a messenger of Allah and His word which He directed to Mary and a soul [created at a command] from Him. So believe in Allah and His messengers. And do not say, "Three"; desist - it is better for you. Indeed, Allah is but one God. Exalted is He above having a son. To Him belongs whatever is in the heavens and whatever is on the earth. And sufficient is Allah as Disposer of affairs.
-Surah An-Nisa', Ayah 171
Mola Mlezi anasema tena
[Jesus] said, "Indeed, I am the servant of Allah . He has given me the Scripture and made me a prophet.
-Surah Maryam, Ayah 30
Mola Mlezi anasema kwenye aya nyingine
And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.
-Surah Al-Ma'idah, Ayah 116
Kwa lugha nyepesi Jesus has never claimed to be GOD or have have any devine power besides what Almighty God bestowed to HIM as a sign to HIS people to obey COMMANDMENTS of the Lord Almighty God