Matukio yatakayokumbukwa JF miaka 50 ijayo

Watu watamkumbusha tu ngoja akosee mahali[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhaya mmoja alisema "Ogopa Mungu na mitandao"

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
Mkuu amu Mimi sikuwa mpigaji wakuu, nilikuwa katika msoto na mpaka leo bado nasota japo nimeacha inshu za kuanzisha thread! Nasota kimya kimya.
Kipindi kile nilifanikiwa kupata kazi ya kuhudumia mifugo huko Bagamoyo, cc Kurunzi ni shahidi.
 
Hakuna mtu aliesema wewe ni mpigaji.
Mkuu amu Mimi sikuwa mpigaji wakuu, nilikuwa katika msoto na mpaka leo bado nasota japo nimeacha inshu za kuanzisha thread! Nasota kimya kimya.
Kipindi kile nilifanikiwa kupata kazi ya kuhudumia mifugo huko Bagamoyo, cc Kurunzi ni shahidi.
 
kuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi labda wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ jf kila mtu ni undercover
 
so sad.... hapa watu walikosa utu... unyama,ulitendeka hapa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Mkuu, akija kunisimanga uje unitetee
Verified id : Kanungira karim
Id ya uchochoroni : Mjukuu wa chifu kama sikosei.
Alitikisa sana kule jukwaa la pichaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alikua anajiita Kinondoni sweetheart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…