Ile battle ya Humble African na CCNP ENGINEER ilikuwa Vita Moja mbaya saana kwa engineer alitandikwa mwanzo mwisho Hadi akaisusa ID yake Hadi leo imebaki gofu.
Ile Vita ilimuacha na majeraha makubwa saana Engineer.
Sent using Jamii Forums mobile app
BATTLE!..Humble African Vs CCNP Engineer. - JamiiForumsMkuu kama unaukumbuka huo Uzi hebu upandishe hapa wengine ulitupita,huenda kuna cha kujifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuwa mpigaji, jamaa ni mtafutaji nakumbuka nilikutana nae. Mtu poa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema CCNP ENGINEER alifuta comments zake zote baada ya kuona maji yanataka kuzidi unga.
Si ndo akakusifia wewe ni mhandsome [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee ni kweli nimesoma Uzi hadi mwisho nimeona komenti yake moja tu kuna mtu alim quoteSema CCNP ENGINEER alifuta comments zake zote baada ya kuona maji yanataka kuzidi unga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu watamkumbusha tu ngoja akosee mahali[emoji23][emoji23]Halafu kuna member mmoja ni verified member lakini kumbe alikuwa na Id nyingine ya kike na alikuwa anaitumia kudatisha wanaume humu kiasi cha kutuma picha za mitego, wacha mods waunganishe Id hiyo ya kike na hiyo verified.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa alipotea jf kwa muda sana, nimeanza kumuona last week.
Muhaya mmoja alisema "Ogopa Mungu na mitandao"Halafu kuna member mmoja ni verified member lakini kumbe alikuwa na Id nyingine ya kike na alikuwa anaitumia kudatisha wanaume humu kiasi cha kutuma picha za mitego, wacha mods waunganishe Id hiyo ya kike na hiyo verified.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa alipotea jf kwa muda sana, nimeanza kumuona last week.
πKaka Tuchati
hahhahah hii ni true kabisaππIla jf ni hatari sana. Yaani ukiwa unaanzisha uzi, unachangia kama vile watu hawakuoni vile. Ila siku ukizingua na wakabahatika kukubana, unaweza ukawa unaiogopa simu kama vile watatoka humo kuja kukusimanga uso kwa uso.
daahhh ile ilikuwa balaa jf ili taka kustuck that dayLile tifu la Ontario halikuenda peke yake kuna couple maarufu na yenyewe ilikua exposed,
Kuna yule aliitwa Raimundo akapigwa ban ya muda mrefu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
πππ jf kila mtu ni undercoverkuna watu ni wanoko humu ndani,unaweza ukahisi labda wanakujua,yaani mtu anakuletea post yako ya 2013 ukidai una mke na watoto 3,wakati post ya sasa umesema uko form 4[emoji23][emoji23][emoji23].
so sad.... hapa watu walikosa utu... unyama,ulitendeka hapaIliyoniumiza ni ile post ya jamaa alikuwa na matatizo ya kifua nadhani akawa anaomba sana msaada wa mawazo hadi anatumia picha akiwa hospitali, siku akapost natamani hadi kufa kwa maumivu... Kuna watu waka reply una ngoja nini kufa, hakukaa sana akazidiwa akafa.... Ni post iliyoniuma
Alikua anajiita Kinondoni sweetheartππ π π π π
Mkuu, akija kunisimanga uje unitetee
Verified id : Kanungira karim
Id ya uchochoroni : Mjukuu wa chifu kama sikosei.
Alitikisa sana kule jukwaa la pichaππππ