Hizi sifa za Uhandsamu wa 13 mega pixel nimezisikia sikia sana
Nitumie [emoji23][emoji23][emoji23] ilinipita.Niliscreenshot
wewe ulijuaje bestitoOoh sawa, lakini mbona ile ilikuwa inajulikana na walitujulisha wao wenyewe?
Nimeisoma ile thread iliyomuumbua jamaa nimecheka sana. Watu kweli wachunguzi aisee😂😂mambo ni yente yente
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mzee wa Assist aliishia wapi?
Jf watu wameliwa heka kiboya sana
Yaani jf[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuna bifu za wadada Kugombeaa wanaume
nakumbuka kuna Siku zilitupiwa picha humu
jamaa alikusanya picha za wadada tofauti tofauti akawa anatupia,
wadada na makundi yao nayo wanachambana,
watu matumbo joto...Poleni sana wenzangu mlioliwa kimasihara...
msiogope kushare.
Kuna na lile balaa lako lilileta varangati humu.
Nipeleke kwenye huo mtanange mkuu...ila kiranga mbishi sana toka zamaniKiranga vs mshana jr.
Itakumbukwa daima, aligalagazwa mtu humo ndani balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule bwana aliyetuchota ametoka kigoma kwa train na buku 2 mfukoni hana pa kufikia.
Alitukesesha siku zote za safari yake.
Sasa hivi naona karudi kwenye uhalisia wake.
aise
mama wawili
DuhLile tifu la Ontario halikuenda peke yake kuna couple maarufu na yenyewe ilikua exposed,
Kuna yule aliitwa Raimundo (Mzee wa Assist) akapigwa ban ya muda mrefu.
Hii ya Gire ilikuwaje?Alikuja pm bwana. Yani nilimjibu salamu ila nikahisi kuna kitu hakipo sawa. Akaandika tena nikasema heeeeeh kumekucha.
Kuja kusoma nyuzi zake vizuri naona mashkolo.
Kaamua kufake sema kakosea pa kufake.
Lakini Giree atabaki kuwa juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo raimundo ilikuwaje mkuu..Ila ile siku ziwekwe picha za utupu niliogopa sana..
Nilihisi kama ni mm vile
Tarehe 13 jan 2018 Ontario kalipuliwa
Tarehe 13Amay 2020 Wa uswiz kalipuliwa
Tarehe 16 june 2017 Raimundo akalipuliwa..
Huzo tarehe vipi wakuu
hapana nimesikia pia siyo mchoyoNaona leo mmeamuamulia 13 mega pixel tatizo lake ni moja ukiweka hela za vicoba vibaya anatembea nazo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaahaaaaa.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo raimundo ilikuwaje mkuu..
Jamaa alitumia akili nyingi sana kutunyoosha...[emoji23][emoji23]
Alitapeli wasamaria wema humu.Jamaa alitumia akili nyingi sana kutunyoosha...[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app