Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Haaaaa.... Eti haya ya kweli mzee mwenzangu [emoji23][emoji23]Kaka Tuchati
Gilesi[emoji23][emoji23][emoji23]Gilesiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha!Kweli umenikumbusha yule member aisee yule ni inner circle of the state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hewaaa salamu ndugu!!Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa...
Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta"! Ukweli huu hapa... - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Walificha ujinga wa watanzania ulioanza kujidhihirisha kwenye comments.We unafikiri kwanini walifunga comments?
Uliwauliza Sababu?
mkumbuke kunawa kila baada ya ku'post reply saw wana jf
Mimi hasa ya Giles imeniacha hoiDah!!wanadamu bhana!!nimecheka sana[emoji3][emoji3]
Duh! sijui nilikuwa wapi habari za kutumbuliwa kwa Paraboa napata leo ila alizidi misifa kweli nimeamini JF kiboko yote kwa yote mimi sisahau ya yente na 7800(Sweta la Tanzania).
Nakumbuka ile battle ya mzee wa kuachia ushuzi na kujisifia... bwana CCNP ENGINEER akiwa na humble africa...
Ile vita ilikuwa hatari sana..
Sent from my iPhone using JamiiForums
EwaaaaMuwe mnaweka link kwaajili ya reference za hizo nyuzi wengine zilitupita
Natamani tutete pm kama hutojaliWalificha ujinga wa watanzania ulioanza kujidhihirisha kwenye comments.
Ndio sababu waliyonipa.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Kama ni interview usije kama una tatizo la ushauri karibu.
Mtaje jina tumjue,Halafu kuna member mmoja ni verified member lakini kumbe alikuwa na Id nyingine ya kike na alikuwa anaitumia kudatisha wanaume humu kiasi cha kutuma picha za mitego, wacha mods waunganishe Id hiyo ya kike na hiyo verified.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa alipotea jf kwa muda sana, nimeanza kumuona last week.
Usiogope karibia plzKama ni interview usije kama una tatizo la ushauri karibu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Culture hajawahi kuogopa kitu.
Halafu kuna member mmoja ni verified member lakini kumbe alikuwa na Id nyingine ya kike na alikuwa anaitumia kudatisha wanaume humu kiasi cha kutuma picha za mitego, wacha mods waunganishe Id hiyo ya kike na hiyo verified.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa alipotea jf kwa muda sana, nimeanza kumuona last week.