Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unakumbuka ule uzi wake alioletaga kwa heshima ya JF ilibidi mode waufute?Ebu muache huyo jamaa bana......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangazi Toka Uganda anamwita MMU🏃🏃🏃🏃🏃
Shemeji VP tena naona wanakuchokoza😂😂😂Kaka Tuchati
Mi kuna uzi wa mtu alitabiri kama sijakosea huu mwaka 2020 kwamba watakufa watu wengi sana maarufu, wanasiasa na wasanii, mwenye kuupata aupandishe tujifunze kitu.Jamani kuna Uzi Fulani Wa jamaa nishasahau anaitwaje ila alitabiri kiongozi wa Serikali ya awamu ya 5 na namna Serikali itavyoendeshwa. Na utabiri huo aliufanya kabla ya 2015 kama sikosei ni 2012 au 13 hivi. Mwenye kuupandisha hapa afanye hivyo tafadhali. Ule Uzi tungekuwa tunatoa nyota humu ningeupa nyota 5!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga vs mshana jr.
Itakumbukwa daima,aligalagazwa mtu humo ndani balaa.
Shangazi toka Uganda anakuita MMU😂😂🏃🏃🏃Kuna mtu alikuwa anavunga demu na ID ya kike humu alikuwa anatingisha Vidume wa JF kama Money Penny vile huko MMU.
Mara Paaap, Mods wakafanya yao ( Kuunganisha IDs ) akawa Erick otieno.
Tehe Tehe!
Hawanichokozi Mimi, wanachokoza Moto 🔥 🔥 🔥Shemeji VP tena naona wanakuchokoza😂😂😂
Shemeji yangu WhatsApp umenitupaHawanichokozi Mimi, wanachokoza Moto 🔥 🔥 🔥
Nakumbuka ilikuwa bonge la tafarani humu ndani wallah....[emoji23][emoji23]Hivi unakumbuka ule uzi wake alioletaga kwa heshima ya JF ilibidi mode waufute?
Daaah!Sawa babe nakusubiri
Nakutukua sms inbobo bongoShemeji yangu WhatsApp umenitupa
Au unagombea CCM mwaka huu?!🏃🏃🏃
Nakumbuka ile Uzi aiseeeee, yaani jamaa alipita mulemule.....Jamani kuna Uzi Fulani Wa jamaa nishasahau anaitwaje ila alitabiri kiongozi wa Serikali ya awamu ya 5 na namna Serikali itavyoendeshwa. Na utabiri huo aliufanya kabla ya 2015 kama sikosei ni 2012 au 13 hivi. Mwenye kuupandisha hapa afanye hivyo tafadhali. Ule Uzi tungekuwa tunatoa nyota humu ningeupa nyota 5!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan hatari 😢Nakumbuka ilikuwa bonge la tafarani humu ndani wallah....[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiranga ni kama Jua, lipo automatic halizimi
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹
Tangu uingia jf 2012 wakati I'd yako inaonesha umejoin 2018Ni moja ya watu ambao tangu niingie JF 2012 wakichangia hoja huwa natulia mno.
Sent using Jamii Forums mobile app