Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Mkuu Erythrocyte heshima kwako. Nisiache kukwambia, ninachelea kukubaliana na hoja yako.

Kwani Mama yeye hapaswi kuwa na maoni yake?


Msingi wa kutofautiana nawe ni huo.

Cc: BAK
Msikilize huyu , halafu toa maoni yako

 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Wewe si ulikuwa unawacheka MATAGA , sasa unalialia nini hapa? Ata wanaokataa katiba mnayoitaka nyie ni Watanzania hivyo kuwa mpole
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Acheni upumbavu
Lau angewakubalia mnachokitaka....hakika mngekuja na kingine

Wapuuzi wakubwa nyie
 
Chadema ubongo wenu nahisi upo mgongoni au kwenye makalio kabisa.
Hivi kila tulivyokuwa tunawaonya kutowaona viongozi waliopo ccm kama wakombozi wenu mlijibu nini?

Kwa taarifa yenu SAMIA anaiua chadema KIAKILI bila maumivu
Labda kama humtaki , kila aliyejaribu kuua Chadema alikufa mwenyewe
 
Wewe si ulikuwa unawacheka MATAGA , sasa unalialia nini hapa? Ata wanaokataa katiba mnayoitaka nyie ni Watanzania hivyo kuwa mpole
Mataga wamekosa teuzi , hilo halina ubishi na waliokuwemo wameng'olewa
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Kwahiyo hajaupiga mwingi tena ndani ya siku 100?? Na nyie wanaufipa mnazidi kutuchanganya kabisaaa.
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .

poleni bana, zam kwa zam 😂
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Huyu Mama Samia labda ajifanye mwehu vinginevyo atapewa maneno yatakayomdhalilisha hadi ajute kuwa Rais! Magufuli pamoja na kichwa ngumu alichanganyikiwa akawa anaropoka kuwa siku moja ina saa 48, Rais Saddam ni wa Kuwait nk
 
Waliokuwa wanamsifia Samia si kwamba walikuwa wanampenda bali walimtumia kama kipoozeo cha hasira zao dhidi ya Magufuli......sasa msiba umeisha na nyoyo zao zinarudi katika hali ya kawaida na kukutana na uhalisia wa mambo.....
 
Huyu Mama Samia labda ajifanye mwehu vinginevyo atapewa maneno yatakayomdhalilisha hadi ajute kuwa Rais! Magufuli pamoja na kichwa ngumu alichanganyikiwa akawa anaropoka kuwa siku moja ina saa 48, Rais Saddam ni wa Kuweit nk
Akileta Katiba mpya hatofika huko , ngoja tuone
 
Labda kama humtaki , kila aliyejaribu kuua Chadema alikufa mwenyewe
Mkuu tatizo la chadema ndio hili,majibu mepesi mepesi.KIFO kipo tu hata SAMIA akifa ila MFUMO utabaki.ADUI yenu nyinyi sio SAMIA wala MAGUFULI,kama mnavyojieleza adui yenu ni MFUMO,na ndio mnatakiwa mjikite huko
 
Nashauri: chadema wakiendelea kushupaza shingo kwenye hili wapigwe tu
 
Msikilize huyu , halafu toa maoni yako

View attachment 1834769

Mkuu huyu nimesikiliza vizuri. Yaone haya:

1. Anadai hakuahidi katiba mpya wala haoni umuhimu wake. Kwake kipaumbele chake ni alichoita kuinyoosha nchi. Sauti yake, ukakamavu wake na body language yote "he meant business!" Hakuwa na mzaha. Huyu ilikuwa Ama zangu ama zenu.

2. Mama akiongea alitamka "kwa maoni yake apewe muda asimamishe uchumi kwanza." Alisema anatambua katiba mpya ni muhimu bali apewe muda. Huyu hakufunga mlango kabisa kuwa hili hakuna.

Mama kauli yake ilikuwa yenye kuomba na ya upole. Body language yake ya kiungwana. Hakuonyesha popote kuwa "ilikuwa ama zenu ama zangu."

Mafanano yao wote yapo sehemu moja tu katiba mpya kwao si kipaumbele kwao.

Mama alishasema Samia = JPM. Ninapata ukakasi kwa nini kauli yake hii mwanzo hakukuwa na kelele hizi za sasa. Bila kusahau kuwa maneno matupu hayavunji mfupa. Kauli ya maneno matupu, Mama kaithibitisha kwa vitendo:

IMG_20210610_103030_594.jpg


Kwanini alichosema Mama tusichukulie kama maoni yake? Na kwamba nasi tunampa yetu kuwa maoni yake hayakubaliki maana kwetu katiba ni kipaumbele, ukizingatia suala la Katiba ni letu sisi wananchi?

Maoni yako tafadhali.

cc: BAK
 
Chadema ubongo wenu nahisi upo mgongoni au kwenye makalio kabisa.
Hivi kila tulivyokuwa tunawaonya kutowaona viongozi waliopo ccm kama wakombozi wenu mlijibu nini?

Kwa taarifa yenu SAMIA anaiua chadema KIAKILI bila maumivu
Lethal syringe 😂😂😂
 
Back
Top Bottom