Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Hivi Chadema unaowaongelea mnakutana nao wapi?


Kama ni hao hakuna shaka akili zenu zitakuwa mgongoni au kwenye makalio.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Cc: BAK, Erythrocyte, Extrovert
Nagonga meza😂😂😂
 
Ila Jamhuri ya Twitter are impatient af

Mama kaja juzi tu jmn give her a break

mi naona she is doing too much already
Apewe muda..
ana mwelekeo km wa JK
JK si ndo alifanya hii ya Katiba?.
Hata Mama believe me atafanya
 
Chadema ubongo wenu nahisi upo mgongoni au kwenye makalio kabisa.
Hivi kila tulivyokuwa tunawaonya kutowaona viongozi waliopo ccm kama wakombozi wenu mlijibu nini?

Kwa taarifa yenu SAMIA anaiua chadema KIAKILI bila maumivu
mama anaua nyani kwa sindano ya usingizi[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Implying

hata Katiba atafanya tu

JK alikua open minded
Na kwa kuwa ndo mshauri mkuu wa Mama tutarajie mwelekeo sahihi

JK is the best and only person who knows how it feels to be in SSH shoes

Jmn JK alitufanya tukatulia kama Mama vile
Si mlimiss ss sahivi watu wanadiss nini tena jmn?.
Uko sawa kabisa Mkuu. Aliyeshika usukani kwa kutumia remote control ni Kikwete. Maza hafanyi lolote bila input ya Kikwete hivyo mwenye final say ni Kikwete.
 
😂😂😂 nakusalimia kwa jina ka JF nawe unajibu where we dare to talk openly 🤣🤣🤣🤣🤣
Implying

hata Katiba atafanya tu

JK alikua open minded
Na kwa kuwa ndo mshauri mkuu wa Mama tutarajie mwelekeo sahihi

JK is the best and only person who knows how it feels to be in SSH shoes

Jmn JK alitufanya tukatulia kama Mama vile
Si mlimiss ss sahivi watu wanadiss nini tena jmn?.
 
Tumechoka na upumbavu wenu bavicha.
Kila linalofanywa na serikali ni baya kwenu.

Naona mpka mbowe achukue nchi ndio mtaridhika
 
Mi hushawishika sana na kiwango cha madarasa mtu aliyopitia. Ndo maana ya elimu; kuweza kufikiri na kubuni utatuzi. Nikishasikia mtu mwenye mpangilio mbovu wa elimu sikupi nafasi.
Nawe nakushangaa maana ni shabiki wa Mbowe kwa miaka yote wakati ukifahamu hana taaluma.
Katiba mpya ni ya wananchi , siyo ya Mbowe
 
Hakuna,na MAGUFULI aliwapa trela tu mkaambulia mbunge mmoja tu,serikali ikiamua inaweza
ILA chama hakifi kama binadamu,chama kufa ni kupoteza nguvu ya ushawishi kwa wananchi
very wrong
 
Ila Jamhuri ya Twitter are impatient af

Mama kaja juzi tu jmn give her a break

mi naona she is doing too much already
Apewe muda..
ana mwelekeo km wa JK
JK si ndo alifanya hii ya Katiba?.
Hata Mama believe me atafanya
Tunamuombea sana ili asikengeuke
 
Back
Top Bottom