Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Matumaini yote ya siku 100 aliyowapa Wananchi yazikwa na kauli ya dk 1

Chupi mpya. Tako lilelile

Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Mkuu Erythro, ni jambo muhimu sana kwamba unajua tatizo lilipo. Lipo ndani ya CCM, na wanaposema watatawala milele, siyo kwamba hayo ni majigambo yasiyokuwa na msingi, ni jambo ambalo wanalo mategemeo makubwa kwamba hali ya upendeleo kwao itaendelea kuwepo milele.

Sitapenda kukuandikia mengi kwa sasa, lakini napenda kukuhimiza angalao umpe shukrani kidogo mama, kwa baadhi ya aliyoyasema, kama kweli alinuia/ananuia iwe hivyo kama alivyoyaweka.

Kawaambieni nyinyi, vyama vya upinzani (hasa CHADEMA), mnaruhusiwa kufanya mikutano yenu ya ndani, na kukutana na wananchi huko wanakoishi.
Nami nawahimiza hivyo hivyo, kama ilivyo kawaida yangu kwenu siku zote, lakini sasa nawaomba muweke bidii zaidi na muwe na 'focus' juu ya mambo muhimu mnayokwenda kuwaeleza wananchi na kuwasihi/kuwaomba wawaelewe kuhusu haya mnayowaeleza na umuhimu wake.

Agenda yenu isiwe kubwa/pana, ndiyo maana inafaa mui'package' vyema iweze kueleweka kwa wananchi kirahisi. Tafuteni hata wataalam (consultants) wa kuwafanyia 'package' hiyo kabla hamjaifikisha kwa wananchi.

Suala Kuu ni Katiba, na Uchaguzi Huru. Ni wananchi pekee ndio wanaoweza kuwaamrisha CCM, na kuwatoa kwenye ndoto zao za kuongoza nchi milele. CCM tegemeo lao ni ujinga wa wananchi. Nyinyi tegemeo lenu liwe 'werevu' wa wananchi, hapo mtakuwa mmemaliza kazi.

Ni hivi: mkishawa waelewesha wananchi vyema kuhusu mahitaji hayo muhimu tokea sasa; hapo ifikapo 2024 mtaanza kuwaambia CCM kwa ujasiri mkubwa kwamba hapatakuwepo na Uchaguzi wowote utakaofanyika 2025 bila ya kuwepo na "Tume Huru ya Uchaguzi", na wananchi ndio watakaozuia hilo lisifanyike.

Katiba mpya ni mizengwe mingi mno ikifanyika chini ya uongozi wa CCM, kwa hiyo hata ikisubiri siyo neno.

Lakini kuingia kwenye uchaguzi mwingine chini ya Tume inayoifanyia kazi CCM, huo utakuwa ni upumbavu mkubwa juu yenu.
 
Hapo feri kigamboni kuna mtu kanzisha biashara yake ya barakoa kwa kulazimisha watu kutoingia kwenye feri kama huna barakoa. Cha ajabu baada ya kushuka kwenye feri huko kwenye daladala kila mmoja anavua barakoa na maisha yanaendelea.

Maamuzi haya dhaifu wengeni wanayachukulia kama fursa. Hapa atakuambia anamsaidia Rais kazi ya kuwavisha wananchi barakoa.

CCM kuweni macho mambo yote yaliyokuwa yanawafanya mshindwe kuvaa sare zenu hadharani na mitaani yanarudishwa taratibu moja baada ya jengine. Kemeeni hii hali vinginevyo salfeti zinawahusu kitambo si kirefu kijacho.
Sijui hili shati langu nitalivalia wapi?
 
Sijui hili shati langu nitalivalia wapi?

Askofu Kakobe anapoyosha Biblia kusema viongozi hawafanani katika staili ya Kiongozi. Anafananisha uongozi na finger prints. Akasome Wafalme wa 1 na 2 aone baadhi ya warithi wa ufalme walivyotenda mambo mema kama Watangulizi wao.

Mwambieni Rais kuombewa dua na viongozi wa kiroho wa aina hii wanao nyumbulisha Neno la Mungu kwa faida yao ataambulia kuvuna laana badala ya baraka.

Kwa Imani ya Ukristo hakuna damu nyingine ya kafara iwayo yoyote ile inayo weza kushinda Damu ya Thamani Kuu iliyo mwagika pale Msalabani ya Bwana Yesu. Hizi nyingine ziwe za wanyama, ndege au kitu kingine chukizo kwa Mungu wa Mbinguni na ni kuinajinsi nchi. Tutazifuta kwa Damu ya Yesu Kristo.
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Nyumbu mnamatatizo makubwa Sana. Endeleeni na operation faru John zenu, wacha sie tujenge uchumi kwanza. Kazi zote alizoziacha shujaa wa Afrika lazima ziendelee.
 
Rais anao washahuri wake, kama Mzee wa Msoga nae ni mshahuri hakuna tatizo, mama ndio anaongoza nchi
Wapi nimepinga Rais kuwa na washauri?Umesoma nilichoandika?Mimi nazungumzia mzee wa Msoga kuongoza nchi na wala siyo mzee wa Msoga kuwa mshauri wa Mama.
 
Huyu mzeee sas hiv kam nani si anatakiwa atelie msoga ???
Anawashwa washwa hawezi kutulia bila kuongoza nchi.Kumbuka huyu mzee wa Msoga ndiye alietuletea yule BLADIFAKENII wa chato ambae alikuwa anatumia damu za watu kama fuel ya kuongoza nchi.Huyu mzee anapaswa kufa fasta sana kabla hajatuletea balaa lingine!
 
China imejaa wawekezaji lakini katiba haina uhuru wa habari wala wa vyama vya siasa.

Hoja kwamba wawekezaji hawawezi kuja kisa hakuna uhuru wa habari ama vyama vya siasa ni hoja ya kitaahira kabisa na inasemwa na watu wasio na akili kabisa.
Katika hili wewe ndio umeonyesha jinsi ulivyo tahira wa kiwango cha lami.

Yaani unathubutuje kujilinganisha na China nchi yenye teknolojia kubwa wakati wewe hata toothpick tu unaagiza huko huko China, halafu unathubutu kutoa uharo wako kwa mdomo.

Jitafakari.
 
Katika hili wewe ndio umeonyesha jinsi ulivyo tahira wa kiwango cha lami.

Yaani unathubutuje kujilinganisha na China nchi yenye teknolojia kubwa wakati wewe hata toothpick tu unaagiza huko huko China, halafu unathubutu kutoa uharo wako kwa mdomo.

Jitafakari.
Sijui hata kama shule ulienda.

Hoja hapa ni teknolojia ama uhuru wa habari na uhuru wa kufanya siasa?

Jitahidi kua unasoma unaelewa hoja kabla hujakurupuka kujibu uharo wako.
 
China imejaa wawekezaji lakini katiba haina uhuru wa habari wala wa vyama vya siasa.

Hoja kwamba wawekezaji hawawezi kuja kisa hakuna uhuru wa habari ama vyama vya siasa ni hoja ya kitaahira kabisa na inasemwa na watu wasio na akili kabisa.
Kwa ujinga wako unaona katiba ikiwa na uhuru wa habari ndo katiba bora.Sio lazima katiba ieleze kila kitu kwa wakati huo ndo maana zinarekebishwa.Hiyo katiba ya china pamoja na sheria zinginezo ziko vizuri sana kwenye mambo ya msingi kama uwekezaji na uchumi.Lakini na pamoja hayo bado wamekua wakirekebisha katiba na sheria zao pale wanapoona kuna huitaji.Kwahiyo acha kukariri ujinga.
 
Sijui hata kama shule ulienda.

Hoja hapa ni teknolojia ama uhuru wa habari na uhuru wa kufanya siasa?

Jitahidi kua unasoma unaelewa hoja kabla hujakurupuka kujibu uharo wako.
Bila shaka elimu yako haikusaidii kujua unachosimamia, tunazungumzia katiba na sheria kuleta maendeleo. Umesema china haina katiba lakini ina maendeleo makubwa. Ndio nikakwambia usijiringanishe na China yenye teknolojia kubwa namna ile. Lakini pia kwa faida yako China licha ya kutokuwa na katiba kama ilivyo nchi nyingine lakini wana katiba ambayo ni unwritten kama ilivyo kwa Uingereza na wana miiko yao ambayo Rais au Waziri mkuu hawezi kuenda kinyume na akabaki salama hasa katika sera zao za uwekezaji na maendeleo.

Bahati mbaya unajiita msomi lakini hujaelimika.ndio maana unaleta mifano mfu. Ni bora muda uliopoteza shule ungeutumia kuanzisha kilimo cha mafenesi.
 
Tulifahamu tangu awali kwamba ccm ni ile ile , ila kuna tofauti kidogo kati ya viongozi wanaopewa Mamlaka na Chama hicho , kiongozi mwenye exposure hutofautiana kidogo uungwana na kiongozi wa kutoka porini , tofauti ipo ya namna ya kuhandle issues , kujua wapi aongee nini na wapi atishie watu , badala labda ya kukamata mwingine aweza kuonya tu na mambo yakasonga.

Lakini kwa kiasi kikubwa kwenye masuala ya haki za kikatiba ccm bado ni moja , hawataki usawa hata chembe , viongozi wote wa ccm hawataki katiba itakayoleta usawa ndani ya nchi wala hawataki Tume huru ya uchaguzi , pamoja na mama kuondoa baadhi ya uchafu uliofanywa na awamu iliyopita , ambao kwa kiasi kikubwa uliidhalilisha nchi na kuitia aibu duniani , lakini kimsingi hana tofauti kubwa na viongozi wengine wa ccm waliomtangulia .

Labda kwa kuwakumbusha tu ni kwamba Mama ni miongoni mwa watu wasiopenda kusikia habari ya serikali 3 , huyu alikuwa makamu Mwenyekiti wa bunge la Katiba , aliyesaidia sana kuinyofoa katiba yote ya Warioba na kupachika madudu waliyoyataka , Mwenyekiti alikuwa Samuel Sitta , kwahiyo huyu hakuwahi kuwa mwema kwa Taifa , bali ni mtu anayeuma na kupuliza , inawezekana katika uongozi wake akawa ana nafuu kuliko yule mkomoa watu , lakini kuhusu Katiba mpya tuendelee tu kupambana naye kama tulivyopambana na wengine .

Huwezi kushawishi wawekezaji wakubwa ikiwa hauna mifumo imara ya kisheria , mifumo hii inawekwa ndani ya Katiba , Katiba ya sasa ya Tanzania inamwezesha rais wake kufanya chochote bila kuhojiwa , ni mwekezaji gani mwenye akili timamu awezaye kuja kwenye nchi ya hivyo ?

Inasikitisha tu kwamba imani ndogo aliyowapa Watanzania kwa siku 100 za mwanzo ameiteketeza kwa kauli ya dakika 1 tu ya KUENDELEA KUVUNJA KATIBA ALIYOAPA KUILINDA , huku akiwa kashika quran Tukufu mkono wa kulia .
Mwendazake na huyu presida nimeamini kitu kimoja ukweli ndo huo
 
Back
Top Bottom