Ila hizi kitu mimi naona wanajaziwa misoda tu humo kwenye hizo chupa, sidhani kama ni energy kweli kama ilivyo redbullHivi kama zina madhara hivyo why wasiache tu kutengeneza, maana ni kweli huku mitaani watu wanatumia sana[emoji25]
inamadhara ganikamwe usichanganye spirit na energy drink, usirudie tena kaka.
Mo hana energy drink.Hawa vijana ni wapumbavu sana mkuu!
Hasa mashabiki wa simba na ki energy chao cha yule mfadhili wao huwaambii kitu.
Labda kama ni soda tu zisizo na hayo makali, ila kama ni zenyewe na zina madhara basi huku mitaani watu wanazinywa kama maji🤔Ila hizi kitu mimi naona wanajaziwa misoda tu humo kwenye hizo chupa, sidhani kama ni energy kweli kama ilivyo redbull
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ile Mo energy ni ya nani?Mo hana energy drink.
Acha kukariri kila kinywaji kidogo cha kwenye chupa ndogo ya plastic chenye utamu ni energy
Vjana wanakunywa Enegy, wanachanganya na k vant na karanga mbichi.Nilikuwa kijijini! Maduka haya soda au juice, wanasema haziuziki!! Kumejaa energy drinks tupu, mpaka watoto ndiyo kinywaji chao!!
Walikuwa wananishangaa sijawahi kutumia! Hatari sana
Kwanini unapenda wawe hivyoAcha waendelee kutumia mpk watakapokua mashoger ndio wataacha.
bwan wee niliona jamaa analia andazNilikuwa kijijini! Maduka haya soda au juice, wanasema haziuziki!! Kumejaa energy drinks tupu, mpaka watoto ndiyo kinywaji chao!!
Walikuwa wananishangaa sijawahi kutumia! Hatari sana
Ili wapigwe miti.Kwanini unapenda wawe hivyo
Toa sababu za kuto changanya na nichanganye na nn sas mkuukamwe usichanganye spirit na energy drink, usirudie tena kaka.
Afadhali ww umetoa madhara yake naona wengine wanasema zina madhara lakini hawasemi yapiUkizoea sana energy drinks inapelekea kupata matatizo ya moyo kwa sababu ya wingi wa Caffeine iliyopo na kutokana na sukari nyingi inaweza kukusababishia kisukari pia,,,!
Mtoa mada atakua Machinga aliyebolewa Banda lake MwengeNilijua utataja baadhi ya hayo madhara, badala yake unaishia kuuliza tu
Hayo madhara unayataja tu bila ushahid wa kisayansi?Afadhali ww umetoa madhara yake naona wengine wanasema zina madhara lakini hawasemi yapi