Bongo hatuhitaji ushahidi wa kisayansi kupitisha jambo tunatumia formula ya wengi wape.... Halafu hayo madhara sijayataja mimi nimeapreciate tu kwa huyo aliyeyataja maana tunaweza kuwa wahanga bila kujuaHayo madhara unayataja tu bila ushahid wa kisayansi?
Ebu fafanua madhara yake uokoe jamiiMatumizi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), miongoni mwa vijana ni makubwa sana kwa sasa.
Sina hakika kama vijana hawa wanajua athari za matumizi makubwa na ya Mara kwa Mara ya vinywaji hivi haswa kwa siku za mbeleni.
Pengine watu wanahitaji elimu juu ya matumizi ya vinywaji hivi.
Stori za vijiweni hizo myoa mada kazisikia huyoo mbio JFEbu fafanua madhara yake uokoe jamii
Kwaninikamwe usichanganye spirit na energy drink, usirudie tena kaka.
Sumu mbona watu hawafi kanywe sumu ya panya uone madhara yakeNi sumu hatari nashangaa wataalam wako kimya wanaacha vijana wanaangamia kimyakimya.
Unataka uzikwe na figo nzim ile ikawajeHichi kizazi kitakuwa na matatizo ya figo kuliko kizazi kilichotangulia ndio maana mashine za Dialysis zinazidi kuongezeka.
Energy drink ni vizuri kunywa mara moja kw mwezi.
Sio Togwa ile.
Nakutajia moja; inaathiri figo kwa asilimia kubwa sana. Kwa miaka ijayo, kutakuwa na ongezeko kubwa sana la watu wenye matatizo ya figo. Omba sana Mungu haya maradhi yapite kushoto, manake figo zikiharibika, moyo utaharibika, ini litaharibika...hizi vital organs zikiharibika niambie nini kinafata.Mmekalia tu kuandika "hatari sana" bila kuweka hiyo hatari yake watu wakajifunza.
Wekeni madhara yake.
Kwahiyo unataka ufe kwa matatizo ya figo kufeli?Unataka uzikwe na figo nzim ile ikawaje
Nakubali mchango wako.Nakutajia moja; inaathiri figo kwa asilimia kubwa sana. Kwa miaka ijayo, kutakuwa na ongezeko kubwa sana la watu wenye matatizo ya figo. Omba sana Mungu haya maradhi yapite kushoto, manake figo zikiharibika, moyo utaharibika, ini litaharibika...hizi vital organs zikiharibika niambie nini kinafata.
NB: mimi sio mtu wa afya!
Hayo madhara unayataja tu bila ushahid wa kisayansi?
Kwangu sio ishu ya kushtua. Vijana watakufa kwa Ukimwi sio Energy drinks. Wanapasuana kwa Siri Tena kavu bila kondom na wanaona sifaWewe katafute huo ushahidi uweke hujakatazwa
Nmeacha over 3 months ago nilikuwa nimekuwa addicted na mo energy. Yani nilikuwa nikikaa napata arostoMatumizi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), miongoni mwa vijana ni makubwa sana kwa sasa.
Sina hakika kama vijana hawa wanajua athari za matumizi makubwa na ya Mara kwa Mara ya vinywaji hivi haswa kwa siku za mbeleni.
Pengine watu wanahitaji elimu juu ya matumizi ya vinywaji hivi.
Mkuu,Hivi kama zina madhara hivyo why wasiache tu kutengeneza, maana ni kweli huku mitaani watu wanatumia sana😪
Nilikua nakunywa aina fulan ya gin n then naenda kumalizia na red bull,baada ya apo hyo show yake ilikua lazima mmojawapo aombe po.Ilkamwe usichanganye spirit na energy drink, usirudie tena kaka.
Nikadhani unaelezea madhara yenyewe!!!Matumizi ya vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), miongoni mwa vijana ni makubwa sana kwa sasa.
Sina hakika kama vijana hawa wanajua athari za matumizi makubwa na ya Mara kwa Mara ya vinywaji hivi haswa kwa siku za mbeleni.
Pengine watu wanahitaji elimu juu ya matumizi ya vinywaji hivi.