Transistor
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,061
- 1,637
- Thread starter
- #21
Hahahahaa how you detimine is how you measure.....Mi sitarajii chochote zaidi ya kuburudika
Measure your hapness enjoy your life....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa how you detimine is how you measure.....Mi sitarajii chochote zaidi ya kuburudika
Nikiionaga Profile picture yako hua nacheka sana....Kuna muvi moja ya kina-igeria jamaa anaenda kuwanga akaacha mwili wanazengo wakabeba mwili kwenda kuzika....hahahhaha....jamaa anarudi kuwanga anakuta wanazengo wanaenda kufukia mwili wake.....hahahha ilikua balaaaaNaipenda sana JF na kuiheshimu JF. JamiiForums ni sehemu ya maisha yangu
Sauti hekima.Success is often achieved by those who don't know that failure is inevitable, and hard work beats talent when talent doesn't work hard....[emoji4]
Haha hahah hahah jamaa noma sanaNikiionaga Profile picture yako hua nacheka sana....Kuna muvi moja ya kina-igeria jamaa anaenda kuwanga akaacha mwili wanazengo wakabeba mwili kwenda kuzika....hahahhaha....jamaa anarudi kuwanga anakuta wanazengo wanaenda kufukia mwili wake.....hahahha ilikua balaaaa
Noma na 1/2.....Haha hahah hahah jamaa noma sana
Hauna ujuzi, kidogo ningumu kwangu hata kukushauri nini ufanye.Sauti hekima.
Mkuu vipi mgodini Kuna fursa gani huko kwa sisi jobless tusio na ujuzi?
Mpe ushauri wa matumaini....Hauna ujuzi, kidogo ningumu kwangu hata kukushauri nini ufanye.
Pole mkuu
JF nimejiunga miaka 12 ilopita.
Japo sionekani sana kwa sasa ila ni sababu ya JF yenyewe imesababisha haya. Kupitia jukwaa hili nimevuna nilicho panda kwa wanajamii wenzangu. Kupitia JF mimi nipo kama nilivyo sasa.
Napenda kusema Chochote nacho miliki,chochote nacho fanya na ajira yangu ya sasa ni JF. Kwa wale wasio fahamu huu ukweli napenda kuwasanua ni hivi JF inatembelewa na watu wakubwa sana na hata wale matajiri sana.
Unapo post kitu JF kama unapost kwa ajili ya maisha yako hakikisha unakijua na una hakika na unacho post.
JF imejaa wasomi na wengi wana pesa katika makabati wanahitaji mbongoz kupitia JF ili wawekeze.
Na usiogope kupata negative feed back za comments za wanazengo kwa post zako...kama tu unajua unacho present ni facts wewe post unacho kiamini.
Humu ndani kuna watu wa mataifa mbalimbali...wanachoangalia wao ni facts ya presentation na sio negative comments.
Mimi katika mafanikio yangu nimepata connection na simu nyingi kupitia post ambazo zina negative comments nyingi za wabogo ila wachina wakaona fursa. Hivyo unahitaji post moja tu kubadilisha maisha yako. Sijui ningekua nani bila JF.
Katika JF huhitaji Blue tick,wala huhitaji kulipwa,unacho hitaji kama JF kwako ni mtandao wa kukujengea maisha basi present strong mindset ya kile unacho fanya kama proffessional. Kuna watu kibao hapa wamejaa na wana pesa na hawajui watazipeleka wapi wanaangalia vichwa JF.
Kupitia JF unakutana na matajiri wanaweza kuwekeza hata B3 na wewe ukawa msimamizi sio kwasababu wanakujua sana ni sababu wameona kazi zako JF...
Kuna miradi mingi ya kifahari imejengwa na mwana JF kwa uaminifu wa mwana JF..
So JF is life....
na Santos06:
Sitaki nimdanganye, because kama hana ujuzi ningumu hata mimi kueleweka kwa nitakapo muombea chance.Mpe ushauri wa matumaini....
Pia huko kuna connection zake kaa utulie .....unaweza kutana na urithi wa ma B kadhaaa..
Hii ni profession ya DeepPond kaka mkubwa😀Pia huko kuna connection zake kaa utulie .....unaweza kutana na urithi wa ma B kadhaaa..
Kama proffessional yako ni MMU wekeza ipasavyo haita kuangusha nakwambia ukweli.....hahahah
Kuna vijana wanacheza kata funua kwa ma shangazi na wanapiga nyingi sana....
Akili yako mtaji wako.....
Mimi nilisha muokoa shangazi mmoja alikua anaenda kupigwa pesa za mkopo wa nyumba ghorofa moja na pesa za mkopo wa mshahara....Pia huko kuna connection zake kaa utulie .....unaweza kutana na urithi wa ma B kadhaaa..
Kama proffessional yako ni MMU wekeza ipasavyo haita kuangusha nakwambia ukweli.....hahahah
Kuna vijana wanacheza kata funua kwa ma shangazi na wanapiga nyingi sana....
Akili yako mtaji wako.....
Vijana wa MMU ni hatari kuliko Bomu ...Nimeishuhudia hii shangazi mmoja kapigwa Milion kadhaa na jamaa kawa anasubiri hizo za mikopo....Mimi nilisha muokoa shangazi mmoja alikua anaenda kupigwa pesa za mkopo wa nyumba ghorofa moja na pesa za mkopo wa mshahara....
Na aliekua anaenda kumpiga ni kijana mdogo tu wa miaka 28....hahahaaa...
So kuna vijana wako serious na MMU zao
Si hata kufagia mkuu!! Au nayo inahitaji certificate?Hauna ujuzi, kidogo ningumu kwangu hata kukushauri nini ufanye.
Pole mkuu