Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

Cha kuongezea:

Tupunguze matarajio makubwa sn ndani ya jf, wanajf Ni raia tu Kama wa mtaani
Yes but wengi wanaitofautisha Jf na mitandao mingine,wengi ambao wanaiona na kuijua JF wanaona kama chimbo la madini,JF ina vichwa vyake JF ni jamii ya watu wale ambao unatamani kuwaona siku moja.,.hahahah ukweli nakwambia......
 
Kwa upande wangu jf ni uwanja wa kupata habari na burudani; hayo mengine siyategemei sana.
 
These people (CCM) must change, CCM should not be a refuge for the wicked, it should be a clean party like it was during the time of Mwalimu, We know there is clean people in the party, but they have been swallowed up by a lot of corrupt and greedy people, this is dangerous for the nation because CCM is the ruled party
 
These people (CCM) must change, CCM should not be a refuge for the wicked, it should be a clean party like it was during the time of Mwalimu, We know there is clean people in the party, but they have been swallowed up by a lot of corrupt and greedy people, this is dangerous for the nation because CCM is the ruled party
One of Minority to seek possibilty from impososibility...May God bless you....ONE DAY YES!
 
JF nimejiunga miaka 12 ilopita.

Japo sionekani sana kwa sasa ila ni sababu ya JF yenyewe imesababisha haya. Kupitia jukwaa hili nimevuna nilicho panda kwa wanajamii wenzangu. Kupitia JF mimi nipo kama nilivyo sasa.

Napenda kusema Chochote nacho miliki,chochote nacho fanya na ajira yangu ya sasa ni JF. Kwa wale wasio fahamu huu ukweli napenda kuwasanua ni hivi JF inatembelewa na watu wakubwa sana na hata wale matajiri sana.

Unapo post kitu JF kama unapost kwa ajili ya maisha yako hakikisha unakijua na una hakika na unacho post.

JF imejaa wasomi na wengi wana pesa katika makabati wanahitaji mbongoz kupitia JF ili wawekeze.

Na usiogope kupata negative feed back za comments za wanazengo kwa post zako...kama tu unajua unacho present ni facts wewe post unacho kiamini.

Humu ndani kuna watu wa mataifa mbalimbali...wanachoangalia wao ni facts ya presentation na sio negative comments.

Mimi katika mafanikio yangu nimepata connection na simu nyingi kupitia post ambazo zina negative comments nyingi za wabogo ila wachina wakaona fursa. Hivyo unahitaji post moja tu kubadilisha maisha yako. Sijui ningekua nani bila JF.

Katika JF huhitaji Blue tick,wala huhitaji kulipwa,unacho hitaji kama JF kwako ni mtandao wa kukujengea maisha basi present strong mindset ya kile unacho fanya kama proffessional. Kuna watu kibao hapa wamejaa na wana pesa na hawajui watazipeleka wapi wanaangalia vichwa JF.

Kupitia JF unakutana na matajiri wanaweza kuwekeza hata B3 na wewe ukawa msimamizi sio kwasababu wanakujua sana ni sababu wameona kazi zako JF...

Kuna miradi mingi ya kifahari imejengwa na mwana JF kwa uaminifu wa mwana JF..

So JF is life....
Naunga mkono hoja ya kujielimisha, kujitambua unasimamia wapi, halafu kuchangia kutokana na msimamo wako bila ya kujali jamii itakuona vipi, as long as unajua unachosimamia.
 
Naunga mkono hoja ya kujielimisha, kujitambua unasimamia wapi, halafu kuchangia kutokana na msimamo wako bila ya kujali jamii itakuona vipi, as long as unajua unachosimamia.
Ni kweli simama wewe kama wewe kwasababu hakuna mtu kama wewe.....

Ndoto zako ni za wewe si za yule hakuna matokeo ya kidunia ya wote... pale unapopata matokeo ya kidunia ni ya kipekee kwako japo yana manufaa kwa wengi...
 
Vijana wa MMU ni hatari kuliko Bomu ...Nimeishuhudia hii shangazi mmoja kapigwa Milion kadhaa na jamaa kawa anasubiri hizo za mikopo....


Na shangzi mwenyewe ni Mwanajeshi hadi leo yule mwanajeshi baada ya kunusurika kaokoka MMU ni viumbe wa hatari zaidi....hahahah
Watu wana hesabu kali sana.
 
Back
Top Bottom