Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

Mashangazi hua yana amini vijana wanaongea ukweli kila jambo,sababu wanapumbazika na mapenzi....

Mashangazi yakikuelewa na kudanganyika hadi katika urithi yanakuweka.....hahhaahh...

Hayajui vijana wa sasa ni ma-monster...hahaaahaa
 
Kuna msela nilibishana nae hapa kuna uzi mmoja yule jamaa nataka nimwabie samahani pia niseme Asanteee lakini sikumbuki ID yake. Ilikuwa miaka 7 nyuma alitaja kazi na hela unayo pata nimekwenda kuifanya hio kazi sasa naimiliki haswaaa. Hela inayoingia kwa wiki mishahara ya walimu 10.
 
JF inafundisha,inapasha habari,inakukosoa,inakuelimisha na kuburudisha........... mengine yakitokea ni bonus
 
Kuna msela nilibishana nae hapa kuna uzi mmoja yule jamaa nataka nimwabie samahani pia niseme Asanteee lakini sikumbuki ID yake. Ilikuwa miaka 7 nyuma alitaja kazi na hela unayo pata nimekwenda kuifanya hio kazi sasa naimiliki haswaaa. Hela inayoingia kwa wiki mishahara ya walimu 10.
Haaa haaa zarau kwa walimu mkuu omba msamaha😄
 
JF nimejiunga miaka 12 ilopita.

Japo sionekani sana kwa sasa ila ni sababu ya JF yenyewe imesababisha haya. Kupitia jukwaa hili nimevuna nilicho panda kwa wanajamii wenzangu. Kupitia JF mimi nipo kama nilivyo sasa.

Napenda kusema Chochote nacho miliki,chochote nacho fanya na ajira yangu ya sasa ni JF. Kwa wale wasio fahamu huu ukweli napenda kuwasanua ni hivi JF inatembelewa na watu wakubwa sana na hata wale matajiri sana.

Unapo post kitu JF kama unapost kwa ajili ya maisha yako hakikisha unakijua na una hakika na unacho post.

JF imejaa wasomi na wengi wana pesa katika makabati wanahitaji mbongoz kupitia JF ili wawekeze.

Na usiogope kupata negative feed back za comments za wanazengo kwa post zako...kama tu unajua unacho present ni facts wewe post unacho kiamini.

Humu ndani kuna watu wa mataifa mbalimbali...wanachoangalia wao ni facts ya presentation na sio negative comments.

Mimi katika mafanikio yangu nimepata connection na simu nyingi kupitia post ambazo zina negative comments nyingi za wabogo ila wachina wakaona fursa. Hivyo unahitaji post moja tu kubadilisha maisha yako. Sijui ningekua nani bila JF.

Katika JF huhitaji Blue tick,wala huhitaji kulipwa,unacho hitaji kama JF kwako ni mtandao wa kukujengea maisha basi present strong mindset ya kile unacho fanya kama proffessional. Kuna watu kibao hapa wamejaa na wana pesa na hawajui watazipeleka wapi wanaangalia vichwa JF.

Kupitia JF unakutana na matajiri wanaweza kuwekeza hata B3 na wewe ukawa msimamizi sio kwasababu wanakujua sana ni sababu wameona kazi zako JF...

Ukisema B3 wengi hawajui kupitia JF nimesha simamia miradi ya bilioni 3...hahaaha

Kuna miradi mingi ya kifahari imejengwa na mwana JF kwa uaminifu wa mwana JF..

So JF is life....
Tuna tofautiana katika kutafsiri mafanikio kwangu kwanza nikupongeze lakini pia binafsi mafanikio yangu humu nipamoja na kupata mawazo mbadala na kubadilishana mawazo japo hatufahamiani physically
 
Chai
JF nimejiunga miaka 12 ilopita.

Japo sionekani sana kwa sasa ila ni sababu ya JF yenyewe imesababisha haya. Kupitia jukwaa hili nimevuna nilicho panda kwa wanajamii wenzangu. Kupitia JF mimi nipo kama nilivyo sasa.

Napenda kusema Chochote nacho miliki,chochote nacho fanya na ajira yangu ya sasa ni JF. Kwa wale wasio fahamu huu ukweli napenda kuwasanua ni hivi JF inatembelewa na watu wakubwa sana na hata wale matajiri sana.

Unapo post kitu JF kama unapost kwa ajili ya maisha yako hakikisha unakijua na una hakika na unacho post.

JF imejaa wasomi na wengi wana pesa katika makabati wanahitaji mbongoz kupitia JF ili wawekeze.

Na usiogope kupata negative feed back za comments za wanazengo kwa post zako...kama tu unajua unacho present ni facts wewe post unacho kiamini.

Humu ndani kuna watu wa mataifa mbalimbali...wanachoangalia wao ni facts ya presentation na sio negative comments.

Mimi katika mafanikio yangu nimepata connection na simu nyingi kupitia post ambazo zina negative comments nyingi za wabogo ila wachina wakaona fursa. Hivyo unahitaji post moja tu kubadilisha maisha yako. Sijui ningekua nani bila JF.

Katika JF huhitaji Blue tick,wala huhitaji kulipwa,unacho hitaji kama JF kwako ni mtandao wa kukujengea maisha basi present strong mindset ya kile unacho fanya kama proffessional. Kuna watu kibao hapa wamejaa na wana pesa na hawajui watazipeleka wapi wanaangalia vichwa JF.

Kupitia JF unakutana na matajiri wanaweza kuwekeza hata B3 na wewe ukawa msimamizi sio kwasababu wanakujua sana ni sababu wameona kazi zako JF...

Ukisema B3 wengi hawajui kupitia JF nimesha simamia miradi ya bilioni 3...hahaaha

Kuna miradi mingi ya kifahari imejengwa na mwana JF kwa uaminifu wa mwana JF..

So JF is life....
 
Tuna tofautiana katika kutafsiri mafanikio kwangu kwanza nikupongeze lakini pia binafsi mafanikio yangu humu nipamoja na kupata mawazo mbadala na kubadilishana mawazo japo hatufahamiani physically
Ni kweli unaweza maliza siku nzima unapata madini kwa wadau...kuna watu wanatupa madini hadharani..tena kwa fujo....

unaweza ukakuta siku imeisha kwa kupitia tu nondo za wanazengo...!
 
Ila pia ni sample sio kama raia wengine kati ya watu 10 utakaouliza kama wanaijua JF nakuhakikishia below 4 watasema wanaijua....

Make the survey without bias utaniambia...
Mi circle yangu ya mtu kumi ni peke yangu tu ndo naijua jf
 
Uzi kama huu utashangaa Kuna I'd ina heshima zake itakuja kuulizia picha[emoji26]
Sasa mkuu, B3 si mradi wa lami kuanzia Bomba mbili huku ninapokaa mpaka ukonga... kwanini mtu asiulizie picha ya project!
 
Sasa mkuu, B3 si mradi wa lami kuanzia Bomba mbili huku ninapokaa mpaka ukonga... kwanini mtu asiulizie picha ya project!
Hahahah😄...... picha zinatoa utambulisho... wawekezaji hawataki kutambulika wewe au wao...watu wengi wenye pesa hawataki kutambulika wao au wale wanaohusiana kwa ujirani....

Ila ishia tu kuamini kuna kati ya vitu unavyo vishangaa hapa mjini vimefanywa na mwana JF ila in anonymous move...😄
 
Mkuu mimi ni shuhuda wa hili ulisemalo.

Kupitia stori zangu nimesaini dili na watu wa SWAHILI FLIX ambalo naweza kusema angalau limenipa maisha.

Naamini kuna mambo makubwa sana yanakuja.


Naishukuru sana JF kwasababu bila wao pengine nisingeonekana na hao jamaa,Mungu ni mkubwa sana.
yoga amesainiwa na nani DStv au Azam ?
 
Back
Top Bottom