Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

Matumizi sahihi ya JF yanaweza kukufanya uishi maisha swadakta!

jF imenipa michongo ya kusogeza siku pale Mambo yalipokuwa magumu.
Kuna watu wema huku hatujawahi hata kuonana lakini anakupa michongo miwili mitatu ,unaweka msosi juu ya meza.
 
Ila pia ni sample sio kama raia wengine kati ya watu 10 utakaouliza kama wanaijua JF nakuhakikishia below 4 watasema wanaijua....

Make the survey without bias utaniambia...
Ni kwel jamii sio watu wengi wanaijua..
 
jF imenipa michongo ya kusogeza siku pale Mambo yalipokuwa magumu.
Kuna watu wema huku hatujawahi hata kuonana lakini anakupa michongo miwili mitatu ,unaweka msosi juu ya meza.
Sawakta kuna roho safi sana humu.. cheers!🤛
 
Mkuu mimi ni shuhuda wa hili ulisemalo.

Kupitia stori zangu nimesaini dili na watu wa SWAHILI FLIX ambalo naweza kusema angalau limenipa maisha.

Naamini kuna mambo makubwa sana yanakuja.


Naishukuru sana JF kwasababu bila wao pengine nisingeonekana na hao jamaa,Mungu ni mkubwa sana.
 
Nikiionaga Profile picture yako hua nacheka sana....Kuna muvi moja ya kina-igeria jamaa anaenda kuwanga akaacha mwili wanazengo wakabeba mwili kwenda kuzika....hahahhaha....jamaa anarudi kuwanga anakuta wanazengo wanaenda kufukia mwili wake.....hahahha ilikua balaaaa
Jamaa mwenyewe anaitwa Agumba,
 
Mkuu mimi ni shuhuda wa hili ulisemalo.

Kupitia stori zangu nimesaini dili na watu wa SWAHILI FLIX ambalo naweza kusema angalau limenipa maisha.

Naamini kuna mambo makubwa sana yanakuja.


Naishukuru sana JF kwasababu bila wao pengine nisingeonekana na hao jamaa,Mungu ni mkubwa sana.
Yes Jamii forums ni kama any social network ....it give you back what you have invested of....


Japo Jamii forums inajitenga kidogo inaonekana ina host great minds😄
 
Wengine tumepata mbususu humu, long live jf
Haha ivi za humu zina ladha kweli sababu naona watu wote wa humu wako serious sana...inawezeka na hata hawakumbuki vitu hivyo....au ni mm tu nafanya over rated...😄
 
Back
Top Bottom