Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Kitu gani ebu nifunze na mimiKuna kitu nimejifunza hapa Asanteni wote mliochangia mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani ebu nifunze na mimiKuna kitu nimejifunza hapa Asanteni wote mliochangia mada
Inatumikaje??? Nielimishe tafadhaliZamani walitumia chumvi kibiblia ndio maana kuna agano la chumvi lakini sasa tunamwaga damu ya yesu.
Chumvi ilitumika sana na mpk sasa kuna watu wanaitumia.
Samahani naomba ufafanue kidogo namna ya kuitumia chumviNlikuwa naishi na binti wakazi hatari nkirudi nakuta matone ya damu Mara Mtoto kanyolewa Mara milango inafunguka usiku na kujifunga sikumuhisi chochote mpaka nilipochoma chumvi na kudekia ndani aisee siku ya pili asubuhi akaniaga kuondoka nilimbbeleza Sana akasema bibi yake kakataa kabisa yy kuishi na Mimi nilipomrudisha kwao mama ake akasema bibi yake anaroho mbaya anamuharibu mwanae kivipi hakusema. Chumvi ni noma
Sikumbuki ila ipo nikiipata nitakuja hapaMstari gani Yesu alitumia chumvi???
Mia mia JF 24/7[emoji3] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji106] [emoji781] [emoji779] [emoji115]Mshana Jr wapi mshanaaaa
Mambo ya Walawi: Mlango 2:13Sikumbuki ila ipo nikiipata nitakuja hapa
Barikiwa zaidi [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Mambo ya Walawi: Mlango 2:13
2:Wafalme Mlango 2:20
Nipo live [emoji13] [emoji3] [emoji779] [emoji781]Aisee hii issue ni kweli kabisa Yani kama kuna boya anakuzinguazingua tu usiku ww nunua chumvi au magadi then choma au weka chini ya mto aiseee utakuta kesho anakukimbia akikuonaa au anakwambia nisameheee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mshana unaitwa huku
Mkuu haya mafuta ya mzaotuni nayapatawapi? Je yanauzwa kama mafuta mengine au utaratibu wakuyapata ukojeIna matokeo mazuri kutokana na imani yako kwenye manuizi
Wengi wamefanikisha na kukwamuka hasa kwenye kuuza nyumba viwanja nk....hata katika mahusiano pia na ndoa zinazolegalega
Mafuta ya mzeituni hung'arisha
Chumvi huleta ladha....
Kwahiyo manuizi yako lazima yalenge huko
Yanapatikana madukaniMkuu haya mafuta ya mzaotuni nayapatawapi? Je yanauzwa kama mafuta mengine au utaratibu wakuyapata ukoje
shikamoo bibi,babu le mutuz anakusalimiaSiku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji115]Uzi huu ama kweli umekuwa na mafundisho. Wahenga walisema Elimu ni bahari.
Mtoa uzi...nimejifunza mengi tunaangamia kwa kukosa maarifa.