Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

08f603cb13971057642f469dfc001008.jpg
 
sherberry,

mikosi gani my dear??? Laana zote tunafuta kwa Damu ya yesu Maagano yote Tunaharibu kwa Damu ya YESU sasa chumvi vepe
 
Hii swala la chumvi nimekumbuka miaka miwili iliyopita kuna siku rafiki yangu alinunua chumvi ya mawe..na hayo mafuta ya mzeituni sikuelewa shida yake ni nn..alikua na bwana ake kivuruge hatari..baada ya kama wiki mbili nikaona yule bwana kaenda kutoa barua mara mahali sasa hivi ni mke na mume..ndio rafiki angu akaniambia kazi ya chumvi ya mawe hiyo..nikabaki nimeduwaa..hapa ndipo nilipoamini mle msemo wa"IMANI YAKO ITAKUPONYA"
 
Hii swala la chumvi nimekumbuka miaka miwili iliyopita kuna siku rafiki yangu alinunua chumvi ya mawe..na hayo mafuta ya mzeituni sikuelewa shida yake ni nn..alikua na bwana ake kivuruge hatari..baada ya kama wiki mbili nikaona yule bwana kaenda kutoa barua mara mahali sasa hivi ni mke na mume..ndio rafiki angu akaniambia kazi ya chumvi ya mawe hiyo..nikabaki nimeduwaa..hapa ndipo nilipoamini mle msemo wa"IMANI YAKO ITAKUPONYA"
Umenena vyema
 
Hii swala la chumvi nimekumbuka miaka miwili iliyopita kuna siku rafiki yangu alinunua chumvi ya mawe..na hayo mafuta ya mzeituni sikuelewa shida yake ni nn..alikua na bwana ake kivuruge hatari..baada ya kama wiki mbili nikaona yule bwana kaenda kutoa barua mara mahali sasa hivi ni mke na mume..ndio rafiki angu akaniambia kazi ya chumvi ya mawe hiyo..nikabaki nimeduwaa..hapa ndipo nilipoamini mle msemo wa"IMANI YAKO ITAKUPONYA"
Sio imani tu chumvi hasa ya mabonge ni noma.. Ningekuwa nafanya biashara ningeweka shuhuda nyingi sana hapa
 
Back
Top Bottom