Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya maweChumvi gani?!Au ile ya kuungia mbonga?
Yapo madukani kwenye maduka ya dawa za asiri hata maduka ya wapemba yapo kibaoHaya mafuta ya zaituni yanapatikana maduka gani niyawah kabl hayapanda bei
Hakutakawa na kuzaa maooza tena....2 Wafalme 2.....View attachment 619868
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]mikosi gani my dear??? Laana zote tunafuta kwa Damu ya yesu Maagano yote Tunaharibu kwa Damu ya YESU sasa chumvi vepe
Asante sanaWALIOSEMA ELIMU HAINA MWISHO HAWAKUKOSEA AISEE.
Yesu yote alimaliza msalabani[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
OkayYesu yote alimaliza msalabani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeoteshwa huu Uzi wengi wamefanya majaribio hata wale waliowaita wenzao Washirikina.
Umenena vyemaHii swala la chumvi nimekumbuka miaka miwili iliyopita kuna siku rafiki yangu alinunua chumvi ya mawe..na hayo mafuta ya mzeituni sikuelewa shida yake ni nn..alikua na bwana ake kivuruge hatari..baada ya kama wiki mbili nikaona yule bwana kaenda kutoa barua mara mahali sasa hivi ni mke na mume..ndio rafiki angu akaniambia kazi ya chumvi ya mawe hiyo..nikabaki nimeduwaa..hapa ndipo nilipoamini mle msemo wa"IMANI YAKO ITAKUPONYA"
Sio imani tu chumvi hasa ya mabonge ni noma.. Ningekuwa nafanya biashara ningeweka shuhuda nyingi sana hapaHii swala la chumvi nimekumbuka miaka miwili iliyopita kuna siku rafiki yangu alinunua chumvi ya mawe..na hayo mafuta ya mzeituni sikuelewa shida yake ni nn..alikua na bwana ake kivuruge hatari..baada ya kama wiki mbili nikaona yule bwana kaenda kutoa barua mara mahali sasa hivi ni mke na mume..ndio rafiki angu akaniambia kazi ya chumvi ya mawe hiyo..nikabaki nimeduwaa..hapa ndipo nilipoamini mle msemo wa"IMANI YAKO ITAKUPONYA"
Tupe chache tu mshana .kwenye biashara unawezaje kutumia kuvutia watejaSio imani tu chumvi hasa ya mabonge ni noma.. Ningekuwa nafanya biashara ningeweka shuhuda nyingi sana hapa