Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Samahani naomba ufafanue kidogo namna ya kuitumia chumvi
 
Aisee hii issue ni kweli kabisa Yani kama kuna boya anakuzinguazingua tu usiku ww nunua chumvi au magadi then choma au weka chini ya mto aiseee utakuta kesho anakukimbia akikuonaa au anakwambia nisameheee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mshana unaitwa huku
 
Nipo live [emoji13] [emoji3] [emoji779] [emoji781]
 
Mkuu haya mafuta ya mzaotuni nayapatawapi? Je yanauzwa kama mafuta mengine au utaratibu wakuyapata ukoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…