Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
hahah watu wana mbinu hatari sana za kuongeza kipato, watakunywa sana mkojo shubaaamitHuyo ananiacha hoi amewaambia mkojo unamrudisha aliekuacha au unamsahau wadada wanakunywaa mkojo kama hawana akir nzur sasa nimeona somo la chumvi na mshumaa [emoji23][emoji23]jaman jaman na bado wanaingia kwa kiingilio mwez mmoja elfu 5000/=dunia hii jaman
una nuksi?inatumikaje? Maana Kweli wanatoaga ushuhuda wa kufa mtu. Matumizi yake Tafadhali. Kuliko kwenda kutoa buku 5[emoji16][emoji16]
Hahahaaa... Mkuu kama nakuona ulivyojipanga kuchukua madesaNilijua matumizi ya chumvi katika kupiga deki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ugumu wa maisha unaleta yote haya , mpk tunahisi tuna nuksi wkt Faru jonh ndo ka kaza uzi
Mshumaa ni mambo mengine hayo ni mafuta ya mzeituninaweka na mshumaa.. okey.. hiyo kwenye chupa ni mafuta a nini?
okey asante mtani.. andaa somo basiMshumaa ni mambo mengine hayo ni mafuta ya mzeituni
Brother asante. Ila natamani kujua zaidi,, inaishia hapo tu kwenye kuoga na kunuiza au kuna mambo mengine zaidi? Na je ufanisi wake ukoje? Yaani inaweza kukupa matokeo baada ya muda gani, na je ukishafanya Mara moja inakupasa kurudia tena?Kama ilivyo unachanganya na maji na mafuta ya mzeituni unaogea au kumwaga kuzunguka nyumba huku ukinuizia
Mshana Jr ongeza nyama kidogo juu ya hili.
Kuna baadhi ya shida katika maisha utatuzi wake sio kwa waganga wa kienyeji ambako mara nyingi hukuacha na maaganoBro mshana nikua nasubiri mchango wako ..sasa shusha madini step by step jinsi ya kufanya..
Ina matokeo mazuri kutokana na imani yako kwenye manuiziBrother asante. Ila natamani kujua zaidi,, inaishia hapo tu kwenye kuoga na kunuiza au kuna mambo mengine zaidi? Na je ufanisi wake ukoje? Yaani inaweza kukupa matokeo baada ya muda gani, na je ukishafanya Mara moja inakupasa kurudia tena?
Asante
Aliitumiaje? Aliichoma au aliiloweka?Ni kweli kabisa na hata bwana Yesu aliitumia sana kutakasa lakini maranyingi ni chumvi ya mabonge
Hii nayo kali naiskia kwakoVipi kunywa mkojo uimarishe mahusiano ushawahi kusikia au kuona?
Nimeona kuna mafuta ya zaitun sasa sijui unatumiaje hayo na hiyo chumvi mshana jrKuna post hapo juu nimejaribu kufafanua