Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
aiseLabda kweli maana nilishaenda kusalimia sehemu ilipofika usiku bundi wakawa wanalia sana juu ya ile nyumba basi wenye mji wakatoa jiko nje wakaweka chumvi kwenye moto ikawa inalia kama baruti flan hv baada yapo ckusikia bundi mpk naondoka
Hakya Mungu zamani ndio tulikuwa tunaambiwa hivyo..Sikujua ni kwaniniKwakuongezea kuna sehemu ukienda kununua chumvi dukani usiku ukisema naomba Chumvi hawakuuzii mpaka useme naomba Dawa ya jiko au Mkubwa wa jiko sijui sababu yake ni nini?
Usipende kudharau watu usio wajua,kisa mmekutana mitandaoni hata kwa sura humjuiSiku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
OK nimekuelewa kwahiyo kuogea ni nachukua chumvi na mafuta ya zaitun ni nikichanganya naweka kwenye maji ya kuogea huku nanuiza maneno nayotaka eeeeUnayachanganya na kumwaga mahali husika au kujipaka au kuogea au kuchoma huku ukinuizia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]10% zα TRA ?
Usicheze na chumvi inaondowa mikosi, chumvi unaweza kumfukuza mtu asiweze kuja tena nyumbani kwako chumvi inaleta baraka kwenye nyumba au sehemu ya biashara chumvi ina siri kubwa sana mambo mengine siwezi kusema lakini chumvi iwe ni chumvi ya mawe sio chumvi ya unga.Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Hivi maana ya punguani ni nini?MziziMkavu hajanikosa kitu.
Hivi nikimpa mtu darsa wewe unadhani amenikosea? Dhanna hiyo ni ya mapunguani tu.
Hao unaowaona wanajipachika u "Doctor" wasionao ndiyo haohao mapunguani tu.
U "Doctor" amma usome amma iwe tuzo ya kiheshima lakini si kujipachika tu mwenyewe.
Hivi maana ya punguani ni nini?
Stupid maana yake nini?Stupid.
Stupid maana yake nini?
Thanks brother mshana..Kuna baadhi ya shida katika maisha utatuzi wake sio kwa waganga wa kienyeji ambako mara nyingi hukuacha na maagano
Kwahiyo Kuna hii tiba ya kutakasa kwa chumvi na mafuta ya mzeituni ambapo unaweza kutumia kwa kuchoma kuogea au kumwaga kuzunguka nyumba huku ukinuizia kufukuza mambo yote machafu na kukaribisha baraka na mafanikio
unaweza kufanya hivi mara moja kwa siku mara tatu au mara mbili kwa wiki nzima
Hii ikoje?Nilijua matumizi ya chumvi katika kupiga deki
Asante sana mzizi mkavu kwa mchango wako..Usicheze na chumvi inaondowa mikosi, chumvi unaweza kumfukuza mtu asiweze kuja tena nyumbani kwako chumvi inaleta baraka kwenye nyumba au sehemu ya biashara chumvi ina siri kubwa sana mambo mengine siwezi kusema lakini chumvi iwe ni chumvi ya mawe sio chumvi ya unga.
View attachment 449309
mafuta ya mzeituni ni olive oil?Kuna baadhi ya shida katika maisha utatuzi wake sio kwa waganga wa kienyeji ambako mara nyingi hukuacha na maagano
Kwahiyo Kuna hii tiba ya kutakasa kwa chumvi na mafuta ya mzeituni ambapo unaweza kutumia kwa kuchoma kuogea au kumwaga kuzunguka nyumba huku ukinuizia kufukuza mambo yote machafu na kukaribisha baraka na mafanikio
unaweza kufanya hivi mara moja kwa siku mara tatu au mara mbili kwa wiki nzima
So huyu ndio mshirikina hahaha cc MziziMkavucc. mshana jr.