Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]
Mkuu ni cc kama umetua mzigo wa chumvi...ktk post hii.

Zaidi nijuacho kuhusu chumvi asili yake ni ktk Biblia chumvi ilitumika kubadilisha hali fulani...baada ya ufunuo fulani.

Kama mtu anataka kutoka katika laana fulani basi chombo kipya cha mfinyanzi na chumvi poa mafuta ya mzeituni au olive oil hutumika.
 
Ina matokeo mazuri kutokana na imani yako kwenye manuizi
Wengi wamefanikisha na kukwamuka hasa kwenye kuuza nyumba viwanja nk....hata katika mahusiano pia na ndoa zinazolegalega
Mafuta ya mzeituni hung'arisha
Chumvi huleta ladha....
Kwahiyo manuizi yako lazima yalenge huko
Nachanganya chumvi ya mabonge na olive kwenye maji then naoga nikinuiza. Okay asante
 
Heshima kwenu wakuu..
Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi.niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe.
Nawasilisha na natamani kujua kama ni kwel.
Chumvi ya kuondoa mikosi nikufanya Kazi kwa bidii uku ukimuomba Mungu yani utashangaa
 
CHUMVI:-
••••••••••••
Inyunyize kidogo kwenye kona nne ndani ya nyumba yako,mchawi haingii ndani ngo.
Maji ya Baraka makanisani huombewa huku yakinyunyiziwa sea salts chimvi.
Idekie ndani mwako...
Chumvi ichanganye na kiungo fulani ambacho huwekwa kwenye pilau kinachofanana na mbegu za mapapai dekia kwenye biashara jumapili uone.
Inatosha..........
 
Kwa wanahitaji chumvi ya kosher salt kutoka Hebron ,israel,ninazo tani tano ,bei nafuu kilo moja elfu 50,mnPM
 
Back
Top Bottom