Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

[emoji120]
KRISTO YESU alifundisha kwenye kitabu cha Mathayo 5:13 akisema, ninyi ni chumvi ya dunia.
Tena akasema kwenye, Marko 9:49-50 kwamba kila mtu atatiwa chumvi kwa Moto.
Akasema, chumvi ni njema, muwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa amani ninyi kwa ninyi.
Alafu akarudia tena kwenye kitabu cha Luka 14:34 akasema , Chumvi ni kitu chema.
Tena Hesabu 18:19
Lawi 2:13

Lakini kufanya toba na kusamehee ni muhimu .

Sent from my KIW-L24 using JamiiForums mobile app
 
Mhhh bar gan aiseee?,sababu hapa Arusha kulikuwa na club moja ilivuma sana 2014 ilikuwa ya shoga na ndio ilikuwa makutano yako,ilikuja kuzorota ghafla jamaa wakaiachia ila kila aliekuja kufungua biashara hamna,huwa naamini wale walisababisha pale pakalaaniwa
Hata hii kila anayefungua nawaangalia tu cz ndio njia yangu ya home, akifungua mtu hapo hamalizi miez miwili anakuwa kafunga,
Sikuomba siku moja nilikuwa napita namwaga kidogo tu, hapo nahakikisha home nimeombea kwa mistari ya kutosha na damu ya Yesu ya kutosha na nimejiwekea ulinzi kabla sijaenda cz sio kila kona unavamia.
 
Hata hii kila anayefungua nawaangalia tu cz ndio njia yangu ya home, akifungua mtu hapo hamalizi miez miwili anakuwa kafunga,
Sikuomba siku moja nilikuwa napita namwaga kidogo tu, hapo nahakikisha home nimeombea kwa mistari ya kutosha na damu ya Yesu ya kutosha na nimejiwekea ulinzi kabla sijaenda cz sio kila kona unavamia.
Heri ya sikukuu dada.... Unapotea mno huku wakati unaelewa uwepo wako unahitajika mno
 
Lakini hii sea salt hawa majini wengi wao wanaishi kwenye sea inakuaje chumvi usiwaletee noma humo humo majini
Hawaishi majini bali makao yao ni chini ya bahari... Vile vile tofautisha wachawi na majini

Jr[emoji769]
 
Usicheze na chumvi inaondowa mikosi, chumvi unaweza kumfukuza mtu asiweze kuja tena nyumbani kwako chumvi inaleta baraka kwenye nyumba au sehemu ya biashara chumvi ina siri kubwa sana mambo mengine siwezi kusema lakini chumvi iwe ni chumvi ya mawe sio chumvi ya unga.

View attachment 449309
Chumvi pekee ama lazma uchanganye na olive oil?
 
Back
Top Bottom