Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Mwili una mechenism ya kubadilisha carbohydrate kua proteins,.......gluconeogenesis,.........kuandika sana si kua na maarifa,bado wewe ni mjinga
Ficha ujinga wako
 
Uswahilini ngano ndio chakula yao. Mbona hamna akili kule.akili zipo sawa na za watu wa vijijini.Ni vizuri ingeweka na tafiti ili kuushawishi uma kuwa ugali haufai.
 
Kama ipo ipo tu.Kwani wachina staple food yao ni ngano?
 
😁😁😁juzi nimeenda kwenye graduation nikawakuta madogo geto wanakula ugali na tomato sauce ndo mboga!
Duh akili huleta maarifa.
Kuna watu wana nunua ubuyu wa rangi kisha wanautia maji wanatengeza sosi la Ubuyu wakiweka na limao linakuwa mtindi wanalia ugali
 
Duh akili huleta maarifa.
Kuna watu wana nunua ubuyu wa rangi kisha wanautia maji wanatengeza sosi la Ubuyu wakiweka na limao linakuwa mtindi wanalia ugali
Huu ugali huu🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…