Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Matumizi ya ngano yawe mbadala wa ugali Afrika Ili kuondoa Ujinga

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula.

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

NB: Ngano iwe brown wheat, isokobolewa, ukitaka ugali, pika ugali wa ngano isokobolewa.

Karne ya ishirini na Moja, Ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia, ulaji wa ugali Hauna nafasi zaidi ya kuongeza ukubwa tu wa miili bila msaada kwenye ubongo na akili.

Angalizo: Si Rahisi kiongozi utumie ngano isiyokobolewa kama chakula Kisha upate mawazo ya kutawala kimabavu Kwa wizi wa kura. Ugali ukomeshwe Africa.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
 
Salaam, Shalom!!

Mtu alivyo ni matokeo ya chakula anachokula,

Ni Kweli waafrika tunapenda ugali, lakini ugali Hauna faida sana kiafya na kiakili kama ngano,

Sasa tusilalamike tena kusema wazungu Wana akili kutuzidi, tutafute kujua wanakula nini kama tutaukuta ugali.

Tanzania na Afrika stand up!!

Karibuni 🙏
Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.

FANYENI KAZI NYIE
 
Yani Niggers mnapenda na kuendekeza anasa za kula kula tu wakati kulima na kufanya kazi hampendi. Mada za kula nakutomba zimetamalaki sana humu jamvin.

FANYENI KAZI NYIE
KaZi zipi sasa, tunaongelea KAZI itokanayo na chakula kiletacho faida kwenye ubongo.

Au kwako KILIMO Cha jembe la mkono ndio KAZI?
 
Back
Top Bottom