Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


 
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


View attachment 2691954
Mshaurini aandike jina la mama yake kwenye mali zake.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Sasa huyu walinzi wa nini wakati ye mwenyewe ulinzi tosha
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


View attachment 2691954
 
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


View attachment 2691954
Joannah hivi hiyo jamaa aiyesema anataka out na wewe alifanikiwa kweli?
 
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


View attachment 2691954
Ngozi nyeusi akili zetu tunazijua sisi tu, sijawahi kuona mzungu pure anafanya hivo.

Hata Michael Jackson alikua anafanya shopping ya madude ambayo hata hakuwahi kuyatumia.

Hata kwenye media ni ngumu kukuta wazungu pure au waarabu pure wanafanya maisha ya show off, wale wanaishi utajiri hawaoneshi utajiri
 
Waafrika wengi ndivyo walivyo..kutumia sana bila mpangilio wala kujali kesho itakuwaje.

Mfano, Mike Tyson
Floyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.

Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
 
Back
Top Bottom