Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Kwa kweli na mm sina ila ningekuwa navyo ningetamba na shopping za maana maisha ni hayahaya..
Yeye mwenyewe anakwambia "You either get motivated or hate it"
Kwa kweli na mm sina ila ningekuwa navyo ningetamba na shopping za maana maisha ni hayahaya..
 
Floyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.

Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
Takwimu za lini
Mayweather ana aprox usd 450 mil net worth,
Messi ana usd 600 mili
 
Ngozi nyeusi akili zetu tunazijua sisi tu, sijawahi kuona mzungu pure anafanya hivo.

Hata Michael Jackson alikua anafanya shopping ya madude ambayo hata hakuwahi kuyatumia.

Hata kwenye media ni ngumu kukuta wazungu pure au waarabu pure wanafanya maisha ya show off, wale wanaishi utajiri hawaoneshi utajiri
Floyd anaishi maisha ya kitajiri, anaonesha utajiri na ni tajiri.

Huyo CR7 wenu au Messi hawaingii hata robo ya utajiri wa Floyd
 
Floyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.

Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
Mbona huna heshima na michael jordan?
 
Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


View attachment 2691954
Mungu asaidie aje na kwetu hapa Tanganyika ila kule Kwa wapumbavu Zanzibar asiemde kunanuka
 
Upo Dunia ya wapi wewe?

Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.

Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Nafikiri wewe ndio ungejiuliza upo dunia ya ngapi.

 
Back
Top Bottom