Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.

Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.

Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂


View attachment 2691954
Waafrika tunaulimbukeni wa mali na ushamba kwasababu hatujazaliwa nao. Tuliishi kwenye mapango na vijijini huko ambako hakuna umeme na chakula cha shida.
Mbona matajiri wa dunia hawafanyi ujinga huo? Bilgate alifika Tanga akala wali maharagwe na watoto. Angekuwa mwaafrika angeweza?
 
Back
Top Bottom