mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Anajua kuitafuta,pesa na kuitimba lknjamaa ni mshamba sana
[emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua kuitafuta,pesa na kuitimba lknjamaa ni mshamba sana
Anafikiri watu mpaka kumpa nickname ya "MONEY" walikuwa ni wajinga.Waambie money Floyd myweather
[emoji1]
Ova
You choose to hate it?Chai hii tena isiyo na sukari. Hapo kwenye video kununua nini cha pesa hiyo? Mbona haionekani ana nunua chochote?
Sema akilewa mkorofi, Ila sio mwizi, habari zake zipo hata kwa Google.Wewe na mimi nani anamjua Thomas Mashali vizuri?
Huyo Thomas alikuwaga mwanangu sana ila tabia zake za kijinga zilipozidi nikamkataaa.
Kisa cha yeye kuuliwa aliitwa sehemu na mshikaji wake mwingine wanywe bia kisha mshkaji akampa laki 1 kiroho safi.
Mashali alivyopewa laki akalazimishwa aongezewe pesa kisa mshkaji ni mwanae sana na siku hiyo alikuwa na pesa ndefu (10M) .
Sasa ile kulazimisha kuongezewa pesa ambayo hajui hata imepatikana vipi na kumletea utemi wapambe wa pembeni waliokuwa na huyo jamaa wakaona hizi dharau wakamuwakia jamaa akafanikiwa kuwadhibiti ,walipodhibitiwa wakaanza kumuitia mwizi ,Mashali akawa anakimbia umbali kadhaa kisha anasimama kuwapunguza watu kadhaa mwisho wa siku akazidiwa nguvu akauwawa ,japo baadhi ya watu hawakujua wanayempiga ni Mashali maana ilikuwa usiku ,baada ya kufa kumuangalia vizuri kumbe ni yeye kukawa hakuna jinsi.
Dogo ndo maana nimekwambia humjui Mashali .Sema akilewa mkorofi, Ila sio mwizi, habari zake zipo hata kwa Google.
Simjui sawa, hata kujua habari zake au Nani na yupo, wapi au kuhusu yeye, nyie wa dar ndio mnawajua wasanii au watu maharufu, si wa mikoani tutakuja na magari ya kabich ili tuwajue kina mada mahugo.Dogo ndo maana nimekwambia humjui Mashali .
Mashali hapendi kufanya kazi, yeye anachojua kwenda kwenye vituo vya daladala kukusanya pesa kinguvu KATAA sasa uone.
Na alivimba kichwa baada ya kumpiga Francis Cheka na kumpiga Dame wa sinza ndo akazidi kuwa mshenzi.
Huyo Mada Maugo ndo mshamba kupitiliza .Simjui sawa, hata kujua habari zake au Nani na yupo, wapi au kuhusu yeye, nyie wa dar ndio mnawajua wasanii au watu maharufu, si wa mikoani tutakuka na magari ya kabich ili tuwajue kina mada maugo.
Anauza mapensheni.Huyo Mada Maugo ndo mshamba kupitiliza .
Kazi yake kwenda bar kuchukua mademu za watu kinguvu siku akatolewa uvivu akachezea kichapo na mtaa akauona mchungu akakimbilia chanika.
Wanawake ni majasiri sana...kipindi cha kesi ya ya kina Ay dhidi ya kampuni ya Tigo, nilishuhudia Wakili mmoja mdada akiwa anajaribu bahati yake kwa Wakili wa wakina Ay...ila jamaa alivunga kama haja muona.Hao wanaimba wamesimama me hapo ningemchezea km wanenguaji wa akudo
Huyo jamaa alilewa na alipigwa bar kwenye fujo na sio bodabodaYa Thomas mashali bondia alipigwa na mabodaboda nakuuwawa.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
UongoooooooooòoooooooooooooooooFuatilia kipindi kile ana bifu na 50 Cent .
Utajiri wote wa 50 Cent ulikuwa Bilioni 18 ,Floyd ana miliki saa ya bilioni 20 kwa hiyo akamwambia usibishane na mimi anza kwanza kubishana na saa yangu 😂😂😂😂😂
Pia ikumbukwe 50 Cent alikuwa mpambe wa Floyd enzi hizo kama ilivyokuwa kwa Justin Bieber
Ndio, bodaboda ndio walimtambua, nilipitiwa tu.Huyo jamaa alilewa na alipigwa bar kwenye fujo na sio bodaboda
Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aiseeSasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? 😂🤣 bongo mna store ya gucci?😂
Kama Pdidy.Hana demu huyo.
Watoto zake alionao kila mmoja na mama yake na hakuna anayeishi naye na humshauri kabisa kuhusu suala la NDOA.
Kwa kifupi Floyd ni Team KATAA NDOA.
Nashindwa zitafuta saana pesa maana hata nilipozipotezea sipajui.Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aisee
17bilion in tzs or US 17B..?Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aisee
Tiger Woods vipi? Kuna miaka aliwazidi wanamichezoUpo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Sasa kweli unaweza kua timamu kama umeshindwa kulijibu?Swali la kipumbavu.
Sema vijana uchawa mnauwezaAnafikiri watu mpaka kumpa nickname ya "MONEY" walikuwa ni wajinga.
Arusha panamfaaSasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? [emoji23][emoji1787] bongo mna store ya gucci?[emoji23]