Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Wewe na mimi nani anamjua Thomas Mashali vizuri?

Huyo Thomas alikuwaga mwanangu sana ila tabia zake za kijinga zilipozidi nikamkataaa.

Kisa cha yeye kuuliwa aliitwa sehemu na mshikaji wake mwingine wanywe bia kisha mshkaji akampa laki 1 kiroho safi.

Mashali alivyopewa laki akalazimishwa aongezewe pesa kisa mshkaji ni mwanae sana na siku hiyo alikuwa na pesa ndefu (10M) .


Sasa ile kulazimisha kuongezewa pesa ambayo hajui hata imepatikana vipi na kumletea utemi wapambe wa pembeni waliokuwa na huyo jamaa wakaona hizi dharau wakamuwakia jamaa akafanikiwa kuwadhibiti ,walipodhibitiwa wakaanza kumuitia mwizi ,Mashali akawa anakimbia umbali kadhaa kisha anasimama kuwapunguza watu kadhaa mwisho wa siku akazidiwa nguvu akauwawa ,japo baadhi ya watu hawakujua wanayempiga ni Mashali maana ilikuwa usiku ,baada ya kufa kumuangalia vizuri kumbe ni yeye kukawa hakuna jinsi.
Sema akilewa mkorofi, Ila sio mwizi, habari zake zipo hata kwa Google.
 
Sema akilewa mkorofi, Ila sio mwizi, habari zake zipo hata kwa Google.
Dogo ndo maana nimekwambia humjui Mashali .

Mashali hapendi kufanya kazi, yeye anachojua kwenda kwenye vituo vya daladala kukusanya pesa kinguvu KATAA sasa uone.

Na alivimba kichwa baada ya kumpiga Francis Cheka na kumpiga Dame wa sinza ndo akazidi kuwa mshenzi.
 
Dogo ndo maana nimekwambia humjui Mashali .

Mashali hapendi kufanya kazi, yeye anachojua kwenda kwenye vituo vya daladala kukusanya pesa kinguvu KATAA sasa uone.

Na alivimba kichwa baada ya kumpiga Francis Cheka na kumpiga Dame wa sinza ndo akazidi kuwa mshenzi.
Simjui sawa, hata kujua habari zake au Nani na yupo, wapi au kuhusu yeye, nyie wa dar ndio mnawajua wasanii au watu maharufu, si wa mikoani tutakuja na magari ya kabich ili tuwajue kina mada mahugo.
 
Simjui sawa, hata kujua habari zake au Nani na yupo, wapi au kuhusu yeye, nyie wa dar ndio mnawajua wasanii au watu maharufu, si wa mikoani tutakuka na magari ya kabich ili tuwajue kina mada maugo.
Huyo Mada Maugo ndo mshamba kupitiliza .

Kazi yake kwenda bar kuchukua mademu za watu kinguvu siku akatolewa uvivu akachezea kichapo na mtaa akauona mchungu akakimbilia chanika.
 
Hao wanaimba wamesimama me hapo ningemchezea km wanenguaji wa akudo
Wanawake ni majasiri sana...kipindi cha kesi ya ya kina Ay dhidi ya kampuni ya Tigo, nilishuhudia Wakili mmoja mdada akiwa anajaribu bahati yake kwa Wakili wa wakina Ay...ila jamaa alivunga kama haja muona.
 
Fuatilia kipindi kile ana bifu na 50 Cent .
Utajiri wote wa 50 Cent ulikuwa Bilioni 18 ,Floyd ana miliki saa ya bilioni 20 kwa hiyo akamwambia usibishane na mimi anza kwanza kubishana na saa yangu 😂😂😂😂😂


Pia ikumbukwe 50 Cent alikuwa mpambe wa Floyd enzi hizo kama ilivyokuwa kwa Justin Bieber
Uongoooooooooòooooooooooooooooo
 
Sasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? 😂🤣 bongo mna store ya gucci?😂
Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aisee
 
Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aisee
Nashindwa zitafuta saana pesa maana hata nilipozipotezea sipajui.
 
Hapo katumia bilion 17 tu kufanya shopping, yaani kasoro 3 ziwe zile alizodanganya Mo kawapa makolo, tutafute sana pesa aisee
17bilion in tzs or US 17B..?

KAMA NI 17B USD aisee ni hatare sanaa hiyo,ila pesa nimakaratasi tu kila siku zinakuwa printed so nothing impossible.
 
Back
Top Bottom