Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #61
jamaa ni mshamba sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa ni mshamba sana
Fuatilia kipindi kile ana bifu na 50 Cent .Daaah kufuru ya maana hii.
Swali la kipumbavu.Hayo magari,ndege na nyumba zinamuingizia kiasi gani Kwa mwaka???
Tufanyeje sasa mkuu?Ukitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.
Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.
Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.
Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2691954
Kwa waarabu utakuwa hujafanya tafiti vizuri labda uwatoe waarabu waweke wachinaNgozi nyeusi akili zetu tunazijua sisi tu, sijawahi kuona mzungu pure anafanya hivo.
Hata Michael Jackson alikua anafanya shopping ya madude ambayo hata hakuwahi kuyatumia.
Hata kwenye media ni ngumu kukuta wazungu pure au waarabu pure wanafanya maisha ya show off, wale wanaishi utajiri hawaoneshi utajiri
Ya Thomas mashali bondia alipigwa na mabodaboda nakuuwawa.Sasa huyu walinzi wa nini wakati ye mwenyewe ulinzi tosha
Tukitaka kuwa chawa wake tunampataje 😑
Ya Thomas mashali bondia alipigwa na mabodaboda nakuuwawa.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Akifika bongo fanya bidii umuombe mkopo, upunguze umasikiniUkitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.
Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.
Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.
Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂
View attachment 2691954
Sawa .Akifika bongo fanya bidii umuombe mkopo, upunguze umasikini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ungemwaga UNOHao wanaimba wamesimama me hapo ningemchezea km wanenguaji wa akudo
Sasa upo kishabikiFloyd anaishi maisha ya kitajiri, anaonesha utajiri na ni tajiri.
Huyo CR7 wenu au Messi hawaingii hata robo ya utajiri wa Floyd
La kufa mtu 😆😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ungemwaga UNO
Unatamani aje bongo ili ukamdangie,wasafi umewatemaUnamjua Floyd kweli wewe au unamsikia? Kwa taarifa yako Floyd ana miliki ndege sio chini ya tano, ana miliki magari ya kifahari sio chini ya 30 ,ana majumba sio chini ya 8.
Huyo ni mmarekani sio muafrika.Waafrika wengi ndivyo walivyo..kutumia sana bila mpangilio wala kujali kesho itakuwaje.
Mfano, Mike Tyson