Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi tena kwenye data zako.Upo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Ile ni guchi 😂🤣TEGETA Nyuki kwa Hamisa Mobetto
😂😂😂😂😂😂😂Mungu asaidie aje na kwetu hapa Tanganyika ila kule Kwa wapumbavu Zanzibar asiemde kunanuka
Mtu mwenyewe ananunua nguo tuMshaurini aandike jina la mama yake kwenye mali zake.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Watu maarufu wote dhniani wanaijua zanzibarMungu asaidie aje na kwetu hapa Tanganyika ila kule Kwa wapumbavu Zanzibar asiemde kunanuka
ngozi nyeusi ni nyoooookoooUkitaka kujua maana ya halisi ya pesa au mtu anayeishi maisha ya kifahari basi nenda kamtazame Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.
Huyu jamaa hakupewa nickname ya "Money" kwa bahati mbaya ana deserve jina na analitendea haki sana.
Baada ya kufanya kufuru ya matumizi huko S.Africa kuna hatihati pia jamaa akatua bongo.
Na kwa ninavyowajua dada zangu wa kibongo akitua bongo tu wanaye 😂😂😂😂😂
View attachment 2691954
Unamjua Floyd kweli wewe au unamsikia? Kwa taarifa yako Floyd ana miliki ndege sio chini ya tano, ana miliki magari ya kifahari sio chini ya 30 ,ana majumba sio chini ya 8.Mtu mwenyewe ananunua nguo tu
Makumbusho pale 😆😆Sasa hapa bongo ataenda kutumia wapi!? 😂🤣 bongo mna store ya gucci?😂
Acha uongo Michael Jordan ana utajiri wa zaidi ya dola bilion 2 wakati mayweather ana dola bilion 1Floyd ana akili sana ya pesa ndio maana kila kukicha utajiri wake unazidi kuimarika.
Floyd ndiye mwanamichezo mwenye pesa nyingi zaidi kwa muda wote amemuacha mpaka Michael Jordan na hao akina Christian Ronaldo na Messi.
Hayo magari,ndege na nyumba zinamuingizia kiasi gani Kwa mwaka???Unamjua Floyd kweli wewe au unamsikia? Kwa taarifa yako Floyd ana miliki ndege sio chini ya tano, ana miliki magari ya kifahari sio chini ya 30 ,ana majumba sio chini ya 8.
Acha uongo hakuna mwanamichezo yoyote duniani anayefikia utajiri wa Michael Jordan ana utajiri wa zaidi ya dola bilion 2. Hao kina messi na cr7 hata dola bilion 1 hawajafikisha.. mayweather hamfkii Michael Jordan sijui hizo takwimu za kubumba unatoa wap?Upo Dunia ya wapi wewe?
Messi hawezi hata robo kuukaribia utajiri wa Floyd.
Aanze kwanza na Michael Jordan ndipo afikirie kuhusu Floyd
Sasa mkuu unamfananisha Messi na CR 7 tena? Si bora ungemfananisha na Mo Dewji coz Mo kawazidi hao CR7 na Messi combined.Floyd anaishi maisha ya kitajiri, anaonesha utajiri na ni tajiri.
Huyo CR7 wenu au Messi hawaingii hata robo ya utajiri wa Floyd
Kwa kipigo anachopata akiwa ulingoni , muacheni atumbue hela zake maana muda si mrefu anaweza kuwa taahira kutokana na ngumi wanazopigwa kichwani!!!HAKUNA ALIEMSAIDIA KUTAFUTA ACHA ALE MAISHA
Unajua kwa nini alipewa nickname ya Pretty boy?Kwa kipigo anachopata akiwa ulingoni , muacheni atumbue hela zake maana muda si mrefu anaweza kuwa taahira kutokana na ngumi wanazopigwa kichwani!!!
Hizo ndogo sana kwa FloydDo you know seventeen billions
Daaah kufuru ya maana hii.Hizo ndogo sana kwa Floyd
Kama aliweza kununua saa tu ya bilioni 20 sembuse hicho kiasi.