Matumizi ya pesa aliyoyafanya Floyd Mayweather huko S.Africa ni balaa kuna uwezekano akatua bongo

Waafrika tunaulimbukeni wa mali na ushamba kwasababu hatujazaliwa nao. Tuliishi kwenye mapango na vijijini huko ambako hakuna umeme na chakula cha shida.
Mbona matajiri wa dunia hawafanyi ujinga huo? Bilgate alifika Tanga akala wali maharagwe na watoto. Angekuwa mwaafrika angeweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…