Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marachache mno.Hupiki?
Wewe ni noma.-Asubuhi hakuna kula
-Mchana Mihogo ya Mia 7 na maji ya 300 jumla 1000
-Usiku tunahesabu mabati.
TOTAL KWA SIKU NI 1300 IKIZIDI SANA 1500/=
CCM MBELE KWA MBELE..!!
Asante.
Mimi, mke na mtoto 1familia ya watu watatu una maanisha mama na watoto wake wawili inawezekana
Matumizi ya kawaida ni 10000 kila sikuKwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,
Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba hipo siku moja.
Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Nzuri sana hii.Hata siku ukilipwa milioni, kwa mwezi utatumia laki 8.
Mshahara hujawahi kutosha, jinsi unavyopata ndivyo jinsi unazidi spend, utaanza kula lunch ya 10000 kwa siku, nyumba 200000 kwa mwezi n.k..
Ile mindset mwezi ujao napokea, mwezi ujao napokea.. mwezi, mwaka,miaka mi 5, miaka 10 una familia, hapo matumizi yanaongezeka mara 5 yake, kama ni mnywa pombe ndio basi tena.
Ujumbe: mshahara hujawahi kutosha, mshahara unalemaza akili.
Tutatoboa kweli mzee?Matumizi ya kawaida ni 10000 kila siku
Bundle najiunga la mwezi 30000
Kodi nalipa 70000
Umeme na taka jumla hufikia 17000
Huduma za king'amuzi 60,000
Matumizi mengineyo (watoto wa kike bata etc.) kila week ni 50000- 100,000 itategemeana.
😭😭
Naishi mwenyewe. Natamani sana kuwa mbana matumizi ila kila siku zinavyozidi kwenda naoma nazidi kuwa mtu wa hovyo.
Wewe umeshatoboa jamaa, kaza hapohapoMatumizi yangu kwa siku ni kama ifuatvyo;
1. Mafuta ya gari 30,000
2. Chakula cha nyumbani 30,000
3. Simu data 5000, Voice 1000
4. Chai na chakula cha mchana nikiwa kazini 15,000
5. Misaada kwa ndugu, jamaa na michepuko 100,000
6. Bia jioni 20,000 pamoja
7. Zawadi za watoto 10,000
Akiba kwa mwezi 4-6m.
Mtanzania wa Kiwango cha kati cha chini ( Lower middle income)
Ni ngumu inapaswa kipato kikue ukija kuangalia matumizi mengi now yamekuwa ni ya lazima labda ukae porini.Tutatoboa kweli mzee?
Mimi ni mtu mzima nakaribia kuachana na kazi nilee wajukuu.Wewe umeshatoboa jamaa, kaza hapohapo
Safi sana , lakini naamini ulipokua na age ya 26 kama yangu ulikua hujafika hayo mafanikio uliyonayo.Mimi ni mtu mzima nakaribia kuachana na kazi nilee wajukuu.
Safi sana, ngoja nichukue hii japo nilitaka nifike milion 10 nifungue, duka la simu na vifaa vyake.Hongera Mkuu kuweza kujifanyia tathmini ya Kipato chako.
Vipato vingi Kwa Vijana wengi huwa vina range humo humo
Ili kubana Matumizi nashauri ungekuwa unapika japo chakula cha usiku ambacho ungekitumia kunywea Chai asubuhi hasa kama utapika Wali.
Kingine nashauri ungepunguza kiasi cha Sadaka. Maandiko yanasema toa kadri Mungu alivyokujalia.
Sisi Kanisani kwetu, tunakuwa na Sadaka zaidi ya 5 Kila Jumapili
Kama utatoa shilingi 2,000 Kila Sadaka ina maana itakata shilingi 10,000 Kwa Jumapili Moja na shilingi 40,000 Kwa Mwezi.
Nimeona hapo juu umesema una akiba ya 1.3M, ni vyema ufanye tathmini ili uanze kufanya biashara japo hata ya Banda la Chips ili kuongeza kipato.
Wahenga walisema "Mgagaa na upwa hali wali Mkavu''
"Ndondondo si chululu"
Pia Vijana wanasema "Mbuyu ulianza kama Mchicha "
Keep hustling 💪
Nikweli umeshamaliza bajeti ya siku hapo hujajumlisha nauli nakule kazini maana hurudi nyumbaniKwa siku lazma laki 3 ikate na familia ya watu watatu...