Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
- #61
Kumbe niko vizuri, acha nijipige kifuani.hongera sana mTanzania wa kipato cha kati 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe niko vizuri, acha nijipige kifuani.hongera sana mTanzania wa kipato cha kati 🐒
Huu mwezi nitaanza kupika nione kama nitaweza kubalance laki 2 kwa mwezi.Sio kwa ubaya ila kwa mshahara wako sidhani kama unapaswa kubaki na hiyo, balance ni muhimu matumizi kuendana na kipato
Kwa jinsi unavyotumia ina maana kufanya manunuzi madogo ya mkupuo utakomba vijisenti vyote vya benki
Nakushauri kama ceiling yako ni 450k kwa mwezi, upo vyema ila jitahidi upunguze ili walau asilimia 35 mpaka 40 ya mshahara ibaki baada ya purukushani zote za mwezi
Kutegemea na mishe zako unaweza kupunguza kwenye bando, na extra kama hizo juisi za buku kila siku na mwisho wa siku kila senti ina hesabu yake, unaweza kuona hizo ndogo unazopu guza ni vijisenti ila baada ya muda zinatosha hata kufanya vitu vidogo
Etumba etumbaMkuu prakatatumba abaaba
Acha tu hujui vile huu wimbo unanikosha yaani .Etumba etumba
Unawakumbuka wanawakeeeHongera ya nini?🤨🤨
sasa ongeza bidii uwe apo juu ya kati, sio tena ukivuta mke halafu ushuke chini ya kati, hapana, hiyo haitakiwi kabisa, kama nchi tumekataa 🐒Kumbe niko vizuri, acha nijipige kifuani.
Nalikuwa nakuzidi. At 26 nilikuwa graduate Engineer nalipwa 600,000 kwa Mwezi na Field allowance ya 70,000 kwa siku. Na nilikuwa nakaa sana field.Safi sana , lakini naamini ulipokua na age ya 26 kama yangu ulikua hujafika hayo mafanikio uliyonayo.
Hapo sawa mkuu.Nalikuwa nakuzidi. At 26 nilikuwa graduate Engineer nalipwa 600,000 kwa Mwezi na Field allowance ya 70,000 kwa siku. Na nilikuwa nakaa sana field.
Sasa utelezi unadhani inakuwaje??😂Unawakumbuka wanawakeee
Wewe ni mwelewaSasa utelezi unadhani inakuwaje??😂
Unawalisha dagaa mzee? 5000 mboga gani asubuhi mpaka jioni?Huwa tunanunua vitu vya ndani weekly na wife huku Rungwe na kila siku namuachia 5000 ya Mboga kwa familia ya watu 7.
[emoji23][emoji23][emoji23] yule wa Kigoma nadhani alikuwa natumia chini ya hiyoUpo kigoma?
Hizo wanazipenda sana mkuu. Inatosha kwa huku Rungwe mkuu.Unawalisha dagaa mzee? 5000 mboga gani asubuhi mpaka jioni?
Utakuwa ulikuwa unaishi mbagala weweNimeishi Dar mzee, nimesoma Mugabe secondary japo nimezaliwa Morogoro, usijifanye mjuaji, nimeishi kwa kwa kipato cha laki 3, kabla sijaajiriwa, nimesoma hapo udsm miaka 3, nikamaliza nikabaki kupambana hapo mpaka nilipoajiriwa mwaka jana, kwa hiyo Dar sio kigezo cha matumizi makubwa.
Unajiendekeza mwenyewe unaisngizia ccm!!-Asubuhi hakuna kula
-Mchana Mihogo ya Mia 7 na maji ya 300 jumla 1000
-Usiku tunahesabu mabati.
TOTAL KWA SIKU NI 1300 IKIZIDI SANA 1500/=
CCM MBELE KWA MBELE..!!
Asante.
Nina undugu naye wa mbali wa kikabila ule wa kushea naye Mkoa ....Una undugu na Mama Maria Nyerere? Umeandika kwa busara sana.