Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Daah mnaolipa kodi elf 80_70 mna raha sanaa.. nipo mkoa wa kitalii..

Kodi kwa mwezi nalipa 300k ingawa nahamisha kodi ya nyumba yangu ya Dar naweka huku.

Usafiri nafatwa na gari la ofisi hivyo nawez maliza wiki sijatoka na gari yangu.

Chakula kwa siku sina hesabu kamili maana nafanya shopping kila wiki.. hivyo sinunui chakula mgahawani (NAPIKA).

Gharama zingine ndg ndg kwa siku sizidi 4k.. hapo nimespend sana..

Note: SHOPPING ya 30k Kwa siku 7 nasurvive vzr kbs....

Savings inategemea ila ni 1m+ inayobak inaingia ktk maendeleo..
 
Matumizi ya kawaida ni 10000 kila siku

Bundle najiunga la mwezi 30000

Kodi nalipa 70000

Umeme na taka jumla hufikia 17000

Huduma za king'amuzi 60,000

Matumizi mengineyo (watoto wa kike bata etc.) kila week ni 50000- 100,000 itategemeana.

[emoji24][emoji24]
Naishi mwenyewe. Natamani sana kuwa mbana matumizi ila kila siku zinavyozidi kwenda naona nazidi kuwa mtu wa hovyo.
Umekomaa apo mwanangu
 
Daah mnaolipa kodi elf 80_70 mna raha sanaa.. nipo mkoa wa kitalii..

Kodi kwa mwezi nalipa 300k ingawa nahamisha kodi ya nyumba yangu ya Dar naweka huku.

Usafiri nafatwa na gari la ofisi hivyo nawez maliza wiki sijatoka na gari yangu.

Chakula kwa siku sina hesabu kamili maana nafanya shopping kila wiki.. hivyo sinunui chakula mgahawani (NAPIKA).

Gharama zingine ndg ndg kwa siku sizidi 4k.. hapo nimespend sana..

Note: SHOPPING ya 30k Kwa siku 7 nasurvive vzr kbs....

Savings inategemea ila ni 1m+ inayobak inaingia ktk maendeleo..
Hii nyumba ya 80,000/= kigoma kwa dar ni laki na nusu mpaka laki 2, maana ni chumba sebule na choo ndani, full tiles.
 
Daah mnaolipa kodi elf 80_70 mna raha sanaa.. nipo mkoa wa kitalii..

Kodi kwa mwezi nalipa 300k ingawa nahamisha kodi ya nyumba yangu ya Dar naweka huku.

Usafiri nafatwa na gari la ofisi hivyo nawez maliza wiki sijatoka na gari yangu.

Chakula kwa siku sina hesabu kamili maana nafanya shopping kila wiki.. hivyo sinunui chakula mgahawani (NAPIKA).

Gharama zingine ndg ndg kwa siku sizidi 4k.. hapo nimespend sana..

Note: SHOPPING ya 30k Kwa siku 7 nasurvive vzr kbs....

Savings inategemea ila ni 1m+ inayobak inaingia ktk maendeleo..
Salary pia ni kubwa.
 
Safi sana, ngoja nichukue hii japo nilitaka nifike milion 10 nifungue, duka la simu na vifaa vyake.
Kuna watu wanadharau hii biashara

Miaka fulani niliwafungulia Vijana 2 vibanda vya chips

Walikuwa wananiletea Kila Siku shilingi 18,000 Kila mmoja.

Maana yake nilikuwa napata shilingi 36,000 Kwa Siku.

Kwa Mwezi nilikuwa napata laki 9 kwenye Chips.

Haya maisha mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe mwenyewe.

Kubali kuamua sasa
 
Matumizi ya kawaida ni 10000 kila siku

Bundle najiunga la mwezi 30000

Kodi nalipa 70000

Umeme na taka jumla hufikia 17000

Huduma za king'amuzi 60,000

Matumizi mengineyo (watoto wa kike bata etc.) kila week ni 50000- 100,000 itategemeana.

😭😭
Naishi mwenyewe. Natamani sana kuwa mbana matumizi ila kila siku zinavyozidi kwenda naona nazidi kuwa mtu wa hovyo.
Aisee hongera
 
Umejipanga vizuri, hujaweka anasa, hiyo akiba yako kwa mwezi izalishe kwa mbinu yoyote ile. Hebu tafuta mwenza mwenye malengo kama yako, mbadilishane mawazo namna ya kuzungusha pesa ili izae. Mkiwa na nidhamu ya pesa hata hao wenye magari mtawaona wa kawaida kwani mtakuwa na usafiri. Nasema mwenza kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Wewe ni mnyonge subiria kwenda kuandamana tuu huko
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba hipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunz
Katika mchanganuo wako wa matumizi wa mshahara wa mwezi ZAKA should be FIRST coz sio yako lakini wewe umeiweka OPTIONAL something is WRONG.

Naona pia una matumizi makubwa sana ya pesa na hapo hujaoa bado instead kuna watu wanafamilia wanalipwa mshahara huo wanatoa ZAKA na kuhudumia familia VERY SAD for you

Sijajua muda wa masaa yako ya kazi lakini if possible hubanwi sana tafuta kajibarua pembeni kakuingiza hata 5000 itakusaidia Kingine kwa kuwa ndio unajipanga kimaisha sijaona haja ya kuishi sehemu unalipa 80000 too high at least 50000 ingekufaa, Acha uvivu usiku pika na mchana sio lazima utumie 3000 hata buku mara moja moja yani inshort SAVE MONEY THE WAY YOU CAN FOR YOUR FUTURE EXPENSES

Kwenye camera yangu naona pia unabeti Acha hio tabia utafilisika na kazi utapoteza tafuta ela kwa njia halali bado una nguvu wewe nakupiga na kofi PAAAH

Ni hayo tu mengine utajua mwenyewe ufanye business au kiwanja kwanza utajua na Usioe kabla ya hivyo vitu viwili Business/Plot.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
hongera sana mTanzania wa kipato cha kati 🐒
 
Hongera Mkuu kuweza kujifanyia tathmini ya Kipato chako.

Vipato vingi Kwa Vijana wengi huwa vina range humo humo

Ili kubana Matumizi nashauri ungekuwa unapika japo chakula cha usiku ambacho ungekitumia kunywea Chai asubuhi hasa kama utapika Wali.

Kingine nashauri ungepunguza kiasi cha Sadaka. Maandiko yanasema toa kadri Mungu alivyokujalia.

Sisi Kanisani kwetu, tunakuwa na Sadaka zaidi ya 5 Kila Jumapili

Kama utatoa shilingi 2,000 Kila Sadaka ina maana itakata shilingi 10,000 Kwa Jumapili Moja na shilingi 40,000 Kwa Mwezi.

Nimeona hapo juu umesema una akiba ya 1.3M, ni vyema ufanye tathmini ili uanze kufanya biashara japo hata ya Banda la Chips ili kuongeza kipato.

Wahenga walisema "Mgagaa na upwa hali wali Mkavu''

"Ndondondo si chululu"

Pia Vijana wanasema "Mbuyu ulianza kama Mchicha "

Keep hustling 💪
Una undugu na Mama Maria Nyerere? Umeandika kwa busara sana.
 
Umejipanga vizuri, hujaweka anasa, hiyo akiba yako kwa mwezi izalishe kwa mbinu yoyote ile. Hebu tafuta mwenza mwenye malengo kama yako, mbadilishane mawazo namna ya kuzungusha pesa ili izae. Mkiwa na nidhamu ya pesa hata hao wenye magari mtawaona wa kawaida kwani mtakuwa na usafiri. Nasema mwenza kwani kidole kimoja hakivunji chawa.
Kweli kabisa, ni Mungu sasa anipatie wa hivyo.
 
Back
Top Bottom