Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Njia nzuri ya kusave hela nunua kila kitu uweke ndani ,

Kaa mbali na wanawake, pombe

Kula vizuri Fanya mazoezi

Toa sadaka kwa wazazi Kama wapo

Tafuta passive income Kama kununua na kuuza hasa siku za weekend


Kuhusu bajeti yangu kwa siku huwa haitabiriki ila Mara nyingi siwezi kuzidi 50k maana sina familia.


Kitu kingine ukinunua chakula ukaweka ndani inasaidia Sana hasa kwa vijana tunaojiafuta maana chakula kinaleta utulivu wa kukufanya uwaze mambo mengine positive na sio kila siku kuwaza chakula.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Kama ulichoandika ni kweli na ukaendelea hivyo kwa muda mrefu, lazima utakuwa tajiri...

Maana hujasema hela unayotumia bar, au ile unayovihonga vitoto vya uswahilini kule kawe Ukwamani.
 
Njia nzuri ya kusave hela nunua kila kitu uweke ndani ,

Kaa mbali na wanawake, pombe

Kula vizuri Fanya mazoezi

Toa sadaka kwa wazazi Kama wapo

Tafuta passive income Kama kununua na kuuza hasa siku za weekend


Kuhusu bajeti yangu kwa siku huwa haitabiriki ila Mara nyingi siwezi kuzidi 50k maana sina familia.


Kitu kingine ukinunua chakula ukaweka ndani inasaidia Sana hasa kwa vijana tunaojiafuta maana chakula kinaleta utulivu wa kukufanya uwaze mambo mengine positive na sio kila siku kuwaza chakula.
Ndio naanza kuapply, mwezi huu nafanya research kati ya kupika na kula hotelini kwa mtu mmoja gharama yake ikoje?
 
Matamizi yangu

Nauri kwenda na kurudi 1500 Tzs
Asubui sili
Mahana nakula 500 Tzs
Usiku nakula 1000 Tzs au Nadundia
Bando 300 Tzs (1000 siku tatu)

Jumla 3500 Tzs au 2500 Tzs

NB: mwenye connection ya kazi ofisi aniunganishe maana haya sio matumizi kabisa nakonda nabaki mifupa
 
Matamizi yangu

Nauri kwenda na kurudi 1500 Tzs
Asubui sili
Mahana nakula 500 Tzs
Usiku nakula 1000 Tzs au Nadundia
Bando 300 Tzs (1000 siku tatu)

Jumla 3500 Tzs au 2500 Tzs

NB: mwenye connection ya kazi ofisi aniunganishe maana haya sio matumizi kabisa nakonda nabaki mifupa
Mimi ni fukara jamaa yangu lakini wewe inabidi wadau wakusaidie, unaweza kukauka.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Wewe ni mlalahoi tu. Hujafikia kuwa mlalahai.

Kaza buti.
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Nimefurahi kuona nyumba unayopanga hamlipii umeme wala maji,
Kwa kuwa unaanza maisha ni mwanzo mzuri.
 
Back
Top Bottom