Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Matumizi yako kwa siku ni sh. ngapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

Utafika mbali sana kama ikiendelea na hiyo nidham ya kuweka akiba. Kuna watu wanapata zaidi ya hiyo pesa na hawana akiba yoyote.

Kuhusu unyonge, Kila mmoja anasafari yake, mwendo haufananii, Cha msingi omba uzima na afya njema, pili, hakikisha wakati wote unasogea kwenda mbele hata kama ni hatua Moja, Cha msingi unasogea kuelekea malengo Yako.

Kuna watu wakipata maisha kama Yako watakua wamemaliza kabisa Kila kitu na watakua na furaha sana.
 
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano
Ni kweli mkuu Inflation ni kubwa kwenye kila kitu.

Hata ujibane vipi huwezi kutumia less than 10k kwa siku.

Ndio maana WB wametangaza tumekuwa maskini zaidi.
 
Hata siku ukilipwa milioni, kwa mwezi utatumia laki 8.

Mshahara hujawahi kutosha, jinsi unavyopata ndivyo jinsi unazidi spend, utaanza kula lunch ya 10000 kwa siku, nyumba 200000 kwa mwezi n.k..

Ile mindset mwezi ujao napokea, mwezi ujao napokea.. mwezi, mwaka,miaka mi 5, miaka 10 una familia, hapo matumizi yanaongezeka mara 5 yake, kama ni mnywa pombe ndio basi tena.

Ujumbe: mshahara hujawahi kutosha, mshahara unalemaza akili kama si mtu makini.

Suluhisho: Mradi nje ya kazi muhimu, fanya savings sana, epuka starehe.
Sahihi mkuu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Matumizi yangu kwa siku ni kama ifuatvyo;
1. Mafuta ya gari 30,000
2. Chakula cha nyumbani 30,000
3. Simu data 5000, Voice 1000
4. Chai na chakula cha mchana nikiwa kazini 15,000
5. Misaada kwa ndugu, jamaa na michepuko 100,000
6. Bia jioni 20,000 pamoja
7. Zawadi za watoto 10,000

Akiba kwa mwezi 4-6m.

Mtanzania wa Kiwango cha kati cha chini ( Lower middle income)
Robert Heriel Mtibeli anasema wewe ni masikini sio middle class 🤣🤣🤣
 
Kigoma matumizi yote hayo?? Ungekuwa Dar ungeolewa. Review matumizi yako ni makubwa mno na isitoshe ww ni ticha
Dar kuna sehemu hata buku jero unakula wali nazi samaki nazi kisamvu nazi maharage nazi pembeni bisha nikupeleke ferry pale kwa mama Abdul Tagata, lkn pia kuna mahali lunch plate moja 48k-112k....Dar sio mahali pa kunaiga maisha la sivyo dole litakuhusu... na ukiwa mjanja unatusua kirahisi tu muhimu usikae sehemu itaku cost nauli daily.... shughuli zako za kila siku zisi tukie nauli...kaa krb na sehemu ya shughuli zako!!!
 
Nina familia. Mke na watoyo wa3. Kwa sasa tupo home wa4. Moja yupo shule boding. Home kuna mkaa, gas mchele unga mafuta ya kupikia na sukari. Nikitoka naacha 10k.
Huku uraiani mpaka narudi home lazima nitumie wastani 10k kama sitakunywa siku hiyo. Nikinywa ni zaidi ya 20k kwangu pekeangu. Afu naona kawaida sana.
 
Kodi ya meza 5000(Hapo ndani vitu vipo)
Wese la 10000
Chai 1500
Maji 1000
Chakula mchana 3000

Jumla Elfu 21,500/= kwa siku. 🚶🚶😭😭
Noma na nusu, Hapo ukiongezea na zile weekly kama bando na kinywaji iwe baridi au la, au zile monthly kama Luku, maji na visimbuzi si inavuka kabisa hapo
 
Dar kuna sehemu hata buku jero unakula wali nazi samaki nazi kisamvu nazi maharage nazi pembeni bisha nikupeleke ferry pale kwa mama Abdul Tagata, lkn pia kuna mahali lunch plate moja 48k-112k....Dar sio mahali pa kunaiga maisha la sivyo dole litakuhusu... na ukiwa mjanja unatusua kirahisi tu muhimu usikae sehemu itaku cost nauli daily.... shughuli zako za kila siku zisi tukie nauli...kaa krb na sehemu ya shughuli zako!!!
Sijajua kwa wengine kutegemea na mishe zao zilipo, ila kwa Town kama Dar unaweza kuta kama kazi yako iko mjini kukaa karibu kunakugharimu zaidi kuliko kukaa mbali

Kwa mishe za Posta au KKoo Nje ya mji kidogo kama Mbagala, Gomz au Kimara kodi inaweza kuwa nafuu zaidi na makazi ni bora kuliko hata karibu na jiji kwa sehemu kama Ilala, Magomeni au Kinondoni

Nauli pia ukakuta kote unachoma na tofauti ni 400 au 500 tu kwa usafiri wa Umma (kutoka Ilala - kivukoni 600 ilhali Gomz - Kivukoni 800)

Ila sasa kwenye Kodi chumba cha Laki Ilala unaweza kuta Mbagala hiko hiko au hata kwa ubora zaidi ya hiko bei ni 50k 60k sasa gape la 40k - 50k sio poa

Kipengele huwa ni kimoja kukaa mbali unachoka kichizi, unafika upo hoi kisa mfoleni😂😂
 
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000 nashushia na juice ya buku, kwa hiyo mchana jumla ni 3000, usiku ratiba yake ni kama mchana tu, 3000 lazima nitumie, kwa hiyo kwa siku nzima natumia 8000/= vocha natumia 5000 kwa week japo week haifiki mwisho, kwa hiyo kwa siku lazima nitumie 10,000/=
Hapo sina familia, kwa mwezi natumia 300,000/= ...nyumba nakaa ya 80,000/= hapo sijapiga mahesabu ya zaka na sadaka na michango mingine ya kanisa na jumuiya, kwa hiyo kwa mwezi natumia 450K hata nijibane kivipi, kila mwezi kwenye account nabakiza kiasi cha laki moja kama akiba so tokea nimepata hiki kibarua nina akiba ya 1.5m kipato changu kwa mwezi ni laki tano tu,

Sina cha kujivunia sana kwa sababu sina plot ninayomiliki, wala asset yoyote ile, nachukia sana kwenda church Jumapili nakutana na watu wengi wakiendesha magari n.k najiona kama myonge sana lakini najipa matumaini tu kwamba ipo siku moja, Age bado sijafika 30, nina 26.

Wewe mdau matumizi yako kwa siku ni yapi? Shusha Nondo zako tupate kujifunza na sisi.
Juice ya 1000 ni uji au
 
Back
Top Bottom