Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #81
Ujinga upo kwenye akili yako tu! Wako wapo waliopo ndani ya Congo waliofanikisha hayo?Huhitaji kuushi nje kufanya yaliyofanyika,acha fikra za kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga upo kwenye akili yako tu! Wako wapo waliopo ndani ya Congo waliofanikisha hayo?Huhitaji kuushi nje kufanya yaliyofanyika,acha fikra za kijinga
Kwamba mabeberu wameamua kuweka vikwazo baada ya kushawishiwa na hao wanawake!?..tumia fuvu lako vizuriUjinga upo kwenye akili yako tu! Wako wapo waliopo ndani ya Congo waliofanikisha hayo?
Tuwape NdalichakoTuwaombe tubadilishane na wetu, tuwape wawili au watatu, watupe mmoja
Very smart more than TshekediThat Minister of Foreign Affairs from Congo, is a very competent lady, calm tough and resilient.
Kama unafikiri kuna jambo linatokea bila jitihada na kuchukua hatua basi wewe ndo unapaswa kutumia fuvu lako vizuri.Kwamba mabeberu wameamua kuweka vikwazo baada ya kushawishiwa na hao wanawake!?..tumia fuvu lako vizuri
Wishful thinking, PK anauwezo wa kuusoma mchezo mara milioni zaidi mabandiko yako hapa janvini. He is there to stay.Kagame ndo imeisha hiyo mzee. It's just a matter of time.
Ile nchi inaendeshwa kwa sehemu kubwa na Foreign Aid kutoka kwenye mataifa ambayo ndo yamemuwekea vikwazo so hatokuwa na hela.
Pili endapo SADC wakipeleka vikosi zaidi na kutangaza operesheni ya kumuondoa na vikosi vyake Congo huu ndo utakuwa mwisho rasmi wa Kagame.
It's a matter of time. Tulia uone.
🤣Tuwape Ndalichako
Nakubaliana na wewe. Tanzania tuna watu makini ila hawapati nafasi kutokana na mfumo mbovu wa CCM.Wishful thinking, PK anauwezo wa kuusoma mchezo mara milioni zaidi mabandiko yako hapa janvini. He is there to stay.
It's about time na sisi tuweke watu competent kwenye sehemu nyeti hasa TISS na Jeshini, tuache utaratibu wa kuweka watu kwa vimemo vya kujuana na kuokota kila chawa aliye UVCCM. Watu makini tunao lakini hatuwapi nafasi, uchawa imekuwa ni qualification muhimu sana Bongo.
Nakubaliana na wewe. Tanzania tuna watu makini ila hawapati nafasi kutokana na mfumo mbovu wa CCM.
Dawa pekee ya kuondokana na hili ni Katiba Mpya iliyo mpya inayosimika mifumo imara.
Madini yetu wenyewe yanachotwa kiholela na nchi haifaidiki, hayo ya DRC hata yaachwe bila mwenyewe hatuyawezi sana sana tutabembeleza mabeberu waje wayachote na viongozi wachache wapewe ganji kwa kusaini kuruhusu wizi wa mchana kweupe tuendelee.Kwa ilivyo Congo, tungekuwa na Viongozi wenye akili ni fursa kwetu Tanzania kuwa Taifa tajiri na imara kiuchumi.
Shida Katiba mbovu inatupa Viongozi wa ajabu wasio na akili wala maono.
Hadi Congo anataka kutoa madini kwa Marekani, Taifa lililopo a thousand miles kutoka kwake wakati sisi tuko jirani tu hapa na Wanajeshi wetu saivi wanajenga fremu za Baa kwenye makambi yao.
Kwahiyo unashauri tuwatumie Diaspora kuwekewa vikwazo? Huna akili kabisa.Congo DRC ikiwa kwenye hatihati ya kutekwa na Rwanda na Uganda, Wanawake wawili Diaspora wanaibuka na kuisadia nchi yao kuishawishi Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua stahiki dhidi ya Rwanda.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyowekeza katika suala la Uhusiano wa Kimataifa.
Sote tunafahamu namna Kagame alivyofanikiwa kutengeneza picha chanya Kimataifa kuhusu nchi yake.
Kagame alifanya hayo kwa makusudi huku akiendelea kunufaika na kutotulia kwa Congo Mashariki.
Kazi kubwa iliyofanywa na Mawaziri Wawili wa Congo ambao ni wana Diaspora, Judith Suminwa Tuluka (Waziri Mkuu wa Congo) na Therese Kayikwamba Wagner ( Waziri wa Mambo ya Nje) imefanikiwa kumu outsmart Kagame na kumfanya awe uchi kwenye jumuiya ya Kimataifa hadi kufikia kuwekewa vikwazo na Mataifa ya Marekani, Canada, Uingereza, Ubelgiji na Ujerumani.
Mawaziri hawa kwa nyakati tofauti waliweza kutumia uzoefu wao kimataifa kuushawishi ulimwengu kuamini kuwa shida ya Congo Mashariki ni Kagame na sio siasa za ndani za Congo DRC.
Kwenye hili, Tanzania tuna la kujifunza sana hasa namna ya kuwatumia Diaspora ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa branded kuwa sio Wazalendo.
Kwenye hili tumejifunza kuwa Diaspora wanaweza kuwa Wazalendo kwa kulipigania Taifa kuliko watu waliopo ndani. Mfano Congo Jeshi linakimbia na kuwaachia Rwanda /M23 maeneo wakati hawa mawaziri Diaspora wanapambana Rwanda awekewe vikwazo na wanafanikiwa.
Tanzania tujifunze namna ya kuwatumia Diaspora kwa Congo DRC.
Picha:
Waziri Mkuu wa Congo DRC Bi Judith Suminwa Tuluka na Waziri wa Mambo ya Nje wa Congo DRC Therese Kayikwamba Wagner!
View attachment 3264273View attachment 3264274
Diaspora wengi si 'chawa' wa bibi yenu huyo ndiyo maana wanapigwa vita, Bongo hawataki mtu anayejitambua.Kwa tanzania hii diaspora hana tofauti na muahini.
Yaani kitendo tu cha wewe kuishi nje ya nchi hata kama kila unachofanya huko ni halali, serikali automatically inakosa imani na wewe na kukuona wewe ni potential enemy kwa ustawi wa taifa hili lenye lahana.
Yaani kibaka anayeishi pale kwenye viunga vya Manzese anaonekana ni mzalendo kuliko wewe mtanzania unayeishi ughaibuni unafanya shughuli zako halali na unatuma na remittance hapa nyumbani...😅😅
Kasumba hii ndio imepelekea mpaka kupata passport au visa imekuwa ni suala zito na gumu sana kulinganisha na nchi zingine zilizotuzunguka.
Watu wengi huwa wanamsifia Samia kuwa eti ni mwanadiplomasia mzuri, anajua umuhimu wa interactions kwa watu wa mataifa tofauti tofauti kwenye kuboost uchumi, lakini nashangaa mpaka leo hii mifumo ya mtu kupata visa,passport bado ni ile ile..
Pia nilitegemea yeye baada ya kukabidhiwa Kijiti kwa upeo wake mkubwa na exposure aliyonayo basi ataona umuhimu wa kuwathamini diaspora lakini mambo bado ni yale yale tu....
Binafsi naamini nchii hii bado haijakomboka hasa kifikra hili kuendana na dunia.
Hao ambao wengi ni vimada wa vigogo wa CHADEMA?Wanawake wanaojitambua nchi hii wapo CHADEMA.
Kwa comment yako tu inathibiitisha namna ulivokosa akiliKwahiyo unashauri tuwatumie Diaspora kuwekewa vikwazo? Huna akili kabisa.
Ndo hapo sasa. Kwa akili ya mtu kama huyu mnategemea tupate maendeleo ya kweli kiuchumi? Thubutuu!
Jambazi akija kwako heri mpe mali maana hata ukibaki nayo haikusaidii uhai ni bora.Kama muafrika anayelipenda bara lake hii comment yako imeniliza
Huku mashujaa wetu wa kike ni akina wema sepetu, gigy money na wabinua makalio wengine huko bongo muviBrainwash ya CCM imeharibu sana wanawake wa Tanzania, ni wachache sana wanaojitambua