Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini tuanze pale Waziri mhusika anakwenda kupaka rangi hivyo vyuma, sasa wahusika wafanye kazi gani? Yaani mambo shaghalabaghala Tu!Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?
View attachment 2200130
😃😆😅🤣Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?
View attachment 2200130
KumekuchaKatika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?
View attachment 2200130
Hapo mama anahusikaje?Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?
View attachment 2200130
Unashangaa nini waandikaji form four vyeti vya kufoji na wapokea vibao na kusimika form four vyeti vya kufoji ulitarajia nini?Katika zoezi la kuweka anuani za makazi, kuna hii kitu nimekutana nayo,imebidi nijiulize ni wameandika hivi bahati mbaya, hawajui maneno sahihi au wameamua tu kumhujumu mama yetu kipenzi aonekane kashindwa kusimamia zoezi?
View attachment 2200130
Sio kwamba pesa hazikutolewa.hili zoezi halikupewa pesa ya kutosha pamoja na muda.... kinachoendelea sasa hivi ni upuuzi tu huko halmashauri.... kwa kifupi kama una 150k mtaa unaweza kupewa jina lako kwa kulipia tuhicho kiasi....
kwa ufupi kazi imelipuliwa tu labda kama watakuja kufanya maboresho baadae taratibu na kwa ufanisi zaidi
Sio hao waliondika ,kupokea hivyo.vibao na kusimika ni wasomi waliosoma madrasa za kiislamu tena hapo wamejitahidi misikitini wanasifiwa kuwa ndio wasomiHii imenikumbusha zile point zetu pendwa za;
-cheap labour
-poor governance
-corruption etc
Wacha kashfa za kipimbi wewe!Sio hao waliondika ,kupokea hivyo.vibao na kusimika ni wasomi waliosoma madrasa za kiislamu tena hapo wamejitahidi misikitini wanasifiwa kuwa ndio wasomi
CAG aende hata wewe nenda halmashauri ukahakiki kaangalie mtoa tenda dini gani,waandikaji dini gani wapokea hivyo vibao dini gani na wachimbaji kusimika hivyo vibao dini gani.Sio kesi nenda kahakiki mwenyeweWacha kashfa za kipimbi wewe!
Mmmmh, wapi huko? Hii sasa ni kashfa!CAG aende hata wewe nenda halmashauri ukahakiki kaangalie mtoa tenda dini gani,waandikaji dini gani wapokea hivyo vibao dini gani na wachimbaji kusimika hivyo vibao dini gani.Sio kesi nenda kahakiki mwenyewe
Wacha ubaguzi wewe kungwi.CAG aende hata wewe nenda halmashauri ukahakiki kaangalie mtoa tenda dini gani,waandikaji dini gani wapokea hivyo vibao dini gani na wachimbaji kusimika hivyo vibao dini gani.Sio kesi nenda kahakiki mwenyewe