Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Kwenye tinted unaweza kumuona mtu?

Sitaki kuongea sana maana ID hairuhusu wasije hamia kwangu!
 
baba bashite na mwanawe wancheka kwa kijino pembe leo wewe mshiko umekujaa kwenye gunia dunia haisimami majibu ni hapa duniani
Ukiwa mwanasiasa hukosi maadui wanje na ndani kwa hiyo uskonde ni mambo ya siasa angelikuwa mexico wangemfaya chujio la chai matundu mia sita.
 
chunga kauli yako boss!

hata kama aliyemshambulia angekuwa CIA kama hana picha halisi na uhakika wa kutosha ni upande gani hasa Lisu angekuwepo angefanya walichofanya hao. Na "its a fact" kuwa hata majasusi huweza tumia njia kama hizo ili kupoteza watu maboya kuwa aliyemshambulia hakuwa mtu mwenye mafunzo stahiki.
 
Ukiwa mwanasiasa hukosi maadui wanje na ndani kwa hiyo uskonde ni mambo ya siasa angelikuwa mexico wangemfaya chujio la chai matundu mia sita.
Ndio bashite na bab yake mbona hilo linajulikana ndio maana wana laana
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
UTAKUA UNAWAJUA WAUAJI SI BURE
 
..mchangiaji inaelekea hajapitia JKT.

..vilevile hajawahi kutumia silaha.
 
kuna umuhimu wa wanaharakati km tundu lissu kutumia bullet proof cars na chama kiwawekee ulinzi wa private na uwe madhubuti.... maana wanavowanyanyasa hivi wapinzani ni dhahiri c maskini wa chini hatutakuja kukomboka...nipo nalia zangu km vile wamempiga baba angu so sad
Mungu atamponya mkuu relax

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Inshallah kwa uwezo wa Mungu atapona TL

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
96e3cdf393abfd843a3d2ab1100c7279.jpg


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Risasi alikuwa anapiga upande aliko ndo maana aliweza kupiga kwa hiyo sio mtu ambaye ajui kutumia silaha. Huyu ni mjuzi ndo maana hakuweza kujulikana inawezekana akawa mdunguaji ila kwa sababu ya Ukuu wa Mungu aliweza kuepusha kutokupigwa Risasi hehemu mbaya.
Mungu ndio Kiongozi wetu atamponya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya kipuuzi kabisa,yule aliyemtolea Nape pisto hadharani amesomea au hajasomea?
usituletee achambuzi wakipuuzi humu bora ukachambue mchele upike au Kanye kisha uchambue mavi yako ulielewe tumbolako...
KATIBA MPYA NI MUHIMU SAANA
 
Back
Top Bottom