SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 241
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepita 823kj operation Mafuriko
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Wewe huelewi, hayo matundu ukiyaangalia yalipigwa kwa mpangilio maalum,
Yaani mpigaji alikua akipiga pale ambako anadhani ndio mwili uko,
Kuanzia kichwani, shingoni, begani, kifuani, tumboni, kiunoni, pajani, miguuni, na kwenye tairi ili gari ishindwe kwenda,
Kupona kwa Lissu ni Mungu tu yuko pamoja nae
Mungu kuna mashetani kama huyu wamekereka na kukukasilikia kwa kumuokoa na kifo TUNDU LISU. NAONA UDONGO UNAKASIRIKIA MFINYANZI.Ukiwa mwanasiasa hukosi maadui wanje na ndani kwa hiyo uskonde ni mambo ya siasa angelikuwa mexico wangemfaya chujio la chai matundu mia sita.
Endelea kusubiriHii vita mliyoianzisha ccm tusubiri
Chuki yao hao yenyewe huioni!Mmoja Wa watu waliofurahi (ndio maana unajichekea wakati wengine wanahudhuni) ni wewe. Chuki yako kwa viongozi Wa Chadema huwa iko wazi kabisa
Sawa ndugu yangu.Tz ya viwanda ni ya kutiana vidonda kwa risasi 19.Watu wafanye kazi tu.Wangeamua kummaliza si wangetumia RPG, walikuwa wanamtia vidonda tu ili awe bize.
Snayper?Wewe ni mshenz kama wengine, so ungesifia wangetumia risas moja na kutekeleza lengo lao??
Naomba nikwambie , hata ukisa snayper. Mungu kama hapend mtu wake afe huwez kumuua. Kama wewe ni mdogo wake na ibiris hutanielewa
Umewahi kuishika smg??? Kwa namna zilivopigwa ni kazi ya mtaalam aliyelenga aka sniper. Alihakikisha hamkosi kama amekaa kiti cha mbele na hivyo ndivyo ilivyotokeaNimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.
Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.
Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.
Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.