Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Nimepita 823kj operation Mafuriko

..ok.

..smg inapokuwa ktk mode ya kufyatua risasi nyingi ni vigumu sana kupiga eneo dogo la target.

..na jinsi muuaji alivyopiga zile risasi ndivyo haswa alivyotakiwa kuzipiga.

..lengo lake lilikuwa ni kuua na siyo victim/target yake ionekane vizuri baada ya shambulizi.
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.

Mungu ame mlinda Mtumishi wake.
Hao walikusudia kuua, ila hatakufa.
 
Wewe huelewi, hayo matundu ukiyaangalia yalipigwa kwa mpangilio maalum,

Yaani mpigaji alikua akipiga pale ambako anadhani ndio mwili uko,
Kuanzia kichwani, shingoni, begani, kifuani, tumboni, kiunoni, pajani, miguuni, na kwenye tairi ili gari ishindwe kwenda,

Kupona kwa Lissu ni Mungu tu yuko pamoja nae

Nahisi kulikua na maandalizi furani ndani ya gari yslio okoa maisha ya lisu
 
Wadau mmesahau kwamba riaasi haina macho kitendo cha kumfyatulia risasi kwenye gari mh Lissu Iwe moja au 20 lengo ni kumdhuru,hapa kwenye madhara inaweza ikasabaisha majeraha au kifo.

Mbona Yule mtekaji wa mtoto kapigwa risasi ya mguu na kafariki? Vipi kuhusu Lissu kupigwa risasi 5 (miguuni+mikononi+tumboni) na zaidi ya 15 kumkosa ? Hivi kama kumtisha kwanini wasingepiga tyre tu? Umeona zile zilizopiga kwenye kioo? Pale si usawa wa kichwa? Jamaa target ilikuwa kuua kabisa sema Mungu yu pamoja na Lissu.

"Five shots couldn't drop me, I took it and smiled"---2pac

"Been hit with few shells but I don't walk with the limp"-50 cent

"He shut me,3 weeks later he got shut down,He got hit like i got hit but he ain't breathing"-50 cent.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa mwanasiasa hukosi maadui wanje na ndani kwa hiyo uskonde ni mambo ya siasa angelikuwa mexico wangemfaya chujio la chai matundu mia sita.
Mungu kuna mashetani kama huyu wamekereka na kukukasilikia kwa kumuokoa na kifo TUNDU LISU. NAONA UDONGO UNAKASIRIKIA MFINYANZI.
 
Wangeamua kummaliza si wangetumia RPG, walikuwa wanamtia vidonda tu ili awe bize.
Sawa ndugu yangu.Tz ya viwanda ni ya kutiana vidonda kwa risasi 19.Watu wafanye kazi tu.
 
Wewe ni mshenz kama wengine, so ungesifia wangetumia risas moja na kutekeleza lengo lao??

Naomba nikwambie , hata ukisa snayper. Mungu kama hapend mtu wake afe huwez kumuua. Kama wewe ni mdogo wake na ibiris hutanielewa
Snayper?

[emoji3][emoji3][emoji3] ndio lugha gani hiyo mkuu
 
Matundu ni zaidi ya 19 mlango wa 2 kuna matundu yameachwa
 
Watu wanakejeli sana humu ila ni kwa sababu siyo baba yao wala kaka yao ameyapata haya. Itoshe kusema "MUNGU YUPO UPANDE WA TUNDU LISSU" na tunamwombea na tunajua anapona na atarudi akiwa smart kuliko mwanzo
 
Mi nadhani jamaa nae kwakua alitumwa afanye mauaji ila akupenda na hofu ya mazingira pia kama akiwekewa kizuizi alafu ndo kaua nae wangemuua
 
Nimejaribu kuhesabu kitaamu risasi zilizopigwa ktk gari ya Tundu Lissu yanafika 20 kwenye kioo,kitasa na chini kidogo mpaka ktk tairi ya mbele kushoto.

Kwa jinsi zilivyopigwa inaonekana hao wahalifu sio watu waliojifunza matumizi ya silaha maana zimepigwa rondom bila mpangilio.

Wengi waliojifunza matumizi ya silaha huwa wanapiga kwa target na mpangilio maalumu.

Nakumbuka niliwahi kuanzia Uzi humu kama wito wa kukusanya silaha haramu toka kwa wanainchi kama Lyatonga Mrema alivyofanya.
Umewahi kuishika smg??? Kwa namna zilivopigwa ni kazi ya mtaalam aliyelenga aka sniper. Alihakikisha hamkosi kama amekaa kiti cha mbele na hivyo ndivyo ilivyotokea
 
Back
Top Bottom